Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma

Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma

Kuna wakati huwa nashindwa kuwaelewa Wanaume wenzangu, hivi inakuwaje unashindwa kulea damu yako?

Imagine huyo Dada yupo tayari kupokea hata shilingi 50,000 kwa mwezi. Hiyo elfu 50 inatosha Kula, mavazi au mtoto akiugua kweli? Kwa hiyo elfu 50 huyo Mtoto atapata Sare za shule au hata Kalamu na Daftari akianza shule?

Tuweni na huruma wakati mwingine, wewe usingehudumiwa na Baba yako ungefika hapo ulipo kweli?

Kama hauko tayari kulea Mtoto, niwasihi Wanaume wenzangu ni bora kutumia Kondomu au mtumie uzazi wa mpango. Tutakuja kupata dhambi na laana za Uzeeni kwa kutelekeza damu zetu.
Acha lawama hujui chanzo cha mtu kukataa ni kipi
 
Unapoamua kuzaa hakikisha na wewe una uwezo wa kutunza watoto peke yako incase linapotokea jambo lolote. Nenda Mahakamani kama unaona mzigo ni mzito.Nenda kashitaki ili awe anatoa child support.Binafsi ningekuwa wewe wala nisingehangaika nae ,yule ni Baba anajua wajibu wake.Mimi ningemuacha nikalea wanangu.Finali uzeeni .
Kwa huko uzeeni ndo nini?
 
Zingekuwa nzuri watoto wangelindwa wababa wangetunza watoto wao uliona kipindi Makonda kaita wanawake ambao wanatunza watoto wenyewe uliona walivyokuwa wengi
Wanaume wachache sana hutunza watoto wao
Sababu mnatuchokoza.
Mnawafundisha watoto dharau na sumu kwanini tujisumbue?
 
Ifike mahali wanaume tuwapeleke wanawake mahakamani kama wanabeba mimba bila ridhaa yetu.

Kama mmekubaliana kuwa hakuna kuzaa, ni mwendo wa kufurahishana inakuwaje unakubali kubeba mimba yangu?
Kama hutaki kuzaa na mwanamke unae furahishana nae tumia condom kwa wingi Sana acheni kuzalilisha wanawake watoto wakifankiwa mnaanza kujiliaza kutwa wengine mpaka mintandaoni kutaka huruma shit
 
Naombeni msaada nataka kwenda ustawi, baba wa watoto huduma ananisumbua maana ni mfanyakazi TANESCO Engineer Grade 1 anapokea 2.8. Sasa naombeni msaada - Je, kwa mshahara huo naweza pata elfu 50 ustawi au wanadanganya?
100 kwa siku, nikiwah sikia.
Hana wazazi?
Umeujuaj3 mshahara wake?
Unataka kutoka kimaisha juu ya mshahara wake?
Huna uwezo wa kumlea mtoto peke ako?
Hataki kumchukua mwanae alee mwenyewe?

Angalia usije kuaibika
 
Sheria inataka 70k per month
Hiyo sheria nayo imepitwa na wakati, Child support ya elfu 70 haitoshi kulingana na kupanda kwa gharama za maisha.

Maybe iwe 250,000 kwa mwezi, kwa kufanya hivyo itapunguza Wababa kutelekeza Watoto wao lakini pia itafanya Familia nyingi Wazazi kuishi pamoja.

Maana kama una watoto 4 mahali itafanya uwe unatoa 1,000,000 kila Mwisho wa Mwezi, hivyo kujikuta Baba anaamua kukaa na Mke wake au kuchukua Watoto wake na kukaa nao
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukiwa na watoto kipikwe chakula kingi na pia upike bites
Maana kila muda wanataka kula [emoji23][emoji23]
Mbona watoto wangu hawako hivyo
 
Kuna wakati huwa nashindwa kuwaelewa Wanaume wenzangu, hivi inakuwaje unashindwa kulea damu yako?

Imagine huyo Dada yupo tayari kupokea hata shilingi 50,000 kwa mwezi. Hiyo elfu 50 inatosha Kula, mavazi au mtoto akiugua kweli? Kwa hiyo elfu 50 huyo Mtoto atapata Sare za shule au hata Kalamu na Daftari akianza shule?

Tuweni na huruma wakati mwingine, wewe usingehudumiwa na Baba yako ungefika hapo ulipo kweli?

Kama hauko tayari kulea Mtoto, niwasihi Wanaume wenzangu ni bora kutumia Kondomu au mtumie uzazi wa mpango. Tutakuja kupata dhambi na laana za Uzeeni kwa kutelekeza damu zetu.

Mtoto anahitaji vitu vingi mnoo basi baba hana uwezo atunze kadri ya uwezo wake na sio kutafutwa kama mwizi ,kuna wababa wanatunza watoto na hawana pesa nyingi lakin wanashiriki malezi asilimia kubwa wabarikiwe sanaa
 
kati ya 2.8 mil upewe 50k una akili kweli kama unaenda kudai pesa hyo bora uache tu..

Pia angalai na uwiano wa watoto wengine kama ni mmoja tu anaye basi angalau upate 250k kwenda mbele.
Simalezi ya mtoto ulitaka apewe yeye kama nani ? Yeye sio mtoto
 
Ha ha haaa Ila wanawake baba yaani utasikia wanao wanakula mno kazi Yao kumaliza pesa tu kumbe nae ananyuka chips yai[emoji23]

Sasa mama mtoto Usile kweli?unanyonyesha usile?unafua,unalea kweli mama watoto wako asile chakula na kukuzalia mtoto juu
 
Unajua huwa tunapenda kuishi na watoto wetu ,huwa nawashangaa wanao peleka watoto kwa mwanaume ,mwanaume muda mwingi hashindi nyumbani ,mie nakuwa na amani mtoto akiwa na mim usiku nikienda muangalia kalala moyo unapata amani
Mtoto anatakiwa aishi na mama yake
Mi mtoto wangu hampendi mama yake, hata ukimwambia achague ananichague mie. Japo mie huwa nampiga, mama yake hamgusi.
 
Kama hutaki kuzaa na mwanamke unae furahishana nae tumia condom kwa wingi Sana acheni kuzalilisha wanawake watoto wakifankiwa mnaanza kujiliaza kutwa wengine mpaka mintandaoni kutaka huruma shit
Jukumu la kubeba mimba analo mwanamke, yeye ndio anajua lini na saa ngapi mimba itaingia, yeye ndio anapanga akupe leo au kesho.

Sio lazima ndom, kuna njia nyingi za uzazi wa mpango. Anapojisahahu na kuleta habari za mimba wakati haukuwa mpango wetu ninaweza kumshtaki mahakamani kwa kuniongezea majukumu sikuyahitaji.
 
Back
Top Bottom