Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma

Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma

Ukiamua kuzaa zaa ikiwa unahitaji mtoto na si kwa sababu umeona mtu anauwezo wa kulea mtoto.ninachoona hapa ni baba anamshahara mkubwa ko nitapata kila ninachotaka,2.8 ni hela ya kawaida tu ukiweka na makato na majukumu mengine
Je mlikubaliana kuzaa au ulijibebesha mimba?
Kabla ya kwenda huko emu jaribu kuongea naye namna anaweza kumtunza mtoto wake,kuwa mpole shida mnakuwa na ghubu na kutaka kulazimisha mambo mpaka mtu anajuta kuzaa na wewe
niliolewa na nikazaa nae hapo sijaswma kwamba mshahara mkubwa niko kwenye kujilezea kwamba kwa kipato hata hiko anashindwaje lea watoto wake ata kwa kidogo ye kauchuna tu na nimezaa watoto ndan ya ndoa kwa makubaliano kabisa hata ivo angeleta mahitaji tu tusaidiane asinipe hata mia yake ila alete vitu vya watoto nayo imekuwa ngumu
 
niliolewa na nikazaa nae hapo sijaswma kwamba mshahara mkubwa niko kwenye kujilezea kwamba kwa kipato hata hiko anashindwaje lea watoto wake ata kwa kidogo ye kauchuna tu na nimezaa watoto ndan ya ndoa kwa makubaliano kabisa hata ivo angeleta mahitaji tu tusaidiane asinipe hata mia yake ila alete vitu vya watoto nayo imekuwa ngumu
Duh,pole sana kwakweli ama uende kwa bosi wake?lakini nashauri myamalize kifamilia,ikishindikana unaweza kuwalea wanao kulingana na uwezo wako
 
Duh,pole sana kwakweli ama uende kwa bosi wake?lakini nashauri myamalize kifamilia,ikishindikana unaweza kuwalea wanao kulingana na uwezo wako
nilikuwa naulizia hv kwenda pale tanesco nikaonane na boss naweza pata msaada

yaani sahivi nina mishono 4 ndan ya mwaka mmoja so mwili wangu sijakaa sawa kabisa hivyo hata kazi ngumu nashibdwa dada maan na ntoto mdogo wa miez 6 pia alizaliwa njiti anahitaj uangalizi mno
 
nilikuwa naulizia hv kwenda pale tanesco nikaonane na boss naweza pata msaada

yaani sahivi nina mishono 4 ndan ya mwaka mmoja so mwili wangu sijakaa sawa kabisa hivyo hata kazi ngumu nashibdwa dada maan na ntoto mdogo wa miez 6 pia alizaliwa njiti anahitaj uangalizi mno
Inawezekana ndio ni kwenda ofisini na kuomba kuonana na bosi alafu unaongea naye sasa unasikia atakushauri nini
 
kati ya 2.8 mil upewe 50k una akili kweli kama unaenda kudai pesa hyo bora uache tu..

Pia angalia na uwiano wa watoto wengine kama ni mmoja tu anaye basi angalau upate 250k kwenda mbele.
Hiyo hela anapewa kama mshahara au nini?!
Kwanini apewe!?
 
1684396763256.png
 
Majaribu hayo bi mdogo miye binti yangu kampeleka mtu wake huko na ameishia kupewa barua za wito kumi na mbili jamaa haji na hawamfanyi kitu.
Ushauri nenda kituo cha msaada wa kisheria kwa wanawake WILAD wamburuze mahakamani.
Huyo jamaa kama ni mfanyakazi serekalini amekwisha, sisi watu wa business tunasepa tu mkoa mwingine!
 
kati ya 2.8 mil upewe 50k una akili kweli kama unaenda kudai pesa hyo bora uache tu..

Pia angalia na uwiano wa watoto wengine kama ni mmoja tu anaye basi angalau upate 250k kwenda mbele.
Yeye ndio anaemlipa hio 2.8 m? Au Ni serikali huyo mwanamke awe mpole tu hakuna mwanaume mkorofi kwa mwanamke mwenye busara,kwanza huyu mama anaonekana ni mtu mpenda mashindano,hoja ili ipate utetezi inapaswa kuskia na upande wa pili
 
Nenda kwa bosi wake ongea nae
Kisha nenda ustawi
Sheria zetu hazimlindi mwanamke na mtoto asa huko ustawi waseme 50 inatosha nin?? Na watoto wanakula kama mchwa
yaani uje kuongea na boss wangu kuhusu mambo ya nyumbani. yaani huyo boss nadhani hatakuja kujribu kuongea hicho kitu kwa nitakachomfanya
nenda hukohuko ustawi wa jamii
 
Pambana lea mwanao, achana nae.

Ushawahi ona jogoo analea vifaranga? Wanaume hawaleagi, its nature....atahudumia mtoto Kama na wewe unamuhudumia.

Kama uko tayari kufata matumizi ya mtoto guest endelea kumsumbua, Kama unajali utu wako pambana mwenyewe.....mlezi mkuu ni Mungu, mtoto atakua tu bila yeye.

Angalizo, akileta matumizi usikatae na usimlishe mtoto sumu kumuhusu.
Kama kweli akiamua kubeba majukumu yeye mwenyewe bila kumtegemea mwanaume iyo paragraph ya mwisho sidhani kama ataweza kuitekeleza. Wanawake wana kisirani sana
 
Back
Top Bottom