Fene
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 2,824
- 4,447
Utaleta mrejesho mzee, nataka nifuate nyayo kwa hiyo simuPamoja kk ngoj niwachek
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaleta mrejesho mzee, nataka nifuate nyayo kwa hiyo simuPamoja kk ngoj niwachek
kwa hii bei mkuu ni simu nzuri sana, Atwoki
kwa hii bei mkuu ni simu nzuri sana, Atwoki
View: https://www.instagram.com/p/C9U2MLnCy8S/?igsh=cXBhNjM4NTBzd3Jt
13 pro 700k huyu Ni Trusted Seller nimeshafanya naye Biashara kama mara 2-3 hivi.
Mkuu, kwenye moja ya comments umesema kupata Samsung original kwa hapa TZ ni mtihani, je hata ukienda Samsung Tanzania nako huwezi kupata genuine product pia?.Boss ya juu ni note 13 plain haina issue, ya chini ni note 13 pro, hio pro ndio nzuri na utofauti wake na note 13 plain ni mkubwa.
Original ama brand new? Nyingi mtaani ni OG sema refurbished. Ukienda Samsung Tanzania ama hata Wakala anaejulikana unapata brand new, ila bei pia zinakua zimechangamka inategemea na model.Mkuu, kwenye moja ya comments umesema kupata Samsung original kwa hapa TZ ni mtihani, je hata ukienda Samsung Tanzania nako huwezi kupata genuine product pia?.
Mm nmenunua A35 700,000 country of origin n Vietnam sijapigwa kwellOriginal ama brand new? Nyingi mtaani ni OG sema refurbished. Ukienda Samsung Tanzania ama hata Wakala anaejulikana unapata brand new, ila bei pia zinakua zimechangamka inategemea na model.
Mkuu hv kuna namna ya kuactivate esim kwenye sim ambazo znasapot e sim lkn kwenye nchi husika hawaja weka mfano mm y king country of origin n vietnamKama feki hivi, umeitest mkuu na cpu Z ama software yoyote nzuri ya kucheki specs?
Most of time hizi midrange hazina shida sana mkuu, zipo refurb ila mpya pia zinapatikana kirahisi.Mm nmenunua A35 700,000 country of origin n Vietnam sijapigwa kwell
Origin ya simu haimaanishi simu imetengenezwa kwa ajili ya soko hilo. Vietnam kuna kiwanda kikubwa cha Samsung, simu Ya Ulaya, Marekani, Korea etc Inaweza ikatengenezwa Vietnam ikauzwa huko.Mkuu hv kuna namna ya kuactivate esim kwenye sim ambazo znasapot e sim lkn kwenye nchi husika hawaja weka mfano mm y king country of origin n vietnam
Kwangu ni dual sim , japo niki gugo wasema inaweza supprt esim ila sijaonaOrigin ya simu haimaanishi simu imetengenezwa kwa ajili ya soko hilo. Vietnam kuna kiwanda kikubwa cha Samsung, simu Ya Ulaya, Marekani, Korea etc Inaweza ikatengenezwa Vietnam ikauzwa huko.
Ya kwako ina Esim ama dual sim?
Kwa Gsmarena walivyoandika hapaYa
Kwangu ni dual sim , japo niki gugo wasema inaweza supprt esim ila sijaona
A35 INAUZWA LAKI 7 MBONA BEI RAHISI SANA?Ooh hapo nmekuppata mkuu pamoj sana ngoja niendelee kuinjoi
Hiyo na hii ukiangalia ipi ni orijino?Angalia hii picha kidevu cha chini kwenye hii simu note 20 ultra
View attachment 3098789
Zipo nyingi, nano SIM + eSIMKama kuna google pixel mini smartphone line 2 mniambie
Jiko la umeme, zinalalamikowa kupata joto sana nankufeli kupiga picha mjongeoVipi kuhusu pixel 8 pro
Kioo pia, kakidondoka kidogo tu kwisha. Bei ya kioo sio habaGoogle pixel mchawi betri na kupata moto kama tanuri. Asante.