Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
Sasa mpaka unasingiziw ni mjinga.Usitukane watu hujui sababu, vipi kama mhusika kasingiziwa kwa sababu ya mshahara?
Mjinga sio tusi ni mtu mwenye uelewa mdogo sana. .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mpaka unasingiziw ni mjinga.Usitukane watu hujui sababu, vipi kama mhusika kasingiziwa kwa sababu ya mshahara?
Mpenzi achana na habari za kupelekana ustawi wa jamii, 50000 inatosha nini kwa maisha ya sasa hivi?? Ni mara mia ukamlea mwenyewe mtoto wako kama baba hana habari ya kulea mwanae hakuna haja ya kumlazimisha. Jishughulishe mwanamke mwenzangu umlee mwanao.Naombeni msaada nataka kwenda ustawi, baba wa watoto huduma ananisumbua maana ni mfanyakazi TANESCO Engineer Grade 1 anapokea 2.8. Sasa naombeni msaada - Je, kwa mshahara huo naweza pata elfu 50 ustawi au wanadanganya?
Mtoto hapaswi chagua chochote maana hajui kesho itakuwaje na hana uwezo wa kutafuta.Umemzoesha hivyo, makosa ni yako. Watoto wana tabia moja in common, wanabeba kile unachowafundisha. Huenda wewe ndio unapenda choma na kaanga.
Enzi za kikwete watoto walitibiwa mpaka miaka mitanoKuna mtoto mmoja katibiwa bure huko huko kanda ya ziwa
Sio wote mi sinaga time na nyuchi, ila ukizingua hata mia hupewiHalaf wapo hivi mwanamke kama humpi uchi baba mtoto hatoi matumizi Yaan akili za hawa watu sijui zipoje na unakuta kaoa yeye ila mda anaotaka apewe madikteta kweli
Pambana lea mwanao, achana nae.
Ushawahi ona jogoo analea vifaranga? Wanaume hawaleagi, its nature....atahudumia mtoto Kama na wewe unamuhudumia, Kama uko tayari kufata matumizi ya mtoto guest endelea kumsumbua, Kama unajali utu wako pambana mwenyewe.....mlezi mkuu ni Mungu, mtoto atakua tu bila yeye.
Angalizo, akileta matumizi usikatae na usimlishe mtoto sumu kumuhusu.
Ni kweli lakin si unajua kuwa kuna vyakula mtoto wako anavipenda kwanin kila mara asipikiwe akala na ambavyo havipendi ale mara moja moja si mbayaMtoto hapaswi chagua chochote maana hajui kesho itakuwaje na hana uwezo wa kutafuta.
Mi kitachopikwa atakula hivyo hivyo.
Huwa anajifanya kutaka tapika namwambia ukitapika utakula matapishi, akisikia hivyo anakula anamaliza ananionesha Baba ona nimemaliza
WA kwako katibu si unawaulia kwenye mataulo na matambaladah, shauri ya nyege na kumwaga ndani
ulipagawishwa na 2.8 siyo
Watu kama hao unawaacha ma ujeuri wao.kwa nini mlitengana????,mimi mwenyewe hapa nilimpa wife mtaji aanze biashara samaki jumla na rejareaja,matokeo yake akaanza kiburi na dharau za hali ya juu{baada ya biashara kuchanganya},,,basi bana alipoona kama nammbana akabeba vitu kibao vya ndani,na duka akahamishia anapopajua yeye na yeye kwenda kupanga anapopajua,,,,mimi sikuhangaika nae,na wakati anabeba vitu mimi nilikuwa grocery ya jirani namwagilia moyo baada ya kutoka kwa job,,,,,nilimpigia nikamwambia beba kila ki2 niachie vitambulisho vya kazi na bank ukimaliza huo uchafu unaofanya nipigie simu nije kulala,,,,ninavoandika hapa duka kafunga{kafilisika},,anauza pombe kali za kupima na tigo pesa yenye mtaji wa ukubwa wa sisimizi,,,watoto wako boarding ila mdogo aliondoka nae...sasa akaanza kunisumbua niwe namtumia pesa za amalezi,nimegoma nahawezi kwenda popote manake aliondoka kijambazi na mtaji wa milioni 8 nilizokopa kazini,ameacha nymba tuliyojrnga na shamba la kama hekari mbili nakwenda kupanga!!!!!!!hiyo akili au matope......??? mrudie mumeo
