Until_The_End
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 1,456
- 2,202
Ujinga huu hapa:⬇️⬇️Ujinga upi nimemjaza we kuku.
Tatizo lenu mnapenda sana mwanamke akiteseka. Apambane mwenyewe anaweza. No more kulialia maana haisaidii.
Baadae watoto wakipata mafanikio utamuona huyo anajileta kama baba Mondi. Na hiyo ndo Itakuwa adhabu yake.
Ukiwa binadamu akili yako inafikria vizuri kabisa, huwezi kuwaza kuwa mafanikio niya watoto tu... Et adhabu yake; Who are you?
Vipi kama yeye na mwanaye wasipopata mafanikio.
Jambo la kufanikiwa au kutokufanikiwa siyo jambo la kumtisha mtu.
Think Big