Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma

Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma

kamwe usikae ukamsikiliza mwanamke na kutoa maamuzi!! asilimia tisin wao ni vivuruge na yakishavurugika wanakimbilia kwenye jamiii kutafuta huruma na support coz wao machoz na kulialia na kuongea sana ni jadi yao..

Be warned na wanawake!!!!
Hili naungana na wewe mkono. Kuna kesi nyingi sana nimeona. Unakuta mwanamke alikuwa anazinguliwa sana na jamaa. Anatokea mwamba anamchukua na kumpa decent life. Utulivu ukishapatikana mwanamke anaanza kutafuta sasa sababu ya kuvuruga utulivu anaanza kuwashwa washwa. Ndio maana wanaume wengine wana mikono myepesi kwenye kupiga ili next time akitaka kufanya utoto akumbuke kipigo kile afikirie kwa kutumia akili na sio kuchukulia poa.
 
Ok basi rekebisha kule juu,naona wachangiaji wanasema umezaa nae tu sio km ndoa!
na mmezaa mtt huyo tu?
Na umekubali mchepuko akuchukulie mume? Maana huyo lzm alikuwa mchepuko amekutoa kwenye nafasi!
watoto wawil yaan ni story ndefu mkuu
 
yaan tushakuwa chui na panya sujui nifanyaj maan hazungumzi na mimi kbs anapitia kwa dada yangu ila sio mm
Fine, jishushe tu!
Kila kizuri kina gharama dada hakuna kitu rahisi!
Lazima muwe hivyo sbb umefarakanishwa nae! Ili kurudi sawa,u need to God ,u need prayers hakuna namna
 
Kama ana ndoa na alizaa ndani ya ndoa imekuaje akaachika na asipewe msaada? Unaposema.aende BAKWATA kuna sehemu kasema ye ni MUISLAM.

Stori yake ni fupi haya mengine angeyaweka kwenye uzi (sio comments) pengine angeshauriwa vyema
Nimejiongeza kama ni muislam baada ya kusema amepewe talaka 3 mkuu ingawa no za mdomo. Pia sehemu nyingi kaongelea maswala ya kutokwenda bakwata
 
Na ndicho nilichokuwa nasema,
Na hakuna Mtoto anayeweza kumaliza hiyo 100,000/= Kwa mwezi Kwa matumizi ya kawaida. Wengi huishi 50k - 70k
Alafu sasa igawanywe Kwa Watu Wawili yaani Baba na Mama wote wachangie hiyo Pesa.



Ni kweli sababu Mtoto ni wa wote baba na mama,

Habari za kusema “ nimemzalia mtoto” ni za kipumbavu.

Anayeweza kusema nimemzalia Mtoto ni yule mwanamke alofanya procedure ya “ surrogate “ tu.

Yaani akishaingia mkataba wa kuzaa akalipwa hela yake inakuwa imeisha hiyo!

Wakati wa kujifungua Mtoto mwanamke hufunikwa gubigubi asione sura ya huyo Mtoto abadani asilani hatakaa amjue wala kumtambua.
 
Suala la uzazi wa mpango ni shirikishi, ukimwachia Mwanamke peke yake linaweza kuwa zito mwisho mkajikuta mnapata watoto ambao hamkupanga kuwapata.

Na ukishapata watoto ni wajibu wako Mume kumlea huyo mtoto kwa kuhakikisha anapata huduma zote muhimu.



Kwanini iwe wajibu wa Mwanaume pekee kutunza Mtoto?

Imeandikwa wapi? [emoji2369]
 
1. Usimlaumu.
2. Usimtukane wala kujibizana naye Wakati unazungumza naye.
3. Kaa naye mzungumze kuhusu kulea mtoto wenu.
4. Mwambie hupendi unavyomsumbua kuhusu mtoto, ni vile hauna kazi. Mwambie akuwezeshe angalau mtaji ili ufungue biashara umlee mwanao. Ongea naye Kwa unyenyekevu, Akili na upendo.
Elewa kuwa Sisi wanaume Watoto kwetu sio lazima Sana hivyo huo uchungu unaousikia usidhani wanaume wanao. Ni wachache wanaoweza ku-feel hivyo.

5. Muombee Mzazi mwenzio, ili abadilike. Huyo ni kiumbe wa Mungu hivyo mwenye uwezo wa kumbadilisha ni Mungu mwenyewe.
Na ukimuomba Mungu usimshutumu huyo Baba Watoto,

6. Onyesha furaha muda wote, hata kama umetingwa, kitendo cha kuwa unamfuata fuata kila mara Kwa wanaume wengi wasio na Akili hukiona kama unamuabudu, hauna Njia mbadala, unamuona yeye ndiye kila kitu.
Lea mwanao Kwa uwezo wako kama atakuwa mkaidi.

7. Kama alikuzuia usiende kazini enzi hizo na unaushahidi, nenda Mahakamani kuomba akihudumie mpaka utakapopata kazi. Sheria zinaeleza kuwa kuna mazingira ambayo mwanaume anaweza kumhudumia Mtalaka wake hata kama wameachana, peleka hoja ya kuwa alikuzuia kufanya kazi na wewe uliichukulia positive lakini kumbe yeye Mpango wake ulikuwa kukufanya kuwa mtumwa wake, na hata siku akikuacha ukose muelekeo. Huo ni ukatili na uhuni, ambao haikubaliki.

