sajo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,474
- 6,195
Watoto wapo real sana na wanakuaga na honest opinion. Anasema kitu kwa ukweli na si kwa lengo la kumfurahisha au kumkera mtu.Yaàni ni maboss kwelikweli,mtu anapanga masharti Utasema yeye ndio mwenye hiyo nyumba,ukipika maharage anasema sitaki nataka nyama,ukipika nyama anasema nataka Chipsi,ukipika Chipsi anasema nataka samaki aaaaaah hakika hutu tuviumbe ni tusumbufu Sana....Nina kamoja hako kananimbiaga "mama,hii juice sijaipenda"yaàni hapo mie nimejipinda najua katafurahi ,naishia kuchokaa😁😁😁
Hapo kwenye kutokupenda juisi amenikumbusha chuo DIT kunakuaga na mwanafunzi ambaye kazi yake ni kukagua vyakula vya cafeteria na canteen zote, akisema viko poa ndio vinauzwa kwa wanafunzi, akisema haviko poa, haviuzwi. Jamaa utasikia ameonja supu halafu anasema, hiki kiwango cha chumvi sijakipenda, ipo mbali sana ongeza😀😀