Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma

Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma

Haya wale mliokuwa mwataka toa msaada mshapewa namba kazi kwenu.

Ilaaa
Ilaaaa
Ilaaaaa
 
wewe sijazaaa ovyo mimi nimeolewa kwa ndoa mpaka vyeti kwahiy unanilaumu kuzaa ndan ya ndoa???

yes sina kazi kwa sababu mwanaume aliniomba nisifanye kaz alipenda mwanamke wa nyumban na alinikataza kipind kashanioa ulitaka nishindane na mwanaume?? nisaidie maan mnatukana tuu kama yeye aliyataka mm nisiwe na kazi imetokea tumeachana inabid awalee watoto wake huku mm nikijipanga upya kutafuta kitu cha kufanya kwa sasa siwez kwa sababu ya kuuguza mtoto na hali yangu kumbuka ndan ya miaka 2 nina opareshen 4 hivyo hata mwili pia haupo sawa
Usijibu kwa jazba bali boresha ubishani wako kwa hoja.Mliandikiana kwa ushahidi alichokuambia?Kama anakutunza vema haina shida.
NINACHOTAKA KUWAKUMBUSHA:Jitambueni na muwafundishe wenzenu/mabinti wanaochipuka wawe makini,wawe na uhakika na wanaume watakaopata nao watoto/familia.Kama ambavyo mnaitaka hamsini kwa hamsini kwa nguvu na haraka,ndivyo mpanue akili zenu na mjifungulie nguvu za uwezo wa kuzikabili changamoto zenu bila kulialia,kushtaki na kutaka kuonewa huruma muda wote.Sheria zilizopitwa na mabadiliko ya maisha isiwe egemeo batili la kujibanzabanza kimaisha.Vilevile,acheni kuzaa na wanaume kwa mategemeo ya kuvuna utajiri/mali,kumsumbua tu au kumkosesha amani ili kufurahisha,kulipisha gharama na kujirahisishia maisha.Jifunzeni kuchukua majukumu kwa akili na kuzitafuta huduma.
 
mnanikejeli sana mimi kuomba msaada basi naombeni mnisamehe nina roho ndogo sana naumia kwa kunidhihaki nisameheni pengine sikupaswa kuomba ushauri samahanini ilanjueni sijazaa bila ndoa nmezaa kwa ndoa kabisa.
Mawazo yako tu.Soma na uendelee kupata mawili-matatu ingawa yanachoma kama pasi.😂😂😂
 
Usijibu kwa jazba bali boresha ubishani wako kwa hoja.Mliandikiana kwa ushahidi alichokuambia?Kama anakutunza vema haina shida.
NINACHOTAKA KUWAKUMBUSHA:Jitambueni na muwafundishe wenzenu/mabinti wanaochipuka wawe makini,wawe na uhakika na wanaume watakaopata nao watoto/familia.Kama ambavyo mnaitaka hamsini kwa hamsini kwa nguvu na haraka,ndivyo mpanue akili zenu na mjifungulie nguvu za uwezo wa kuzikabili changamoto zenu bila kulialia,kushtaki na kutaka kuonewa huruma muda wote.Sheria zilizopitwa na mabadiliko ya maisha isiwe egemeo batili la kujibanzabanza kimaisha.Vilevile,acheni kuzaa na wanaume kwa mategemeo ya kuvuna utajiri/mali,kumsumbua tu au kumkosesha amani ili kufurahisha,kulipisha gharama na kujirahisishia maisha.Jifunzeni kuchukua majukumu kwa akili na kuzitafuta huduma.
asa angetunza ningekuja huku?
 
Nenda utapata zaidi yaho, teena alipe ada na school bus kabisa hiyo itakuwa ya nyongeza.
 