Ila ilikuaje ukaamua kuzaa naye? Haya mambo sometime mnayataka wenyewe. Mtu hajaamua kuwa na mtoto unaona ujikamatishe mimba. Mwanaume huwa suala la kulea anajua ni lake na ukiona hataki hilo achana naye. Pambana wakati mnakatikiana viuno mlipaswa mjue hili nalo lipo. Mnaanza kusumbua watu wawalipe pesa za matunzo. Hao watoto msitumie kama kitega uchumi. Wewe angalia unapataje pesa fanya shughuli flani mtoto apate mahitaji yake. Achana na huyo mwanaumeNaombeni msaada nataka kwenda ustawi, baba wa watoto huduma ananisumbua maana ni mfanyakazi TANESCO Engineer Grade 1 anapokea 2.8. Sasa naombeni msaada - Je, kwa mshahara huo naweza pata elfu 50 ustawi au wanadanganya?
Huyu Dejane asimsingizie mtoto, hizo tabia zote za mtoto ni zake. Mfundishe mtoto nini ale, asichague chakula uone kama atakusumbua. Kwangu hakuna chakula cha baba wala mtoto(kuna nyumba baba anapikiwa separate, kwangu ni upuuzi mtupu), wote tunakula lilichopikwa na watoto wanafurahia sana tu.Mtoto hapaswi chagua chochote maana hajui kesho itakuwaje na hana uwezo wa kutafuta.
Mi kitachopikwa atakula hivyo hivyo.
Huwa anajifanya kutaka tapika namwambia ukitapika utakula matapishi, akisikia hivyo anakula anamaliza ananionesha Baba ona nimemaliza
Na wazee wanavyojua kuugua sasa kupelekwa hospital sijui nin Halaf unazeeka peke yako weeNi sahihi Mkuu, ila sio jambo zuri kutelekeza watoto wako bila kuwahudumia.
Hata kama huna hela basi ujitahidi hata kidogo kinachopatikana kuwatumia.
Kuna wakati tunaweza kujivunia Nguvu za Ujana tulizonazo lakini kuna wakati utawahitaji hao watoto japo wakusaidie kutoka Nje ya nyumba kwaajili ya kuota Jua na Jioni kukurudisha ndani wakati ukisubiri kufa.
Uwiano wa 50k ni ndogo sana kulingana na kipato chake maana sidhani kama itatosha na maisha yalivyo juu kwa sasa ..... kama una hakika utapata walau 250k au 300k nenda otherwise pambana kama MUNGU amekujalia afya njema na uhai ..Naombeni msaada nataka kwenda ustawi, baba wa watoto huduma ananisumbua maana ni mfanyakazi TANESCO Engineer Grade 1 anapokea 2.8. Sasa naombeni msaada - Je, kwa mshahara huo naweza pata elfu 50 ustawi au wanadanganya?
😅 😅 😅 kwenye flana, special kabisa nimeinunuaWA kwako katibu si unawaulia kwenye mataulo na matambala
WA kwako katibu si unawaulia kwenye mataulo na matambala
Unawazoesha vibaya watakuwa obeseSasa chipsi tukanunue vibandani jamani kila mara ?akaange ale na mayai yapo
Watoto wanapenda chips wewe na wali
Mi kwangu unga wa ugali huwa Upo tu hauishi
PointHaya sawa tumezaa mtoto, badae nakwambia nipe mwanangu nimlee mwenyewe hutaki unataka ubaki nae wewe utafikir mi ni mtu Baki. Pambana