Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma

Watoto wapo real sana na wanakuaga na honest opinion. Anasema kitu kwa ukweli na si kwa lengo la kumfurahisha au kumkera mtu.

Hapo kwenye kutokupenda juisi amenikumbusha chuo DIT kunakuaga na mwanafunzi ambaye kazi yake ni kukagua vyakula vya cafeteria na canteen zote, akisema viko poa ndio vinauzwa kwa wanafunzi, akisema haviko poa, haviuzwi. Jamaa utasikia ameonja supu halafu anasema, hiki kiwango cha chumvi sijakipenda, ipo mbali sana ongeza😀😀
 
Nenda kwa bosi wake ongea nae
Kisha nenda ustawi
Sheria zetu hazimlindi mwanamke na mtoto asa huko ustawi waseme 50 inatosha nin?? Na watoto wanakula kama mchwa

Hapo hesabu itakuwa mtoto anakula kiwis gani Kwa Siku, kisha Kwa mwezi,
Kama ni 100,000/= basi Mama atatoa 50k na Baba 50k na sio zaidi ya hapo.
Ishu ya shule au matibabu mtoto alipiwe bima na wote Baba na mama wachangie hiyo bima, halikadhalika na Ada.
Mambo ya 50/50 ni magumu na Mabaya Sana ni vile Watu hawajui.
Ni magumu Kwa Wanawake wenye vipato vya Chini.
 
Me ndio nimesoma hapa muda huu so kama nilikutukana juu huko niwie radhi. Ila bado nina maswali. Huyu bwana mlikutana mazingira gani?!

Na je , ulijiridhisha vipi kuwa mwenendo wake kimaisha atatoshea kuwa mume wako?
 
mnanikejeli sana mimi kuomba msaada basi naombeni mnisamehe nina roho ndogo sana naumia kwa kunidhihaki nisameheni pengine sikupaswa kuomba ushauri samahanini ilanjueni sijazaa bila ndoa nmezaa kwa ndoa kabisa
Jikaze usiwe mlaini hivi. Vikao vya kifamilia huwa vinakuwaga na mikiki mikiki ya namna hii kwa hivyo jikaze tutafute suluhu.
 
Me ndio nimesoma hapa muda huu so kama nilikutukana juu huko niwie radhi. Ila bado nina maswali. Huyu bwana mlikutana mazingira gani?!

Na je , ulijiridhisha vipi kuwa mwenendo wake kimaisha atatoshea kuwa mume wako?
swali sijalielewa
 
Umenena vema sana bamdogo. Huyu dada bado anaonyesha kuna elements za uzembe kwenye story yake.

Story yake ina red flags nyingi sana.
 

Umeshauri vizuri lakini Huko Chini umeharibu.
Hakuna mambo ya laana na Dhambi kwenye uhalisia wa Maisha.
Wapo Watu wanatenda wajibu na Majukumu Yao na bado uzeeni wanapasuka, na wapo Watu wanatelekeza Watoto na kufanya Matendo ya hovyo na uzeeni wanaishi vizuri au Watoto waliowatelekeza wanawakumbuka na kuwatunza.
Ulichofanya ni kutishia Watu ili waogope.

Muhimu ni kusema, Watu wabebe majukumu yao, ukizaa tunza wanaokuhusu, lakini hiyo sio Guarantee ya kutopasuka uzeeni. Kuna wazee wamelea Watoto Kwa Hali na Mali na bado wametelekezwa na Wake na watoto wao.
 
Umenena vema sana bamdogo. Huyu dada bado anaonyesha kuna elements za uzembe kwenye story yake.

Story yake ina red flags nyingi sana.
red flag kama zipi na nmeelza history kwa ufupi ila nyue ndo mmekazana nimempanulia mara nimezaa na mume wa mtu
 
Hitimisho lako ndiyo limeharibu kila kitu. Bado ninajiuliza, je, umeleta uzi wa kuwasema wanaodai kuwa ulifuata mali au unaomba msaada?!!🤔
 
Hitimisho lako ndiyo limeharibu kila kitu. Bado ninajiuliza, je, umeleta uzi wa kuwasema wanaodai kuwa ulifuata mali au unaomba msaada?!!🤔
wengi humu mmenitusi sijuu nmezaa kwa sabab ya mali mara nilifwata hela kwel?? serious mkuu?
 
Huyo anaomba utelezi kwa njia nyingine
 
Labda anawatoto wengine sehemu zingine.
Hoja hapo yaangaliwe mahitaji ya mtoto ya lazima, kisha gharama alafu yagawanywe Kwa Mbili yaani Baba na Mama. Full stop.
mim sina kazi mkuu kumbuka nmezaa mtoto njiti najiuguza na alinioa alisema hatak mwanamke afanye kaz asa nimeachwa sina pa kuanza nifanyaje?
 
Kwa hiyo ulivyojua huo mshahara ukaona mkubwaa ,

Wanawake mna mambo nyie?! [emoji4]

Ukaona uitege ?

Kupata majaliwa Na kisichoriziki hakiliki.
Kaitegaje na kasema wameoana?
 
Singel maza hawaolewi
 
Ukisema Ndoa sio priority yako mbona unataka benefits za ndoa sasa?

Ukipata watoto malezi sahihi ni ndani ya Ndoa, ukiwa nje ya Ndoa hapo ni wewe na nafsi yako na sio wewe watoto na mume wako.

Dada nahisi unachangamoto zako. Huyu mwanaume anaweza kuwa mkorofi ila wewe una part yako kubwa katika kuvunja hii ndoa. Huwa nakutana na visa vya namna hii, ukitumia hisia utajikuta umetetea mwanamke na kumbe yeye ndie mkorofi.

Mimi nadhani fanya kujitathimini kwa kina hili eneo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…