Mwisho, kila Siku hapa ninawaambia Wanawake muache kutegemea Pesa za Wanaume, mfanye kazi, mjitegemee lakini ninaonekana Mbaya. Mimi ninajua nikisemacho, ninaona Wanawake wengi jinsi wanavyodhalilika, nyanyasika na kutumikishwa Kwa kutegemea jasho la mwanaume.

Tafuteni wanaume wenye Akili, wenye Haki, upendo na wakweli. Kama hataki kuzaa na wewe atakuambia toka siku ya Kwanza. Na kama hatakuhudumia atasema. Ukipata mwanaume WA hivi jua umekutana na Mwanaume mzuri. Lakini wengi hamtaki wanaume wa hivyo.
Kuna mtu kawadanganya wanawake wa kizazi hiki kuwa wakibishana na kushindana na mwanaume ndio watashinda na kufanikiwa zaidi Maishani kuliko wakijiadabisha, kuongea kwa upole na utulivu na kuwaheshimu wanawake kwa nafasi zao.
 
Bado mkuu haikupi haki ya kumwita mtu malaya wakati humjui. Mimi nimeongele jinsi wanavyomtukana na sio kumshauri hata kana ushauri utakuwa negative mshauri kwa stara sio kumwita mtu malaya mara kapanua so so....ni kweli wanaume wa JF wana shida ya akili ndio maana matusi yamewajaa mbele ukitaka kuhakikisha hilo angalia nyuzi zao wanazoanzisha na coment zao kwenye nyuzi za watu
Usipende sana kufanya generalisations za namna hii, sio kweli kwamba wanaume wote wa jf hawana akili, sio kweli kwamba wote wana matusi.
 
asa naanzaj mwanaume ni HANIPENDI yaan mpk nashangaq kikubwa nilichomfanyia
Ss km karogwa, kashikwa akili na wee kwenye ulimwengu wa roho umechafuliwa atakupendaje mpendwa? .
Unatakiwa Sasa kuomba Mungu sio na we eti kusema basi Sina shida ya ndoa sijui nn kisa mtu kakuongilia kirahisi tu!
Hapo ndo unatakiwa kuomba na kujishusha, Kuna namna hapo sio kawaida!
Wanaume Huwa hawabadiriki tu from no where
 
Nimejiongeza kama ni muislam baada ya kusema amepewe talaka 3 mkuu ingawa no za mdomo. Pia sehemu nyingi kaongelea maswala ya kutokwenda bakwata
Nimerudi kwenye uzi nimekuta kuna editing ya kutosha ambayo ilipelekea comments -ves za wadau wa awali
 
Au utasikia mtoto akiambiwa hana baba, baba yake alishafariki kwa ajali ya moto., hii haipendezi kabisa.



Mtoto mwingine hakubali jibu rahisi hivyo aisee!

Atakomaa na mama yake mpaka atamuonesha aliko bana yake.

Mtoto mwingine anamuuliza mama yake huyo bana hakuwa na ndugu zake?

Hakuwa na kwao ?

Nielekeze niende nikawaone.
 
Bado mkuu haikupi haki ya kumwita mtu malaya wakati humjui. Mimi nimeongele jinsi wanavyomtukana na sio kumshauri hata kana ushauri utakuwa negative mshauri kwa stara sio kumwita mtu malaya mara kapanua so so....ni kweli wanaume wa JF wana shida ya akili ndio maana matusi yamewajaa mbele ukitaka kuhakikisha hilo angalia nyuzi zao wanazoanzisha na coment zao kwenye nyuzi za watu
Tunatoa ushauri kulingana na situation ilivyo..labda na ww ulitaka tumshauri kulingana na unavyopenda ww..matusi ni tafsiri ya mtu aonavyo yy!!!

Kuhusu nyuzi kama unataka nyuzi za hekima nenda intelligence huko labda utapata unachokitaka.
 
Duh! Pole Sana dadangu kea magumu unayopitia Mungu akufanyie wepesi jamani.

Nenda tu ustawi wa Jamii ukatapiganie haki za wanao
Soln hapo ni kuomba tu.
Anatakiwa kuomba haswaa,aone km huyo mwanaume harudi !
Mchepuko kamzidi kete
 
Kwanini iwe wajibu wa Mwanaume pekee kutunza Mtoto?

Imeandikwa wapi? [emoji2369]
Kwani wakati ule Adam anapewa Majukumu ya Kula Kwa Jasho pale Bustanini Eden ulidhani ilikuwa no Adam yule Pekee.

Ilikuwa ni Jukumu la Kila Mwanaume kula kwa Jasho.

Jukumu la Mwanamke ilikuwa ni Kuzaa kwa Uchungu tu, hivyo Boss wangu
 
Mtoto mwingine hakubali jibu rahisi hivyo aisee!

Atakomaa na mama yake mpaka atamuonesha aliko bana yake.

