yellow java
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 1,228
- 2,234
Sio kweli Mimi ninayo 6 xl ,mwaka wa 2 naelekea mwaka wa 3 sasa...Hizo simu si zinalalamikiwa zinajizima gafla? nakushauri achana nazo tafuta samsung, xiaom au iphone kama unapenda IOS.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli Mimi ninayo 6 xl ,mwaka wa 2 naelekea mwaka wa 3 sasa...Hizo simu si zinalalamikiwa zinajizima gafla? nakushauri achana nazo tafuta samsung, xiaom au iphone kama unapenda IOS.
Kupata moto mbona hadi samsung old flagship za used from dubai mkuu.Google pixel mchawi betri na kupata moto kama tanuri. Asante.
mkuu kwemaMatumizi ni yapi? Pixel utapata camera nzuri ila nje ya Camera hasa series ya 6 haitakua simu nzuri.
6 na 7 hazina tofauti Sana mkuumkuu kwema
nataka nichukue pixel 7 plain
hii vipi ?
Okay6 na 7 hazina tofauti Sana mkuu
Ndio mkuu Chaji ukaaji kawaida na pia kama una matumizi makubwa itapata Joto. Kifupi mkuu kama una matumizi makubwa ya camera kwa bei rahisi ndio unanunua pixel otherwise kuna simu nzuri zaidi overall.Okay
Vp kuhusu changamoto zake maana naona wengi wanasema zina changamoto ya kuzima zenyewe na hasikai na chaji
Asante kwa ufafanuziNdio mkuu Chaji ukaaji kawaida na pia kama una matumizi makubwa itapata Joto. Kifupi mkuu kama una matumizi makubwa ya camera kwa bei rahisi ndio unanunua pixel otherwise kuna simu nzuri zaidi overall.
Refurbished flagship ni simu zenye snapdragon 8+ gen 1, all around zitakupa experience nzuriAsante kwa ufafanuzi
Mbadala wake naweza chukua simu gani bajeti 600K