Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma

Hivi mwanaume rijali mwenye akili timamu na una uwezo,unawezaje kuitelekeza damu yako?
Mkuu, hujakutana na wanawake wajeuri, unakuta mwanamme anapambana, anasomesha halafu mwanamke anakuwa na jeuri, kiburi hataki kuwapeleka watoto upande wa pili wakawafahamu ndugu zao wengine.

Mwanamke kama huyu adhabu ya tsh. 50k kwa mwezi ni haki yake.
 
Nyie wanawake nyie! Kwa hiyo ulimpanulia hadi akataja Siri za Mshahara wake ndo ukampa bila kuzingatia siku za hatari?
Hawa viumbe waskie unakuta upo katikati ya mchezo, anasubili unaenda kutema uji mzito anachomoa pipe utajikuta unataja hadi namba ya siri ya card bank...

Wakikukamia huchomoki rafiki yangu..
 
Hiyo haki ya kulaani mwanamke anaitoa wapi?
 
Agiza drostdy hof nalipia tuma namba ya wakala, wanawake wachache sana wanajitambua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…