HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Ndio maana kwenye jukwaa letu wakaanga sana.Sasa mwembamba mrefuu acha ale anenepe tu siku hizi kaanza nenepa angalau ,acha ale tu halaf anapenda vitu vya kukaanga na kachumbari ananimalizia mafuta huyuuu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mi dogo hapendi kula kabisa sijui kagonjwa