Mtoto mwingine anamuuliza mama yake huyo bana hakuwa na ndugu zake?

Hakuwa na kwao ?

Nielekeze niende nikawaone.
Na kwa nini mama anytime mtoto haki yake ya msingi kumfahamu baba yake? Kuna sababu gani haswa za mtu kumfanyia hivyo mtoto wake?

Kosa kubwa la kwanza ni kuzaa bila kuelewana, unabebaje mimba kabla hamjakaa mkaelewana, malezi, makuzi nk kwa ajili ya huyo kiumbe?
 
Usipende sana kufanya generalisations za namna hii, sio kweli kwamba wanaume wote wa jf hawana akili, sio kweli kwamba wote wana matusi.
Sijageneralize wote mkuu coment ya juu nilisema 90%... na ukiangalia ni kweli wanaotoa hoja bila matusi ni wachache. Angalia mfano Robert Heriel Mtibeli anatoa hoja ambazo sio za kumsapoti mama 100% ila anazitoa kwa kujìelewa kiasi kwamba hata mhanga ukisoma unajifunza kitu.
Halafu angalia watu wanaomwita malaya while kazaa ndani ya ndoa ni fair kweli?
 
Miaka 15 nyuma nilimpenda binti nikamchumbia, wazazi wake wakanikataa kuwa mimi ni masikini, Kwa umri wetu na mahaba tukapanga nimbebeshe mimba ili wamfukuze kwao niyumie njia hiyo kumuoa, mtego ukabuma licha ya mimba wazazi wakakaza maisha yalikuwa mboga 7, nikakomaa kulea mimba hadi mtoto akazaliwa nikajitahidi kadri ya nilivyoweza kumhudumia mwanangu akiwa na Mama yake kwao.

Baada kama miaka3 upepo ukabadili mwelekeo baada ya Baba wa familia kufariki, na mama hakuwa na uzoefu wa Biashara. Biashara zikafa zilikuwa za usafirishaji(magari ya biashara) zikabaki nyumba tu 2 za wapangaji na familia ni kubwa.

Nikashangaa gharama za matumizi ya mtoto ikawa kubwa sana, nilikuwa natoa Tsh 50,000 kila mwezi. Mshahara wangu ulikuwa 200,000 sekta binafsi.. nikashangaa mtoto haishi kuugua kumbuka mtoto yuko wilayani huko siwezi mara zote kwenda kumuona, unga wa lishe uliokuwa unatumika week2 ukawa unatumika siku3, haipiti week mtoto anaumwa, amelazwa tuma pesa natuma ikafika kwa mwezi najikuta natumia zaidi 100,000 kwa mtoto, kumbe mtoto aligeuzwa kitega uchumi, nilikuja kugundua siku dada yangu nilipomtuma kimya kimya kwenda kumuona mtoto hospital baada ya kuambiwa kalazwa. Akamkuta kwa jirani ni mzima wa afya anacheza, ikabidi niende baada ya kupeleleza ndani ya miezi 3 mtoto hakuwahi hata kuugua wakati mimi nimeshatuma pesa mara3 ya matibabu.

Nilipogundua hilo, nikaacha kutoa pesa ya matumizi kwa mtoto, mgogoro ukaanza, wakaenda ustawi, nikaitwa, takribani mara 3 ndo nikaenda, baada ya kukaa na kutafuta ufumbuzi wakagoma kunielewa, tukaingia kwenye kupiga gharama, nikawapa kadi ya Bima, na nikaamuriwa kutoa Tsh 20,000 kwa mwezi na siwatumii anatakiwa akaichukue ustawi, nilitoa pesa kwa mwaka mmoja baadae wao wenyewe wakazira kwenda kuchukua pesa wakaomba tu tuyamalize. Yakaisha nikabaki kutoa matumizi kadri nitakavyopata na kujisikia.. kuna wanawake ni wakorofi sana ila yapowafika shingoni wanakuja kulia lia na kutaka huruma ya Jamii.


Sijui kwa nini huwa wanapenda kusingizia watoto kuumwa ili warushiwe hela [emoji848][emoji848]

Au kuua mtu ambaye alishakufa miaka mingi li arushiwe hela ya nauli

Wanaume wanaibiwa sana.
 
Sijageneralize wote mkuu coment ya juu nilisema 90%... na ukiangalia ni kweli wanaotoa hoja bila matusi ni wachache. Angalia mfano Robert Heriel Mtibeli anatoa hoja ambazo sio za kumsapoti mama 100% ila anazitoa kwa kujìelewa kiasi kwamba hata mhanga ukisoma unajifunza kitu.
Halafu angalia watu wanaomwita malaya while kazaa ndani ya ndoa ni fair kweli?
Kila mtu ana approach yake kwenye uwasilishaji wa hoja, muhimu ni kuchukua +ve tu, yapo maneno mengine tunasoma yanatuchoma directly lakini yanatufundisha kwa sababu ni kweli tulikosea, sasa kama nilikosea nikazalisha hovyo mtaani, nikiambiwa nisikimbie majukumu hata kwa lugha ngumu inabidi nikubaliane na hizo nyundo.
 
Back
Top Bottom