Yaani hamu yako wewe unaona ni sawa kuwa nayo, lakini hamu ya mtoto ndo umwite mchwa..!! Sasa ujuwe mchwa anazaliwa na mchwa..!!Weee mim nnae hapa muda wote mdomo unatafuna unataka kula
Yaan huwa na kaz ya kujipilikisha maandaz au kalimati tofauti na msosi ili apate na vya kula kula wakija wengine hataree
Halaf unapangiwa vya kupika na aina ya juice unapangiwa na kukosolewa juu
Akiii inabidi ukiwa na hamu na juice fulan utengeneze yako na yake utengeneze anavyopenda huwa nachoka mie
Zingekuwa nzuri watoto wangelindwa wababa wangetunza watoto wao uliona kipindi Makonda kaita wanawake ambao wanatunza watoto wenyewe uliona walivyokuwa wengiLeo kwa mara ya kwanza ndo nasoma kwamba SHERIA HAZIMLINDI MWANAMKE..!!! Dah..!!
Ha ha haaa Ila wanawake baba yaani utasikia wanao wanakula mno kazi Yao kumaliza pesa tu kumbe nae ananyuka chips yaiπMchwa utani tu nyie wanavyotafuna mpaka chuma
Angewaza kuwa kuna kufa, asingefanya hayo..!!Unapoamua kuzaa hakikisha na wewe una uwezo wa kutunza watoto peke yako incase linapotokea jambo lolote. Nenda Mahakamani kama unaona mzigo ni mzito.Nenda kashitaki ili awe anatoa child support.Binafsi ningekuwa wewe wala nisingehangaika nae ,yule ni Baba anajua wajibu wake.Mimi ningemuacha nikalea wanangu.Finali uzeeni .
Bila shaka ni wa kiume maana wanatafuna haswaWeee mim nnae hapa muda wote mdomo unatafuna unataka kula
Yaan huwa na kaz ya kujipilikisha maandaz au kalimati tofauti na msosi ili apate na vya kula kula wakija wengine hataree
Halaf unapangiwa vya kupika na aina ya juice unapangiwa na kukosolewa juu
Akiii inabidi ukiwa na hamu na juice fulan utengeneze yako na yake utengeneze anavyopenda huwa nachoka mie
Hahahaha we niache bana sitaki bishanaYaani hamu yako wewe unaona ni sawa kuwa nayo, lakini hamu ya mtoto ndo umwite mchwa..!! Sasa ujuwe mchwa anazaliwa na mchwa..!!
inaleta tatizo kubwa sana hii kitu.. watoto wengi tuliozaliwa kwa michanganyo iliyochochewa na tabia chafu za wazazi wetu kutoboa kwenye maisha inakuwaga ni shughuli pevu sana kuna baraka fulani zinavurugwa japo zipo ila kuzifikia mpaka upambane sanaaKwanza hakuna kitu kibaya kama kuzaa watoto tofauti tofauti na hovyo hovyoo inakuwaga tfran tupu
Kuna wakati tuwahurumie wadogo zetu.Unatosha jitume, pambana usingoje mwanamume...
Eti mpaka akusukume, uza hata mitumba karume...
^Boshoo^
Wa kike Ila watoto wa kiume wanakula zaidiiBila shaka ni wa kiume maana wanatafuna haswa
π π π π π Mekuacha mama mchwa..!!Hahahaha we niache bana sitaki bishana
Ni haki ya mtoto wake. Na 50k ni dharau labda kama kipato cha baba kingekuwa 250kUnatosha jitume, pambana usingoje mwanamume...
Eti mpaka akusukume, uza hata mitumba karume...
^Boshoo^
Sheria hupanga hawezi kujipangia yeyekati ya 2.8 mil upewe 50k una akili kweli kama unaenda kudai pesa hyo bora uache tu..
Pia angalai na uwiano wa watoto wengine kama ni mmoja tu anaye basi angalau upate 250k kwenda mbele.
Umesema kweli kabisa watoto wanaozaliwa familia moja tu huwa wana baraka sanainaleta tatizo kubwa sana hii kitu.. watoto wengi tuliozaliwa kwa michanganyo iliyochochewa na tabia chafu za wazazi wetu kutoboa kwenye maisha inakuwaga ni shughuli pevu sana kuna baraka fulani zinavurugwa japo zipo ila kuzifikia mpaka upambane sanaa
Wanaume wanatakiwa wawe na huruma sana kwa wanawake walizaa nao ,Kuna wakati tuwahurumie wadogo zetu.
Amelea mimba miezi 9.
Amejifungua anajihudumia, mtaji atoe wapi?
Mlikubaliana kuanzisha mahusiano kwa ajili ya kuzaa?Naombeni msaada nataka kwenda ustawi, baba wa watoto huduma ananisumbua maana ni mfanyakazi TANESCO Engineer Grade 1 anapokea 2.8. Sasa naombeni msaada - Je, kwa mshahara huo naweza pata elfu 50 ustawi au wanadanganya?