tajiri mkopeshaji wewe ni jiniazi,,,,,,ngoja nitafute nauli nikapate mafunzo mahususi jinsi ya kuwatawala hawa viumbe kule AFGHANSTAN chini ya mwalimu aitwae HAFIF kutoka kundi la TALEBAN,,,ndo manake TALEBAN wamewazuia hamnakufanya kazi wala kwenda skuli,,,,ni kukaa nyumbani na kuingiziwa TANGO tu ndo kazi yao!!!!!bwana mkubwa hili la stroke wanaume wenyewe tunalitaka,,,mtu anakunyanyasa,anakunyima unyumba,unakusema vibaya kwa ndugu,jamaa na marafiki,mbaya zaidi mpaka kwa watoto,,,,utaskia anawaambia watoto "mnamwona baba yenu alivo mlevi,yaani bila mimi mtakufa njaa,kumbe ela unatoa wewe"matokeo yake msongo wa mawazo mpaka unapata stroke!!