Alisema usedTapeli ama anakuuzia mchina, pixel 8 pro mpya ni 2M+
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisema usedTapeli ama anakuuzia mchina, pixel 8 pro mpya ni 2M+
Redmi note 12 pro vs Redmi note 13 pro 5G same price akimbilie wapi?Kwa simu MPya ambayo unafungua mwenyewe kila kitu Samsung A34. Kwa Xiaomi unapata redmi note 12 pro, zote ni simu zinafanana kwenye perfomance huku Xiaomi ikiwa na Camera nzuri na Samsung ikikaa na chaji zaidi.
13 pro nzuri zaidi kama utaipata kwa hio bei.Redmi note 12 pro vs Redmi note 13 pro 5G same price akimbilie wapi?
Hata kMa used mkuu itakua 1M-1.5MAlisema used
DUKA LIPI HILO HAPA TANZANIA WANAUZA SAMSUNG A34 LAKI 6 MKUU? A34 NI LAKI 7 NA NUSU REDMI NOTE 12 PRO 5 NI LAKI 8
350 to 450k,, A15 kidogo ni pana kuliko hii note 12s ndio maana sijaielewaKwa bei gani mkuu, maana hata A15 ina soc yenye speed kushinda hii
Kwa hio bei sio mbaya350 to 450k,, A15 kidogo ni pana kuliko hii note 12s ndio maana sijaielewa
Au kama kuna simu nyingine yenye umbo kama hilo,, naomba unishauri mkuuKwa hio bei sio mbaya
chief mkwawa na wengine je nikienda kununua samsang s21 pale kwa zahoro matelefon china plaza je udumuji, n ubora wa simu zke ,znaweza kunisogeza n mm kuinjoi ,au zitanifia kesho tu ?Kwa hio bei sio mbaya
Hata ikiwa mpya mkuu unless huna matumizi makubwa haushauriwi kununua S21 mkuu.Mkuu
chief mkwawa na wengine je nikienda kununua samsang s21 pale kwa zahoro matelefon china plaza je udumuji, n ubora wa simu zke ,znaweza kunisogeza n mm kuinjoi ,au zitanifia kesho tu ?
Nilipita kwa Zahoro karibia flagship za samsung zote zina dot kwenye display sema bei zake ni kitonga sijajua sasa kama zina shida nyingine au laa sikuchukua maana najisikia aibu kutumia simu yenye dot kwenye kiooMkuu
chief mkwawa na wengine je nikienda kununua samsang s21 pale kwa zahoro matelefon china plaza je udumuji, n ubora wa simu zke ,znaweza kunisogeza n mm kuinjoi ,au zitanifia kesho tu ?
Sawa wakuu nashukuru kwa ushauri wenu ,nmefikia maamuzi ya kwenda kununua Samsang A34Hata ikiwa mpya mkuu unless huna matumizi makubwa haushauriwi kununua S21 mkuu.
Kumbe ndio maana bei cheeNilipita kwa Zahoro karibia flagship za samsung zote zina dot kwenye display sema bei zake ni kitonga sijajua sasa kama zina shida nyingine au laa sikuchukua maana najisikia aibu kutumia simu yenye dot kwenye kioo
Mkkuu nishauri hapa samsung A55 au pixel 6 nichukue ipiMatumizi ni yapi? Pixel utapata camera nzuri ila nje ya Camera hasa series ya 6 haitakua simu nzuri.
Camera probably pixel 6 vilivyobakia A55 kuanzia ukaaji chaji, Display, perfomance (sustained) software support etc A55 ni nzuri. Pia cheki vivo V30 kama umeielewa A55Mkkuu nishauri hapa samsung A55 au pixel 6 nichukue ipi
Aksante13 pro nzuri zaidi kama utaipata kwa hio bei.
Kuna hawa Thehub Tech insta wana Bei punguzo kwa 650k 13 pro 5G. 8/256.... Nitamshauri Mdau tuwajaribu13 pro nzuri zaidi kama utaipata kwa hio bei.
kwa hii bei mkuu ni simu nzuri sana, AtwokiKuna hawa Thehub Tech insta wana Bei punguzo kwa 650k 13 pro 5G. 8/256.... Nitamshauri Mdau tuwajaribu
HUU USHAURI MZURI SANA, AKIPATA MPYA KWENYE AINA HIZI ATA ENJYOY SANAHizo simu si zinalalamikiwa zinajizima gafla? nakushauri achana nazo tafuta samsung, xiaom au iphone kama unapenda IOS.