bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
ati halafu aje kujitokeza mtu anajiita baba anaomba mtoto amsaidie, hivi kweli mtoto atamsaidia?we kaka nimeolewa nae sijafwata mali maan hakuwa na mali pindi tupo wote
Na wengine watamsema mtoto ati baba ni baba tu, wakati baba mwenyewe ndiyo huyo hataki kusaidia hata shilingi.
Shubamiti, Bangaladeshi mmoja (kwa matusi ya Sanga)!