Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Ndogo sana kwa kweli yaani 50k kweli kwa mtoto tena kwa mwezi 🤔Simalezi ya mtoto ulitaka apewe yeye kama nani ? Yeye sio mtoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndogo sana kwa kweli yaani 50k kweli kwa mtoto tena kwa mwezi 🤔Simalezi ya mtoto ulitaka apewe yeye kama nani ? Yeye sio mtoto
Ukiona hivyo wamama sio wasumbufu, baba akimtaka mtoto anamuona muda wowote, ana uhuru wa kuondoka naye weekend.Mtoto anahitaji vitu vingi mnoo basi baba hana uwezo atunze kadri ya uwezo wake na sio kutafutwa kama mwizi ,kuna wababa wanatunza watoto na hawana pesa nyingi lakin wanashiriki malezi asilimia kubwa wabarikiwe sanaa
Si ufanye kaziSasa mama mtoto Usile kweli?unanyonyesha usile?unafua,unalea kweli mama watoto wako asile chakula na kukuzalia mtoto juu
🤣🤣🤣🤣Tunabebana au sioWakisema wakupe Elfu 50, potezea Mm nitatoa
kumbe ni 5Ok tu 😅😅ndo maana single mother ni wengiSheria hupanga hawezi kujipangia yeye
Sio kudhihaki ndo ukweli huoIsimvunje moyo, watu hatufanani.
Mimi niliwahi kumtunza mama aliyetelekezwa kwa miezi 8.
Nilimuwekea bill ya maziwa fresh na mahitaji kila mwezi.
Na sijawahi hata kuingia kwake au hata kutamani anishukuru hata kwa mdomo.
Watu hatufanani usimdhihaki mwenzio
kwa nini mlitengana????,mimi mwenyewe hapa nilimpa wife mtaji aanze biashara samaki jumla na rejareaja,matokeo yake akaanza kiburi na dharau za hali ya juu{baada ya biashara kuchanganya},,,basi bana alipoona kama nammbana akabeba vitu kibao vya ndani,na duka akahamishia anapopajua yeye na yeye kwenda kupanga anapopajua,,,,mimi sikuhangaika nae,na wakati anabeba vitu mimi nilikuwa grocery ya jirani namwagilia moyo baada ya kutoka kwa job,,,,,nilimpigia nikamwambia beba kila ki2 niachie vitambulisho vya kazi na bank ukimaliza huo uchafu unaofanya nipigie simu nije kulala,,,,ninavoandika hapa duka kafunga{kafilisika},,anauza pombe kali za kupima na tigo pesa yenye mtaji wa ukubwa wa sisimizi,,,watoto wako boarding ila mdogo aliondoka nae...sasa akaanza kunisumbua niwe namtumia pesa za amalezi,nimegoma nahawezi kwenda popote manake aliondoka kijambazi na mtaji wa milioni 8 nilizokopa kazini,ameacha nymba tuliyojrnga na shamba la kama hekari mbili nakwenda kupanga!!!!!!!hiyo akili au matope......??? mrudie mumeoNaombeni msaada nataka kwenda ustawi, baba wa watoto huduma ananisumbua maana ni mfanyakazi TANESCO Engineer Grade 1 anapokea 2.8. Sasa naombeni msaada - Je, kwa mshahara huo naweza pata elfu 50 ustawi au wanadanganya?
Kuna watu badaye hapa lazima watapandikizwa chuki
Ova
Wamama wakorofi hujenga chuki kwa watotoHaijalishi mkuu, kama umegombana na Mama wa Mtoto ndiyo usitoe hela ya matumizi?
Hapo huoni anayeumia ni Mtoto, imagine unamkuta Mtaani huyo mwanao akiwa Chokolaa, utapenda Mkuu?
Umemzoesha hivyo, makosa ni yako. Watoto wana tabia moja in common, wanabeba kile unachowafundisha. Huenda wewe ndio unapenda choma na kaanga.
Very straight!! On a serious note kumbe unaweza kuingia kwenye mahusiano ukaropoka kumbe mwenzio anachukua notes za salary slip yakoNi mume wako au? Wanapima DNA kama sio mume wako.
Na pili, inaweza hata isifike 50k kwa maana na yeye ana majukumu mengine.
Mi mtoto wangu anakula kila kilichopikwa kasoro vitunguu, nyanya utazikita pembeniMtoto wangu hapendi vitu chukuchuku au mchesho ,samaki mbichi hali,lazima ukaange urosti
Ndizi za kukaanga na kachumbari hata bila nyama yeye anaridhika mno ilimradi tomato iwepo
Mi uchelewe mwezi hiyo mimba siitambui labda mtoto afanane na mimi chochote hata kucha zangu mbayaHiyo ni kawaida kabisa kuchelewa kujifungua
Hili somo ni muhim. Sijui tulisambaze kupitia siasa au dini!Sii jogoo tu hata simba dume halei watoto ni jukumu la simba jike! Hivi unajua hata simba jike akipata joto anataka dume bsasi kuwinda swala safi na kuohonga simba dume ili apate nguvu za kutosha kumshughulikia jike vizuri? Hata zamani mwanamme alikuwa anaoa wake watatu yeye anajenga tu nyumba na halafu wanawake wanalima chakula chao wenyewe na kuzaa watoto! Hii ndo asili! Sasa huyo baba hata ukumpeleka ustawi kama ana watoto wengine 10 unafikiria wewe utaambulia nini? Komaa tu tafuta riziki!
Kuna mtoto mmoja katibiwa bure huko huko kanda ya ziwaWatoto wapi wanatibiwa bure?
Maziwa tu ya kifuani yanatosha kweli?huyo mama si atakauka kifua
Ni sahihi Mkuu, ila sio jambo zuri kutelekeza watoto wako bila kuwahudumia.Kama hana huo uwezo
Serikali ilitunga ikiwa inajitambua, na ukienda mahakamani mahakama kupitia ustawi wa jamii wataangalia hali zote na watatoa maamizi ambayo yanaweza gawanywa iwe 50/50