Naombeni msaada nataka kwenda ustawi, baba wa watoto huduma ananisumbua maana ni mfanyakazi TANESCO Engineer Grade 1 anapokea 2.8. Sasa naombeni msaada - Je, kwa mshahara huo naweza pata elfu 50 ustawi au wanadanganya?
Dear mpambanie tu mtoto ako achana na kusumbuana na malayer,
Maan malayer pekee ndio anaweza kutelekeza mtoto ake.
 
nikome kaka tafadhali nimeolewa na chetu kabisa na mimi ndo mke wa kwanza hakuwa na mke wala mtoto kwahy unanilaumu kuzaa ndan ya ndoa??? tuheshimiane tafadhali
Hakuna mwanaume anakataa kulea damu yake kwenye hii Dunia hayupo..

WW itakua una mamb yako tu unaficha hapa na kuletea story ya upande mmoja.. ngoja nikuambie hapa jf utaishiwa kufarijiwa tu na huko ustawi utapigwa kalenda mpaka ukome..kiufup karma is real kama ww ndio ulisababisha hyo ndoa ife sabb ya ujinga wako utalibeba.na kama mwanaume anahusika atalibeba nae.

But asilimia tisin ndoa zinakufa sabb ya upumbavu wa wanawake..I hope the same to yaaa😂😂😂😂
 
Dear mpambanie tu mtoto ako achana na kusumbuana na malayer,
Maan malayer pekee ndio anaweza kutelekeza mtoto ake.
Usihitimishe tu kwa kutoa ubatizo feki wa "malayer"!Ni vema kuzijua sababu za hayo anayopitia asiyegawiwa matunzo ya mtoto.Tena kutoka pande zote mbili.
 
Ulizaa mtoto Kwa kuhitaji uwe na mtoto au kumridhisha huyo mwanaume?

Lea mwanao! Angekufa ungeenda kulishtaki kaburi?

Fanya kama hayupo, Lea bila huzuni, ona mwanao ni baraka kuu.

Sali na mtegemee Mungu, atakupa riziki ya mtoto wako.

Ukianza habari za ustawi wa jamii, utapauka Kwa stress, huo muda angalia shughuli ya kufanya.

Mwanaume wa kweli na mtu mzima, hakumbushwi kulea damu yake.
Umeongea ujinga
 
Umeongea ujinga
Ujinga ni upi hapo?Mueleze mtu ukweli na ajitambue.Mnakaa mnawadanganya hovyo,kuwasomea vijisheria vya kipuuzi bila kuwafundisha kujisimamia na kuyakabili majukumu.Mnawarembea mwandiko habari za huzuni?Mnawazubaisha na kuwafanya wasiwe responsibles kwa mambo yaliyowakuta,wanayoyaishi na hamuwapi positive options!
 
kwa nini mlitengana????,mimi mwenyewe hapa nilimpa wife mtaji aanze biashara samaki jumla na rejareaja,matokeo yake akaanza kiburi na dharau za hali ya juu{baada ya biashara kuchanganya},,,basi bana alipoona kama nammbana akabeba vitu kibao vya ndani,na duka akahamishia anapopajua yeye na yeye kwenda kupanga anapopajua,,,,mimi sikuhangaika nae,na wakati anabeba vitu mimi nilikuwa grocery ya jirani namwagilia moyo baada ya kutoka kwa job,,,,,nilimpigia nikamwambia beba kila ki2 niachie vitambulisho vya kazi na bank ukimaliza huo uchafu unaofanya nipigie simu nije kulala,,,,ninavoandika hapa duka kafunga{kafilisika},,anauza pombe kali za kupima na tigo pesa yenye mtaji wa ukubwa wa sisimizi,,,watoto wako boarding ila mdogo aliondoka nae...sasa akaanza kunisumbua niwe namtumia pesa za amalezi,nimegoma nahawezi kwenda popote manake aliondoka kijambazi na mtaji wa milioni 8 nilizokopa kazini,ameacha nymba tuliyojrnga na shamba la kama hekari mbili nakwenda kupanga!!!!!!!hiyo akili au matope......??? mrudie mumeo
Umeona asa ndio akili za wanawake ndio maana hata uyu kupe alieanzisha huu Uzi ni WA kumtazama sana .anatafuta kuonewa huruma while shida ni yy
 
Back
Top Bottom