sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
copy paste fb 😂😂
JE NICHUKUE UAMUZI UPI KAMA MTU MZIMA.
Ni mtoto wa ndugu yangu, mara ya mwisho kuonana nae ilikuwa kama miaka 7 iliyopita, kipindi hicho tulitokea kuwa na mazoea sana, kahamia mkoani kwangu huku kiukweli dogo kapanda hewani yupo kama futi 6 .3,,,mimi nipo 5.9
Sasa kahamia mkoa wangu huku anafanya shughuli zake, kwahio huwa tunakutana mara kwa mara.
Tatizo linakuja tukikutana huwa ni kama anatania flani hivi ila inakuwa style ya kuniona mimi mfupi kuzidi yeye so huwa ni kama analeta kaubabe flani hivi.
Jana nilikuwa sehem flani nimepumzika nimechoka baada ya kutoka kazini, nikashangaa mtu kanipiga vidole kwenye mbavu kama ule mchezo wa sekondari, niliamka na hasira sana, nikaona ni huyu dogo, sasa wakati nimefura akawa kama ananiangalia chini kudhiirisha urefu wake na misuli yake hio ya mazoezi, nilimuonya ila alibaki anacheka tu.
Nichukue uamizu gani
JE NICHUKUE UAMUZI UPI KAMA MTU MZIMA.
Ni mtoto wa ndugu yangu, mara ya mwisho kuonana nae ilikuwa kama miaka 7 iliyopita, kipindi hicho tulitokea kuwa na mazoea sana, kahamia mkoani kwangu huku kiukweli dogo kapanda hewani yupo kama futi 6 .3,,,mimi nipo 5.9
Sasa kahamia mkoa wangu huku anafanya shughuli zake, kwahio huwa tunakutana mara kwa mara.
Tatizo linakuja tukikutana huwa ni kama anatania flani hivi ila inakuwa style ya kuniona mimi mfupi kuzidi yeye so huwa ni kama analeta kaubabe flani hivi.
Jana nilikuwa sehem flani nimepumzika nimechoka baada ya kutoka kazini, nikashangaa mtu kanipiga vidole kwenye mbavu kama ule mchezo wa sekondari, niliamka na hasira sana, nikaona ni huyu dogo, sasa wakati nimefura akawa kama ananiangalia chini kudhiirisha urefu wake na misuli yake hio ya mazoezi, nilimuonya ila alibaki anacheka tu.
Nichukue uamizu gani