Msaada: Ni mara ya pili nataka kujidhuru

Msaada: Ni mara ya pili nataka kujidhuru

Sioni walau wa kunishika mkono, wala anaewaza kuwa fulani yupo wapi na anafanya nini.

Kuna muda sitamani kuwasiliana na mtu yoyote hasa ndugu zangu, naona kama wananichora.
Nenda ofisi ya Mwenyekiti wako wa Mtaa kajielezee km wanakufahamu watakutatulia tatizo lako, una tatizo gani kwani ? Akili yako Ina shida au wewe una msongo wa mawazo maisha magumu jobuless ?
 
You are too soft my friend, hilo la kukufanya utake kujitoa roho!?,mtu anafiwa wazazi na ndugu zake wote akiwa mdogo anabaki yeye na anateswa na wanaomtunza na bado anapambana, wewe unataka kujitoa roho Kwa hizi sababu za kitoto??., Hii Dunia ni ya kupambana sio lelemama.
Hiyo ni short breef sana kaka kuna mengine ambayo yejificha that why sihitaji ata kuwasilian na ndugu zangu kaka
 
Hiyo ni short breef sana kaka kuna mengine ambayo yejificha that why sihitaji ata kuwasilian na ndugu zangu kaka
Kuna mtu wiki hii ameambiwa ana Kansa na hawezi kupona na hadi kipimo kachangiwa na wasamaria wema, lakini bado ana matumaini ya kuishi,sasa wewe mzima kabisa wa afya una mikono na miguu unafeli wapi!?
 
Una shida gani elezea huwezi jua tunaweza kukusaidia.mambo ni mengi ndugu nchi inauzwa,Mayele na Saidoo bado halijatatuliwa na bodi ya ligi nacho ni kipengele.
 
Kama huna familia

1. Ondoka dar
2.usiwasiliane na ndugu yoyote
3. Hakikisha hawajui uko wapi? Lakn hakikisha una ID za kuwapata ndugu zako in case of anything tembea nazo kwenye wallet
4. Nenda hata machimbo ya dhahabu hasa Kanda ya ziwa geita,mwanza, shinyanga kama uko smart utajipata sio muda mrefu
 
Kama huna familia

1. Ondoka dar
2.usiwasiliane na ndugu yoyote
3. Hakikisha hawajui uko wapi? Lakn hakikisha una ID za kuwapata ndugu zako in case of anything tembea nazo kwenye wallet
4. Nenda hata machimbo ya dhahabu hasa Kanda ya ziwa geita,mwanza, shinyanga kama uko smart utajipata sio muda mrefu
Wazo nzuri
 
Hi,

Kiukweli nina mawazo sana, sana, leo nimenusurika kugongwa na gari mara mbili. Mara ya kwaza ilikuwa pale Mbuyuni, mara ya pili Morocco. Binafsi sioni umuhimu wa mimi kuishi, nawonea wivu wale waliotangulia mbele za haki, mapambano yamekuwa magumu sana, peke yangu siwezi kabisa.

Mara ya kwaza nilitaka kujirusha kwenye gorofa la NSSF Posta kuna mtu akaniona sikuweza, ila hali hii imekuwa ikijirudia sana, mawazo kwangu hayaishi. Kila siku mambo mapya, hakuna siku inayoisha vizuri kwangu.

Sioni walau wa kunishika mkono, wala anaewaza kuwa fulani yupo wapi na anafanya nini.

Kuna muda sitamani kuwasiliana na mtu yoyote hasa ndugu zangu, naona kama wananichora.
What's popping kijana
 
Unavyomuonea huruma kama kweli!?🤣, anayetaka kijiua hakimbilii JF anaenda kununua kamba au sumu fasta. Sasa huyu akiulizwa hasemi anakabiliwa na nini hapohapo anasubiri kujibu post za watu. Kuna jamaa alitaka kujiua akaenda kununua sumu halafu akakomalia chenji yake Sasa sijui ilikuwa ya nini!?😂, Huyu anawazuga tu hajiui leo wala kesho, anaonekana mtu wa kudeka kutafuta kubembelezwa.
Kuna watu waliowahi kuleta nyuzi kama hizi hapa wakachekwa na kudhihakiwa lakini mwisho wa siku kweli wakajiua na JF ikathibitisha...

So ni vyema kujaribu kuwasaidia kama inawezekana maana huduma zetu za mental health katika nchi hii ni zero labda mpaka mtu uokote makopo ndiyo watu wanajua kuwa ulikuwa serious...

Na kama mtu analeta jambo kama hili kama dhihaka basi mtu huyo nadhani ana matatizo makubwa zaidi kuliko hata anayetaka kujiua kikweli!
 
After simu yako kuna simu iliingia imenivuruga

Imagen mtu anatumia madhaifu yako ili anufaike mimi huwa sina roho mbaya watu wananitumia kwafaida zao mwisho wasiku mimi nabaki pale pale wanapenda kuona nikiwa palepale ili wakiwa na shida niwasaidie chap lakini ishu inapikuja kuwa ya kwangu hawaipi kipaumbele kama mimi navyo wapa wao kipaumbele na kujituma ili wafurahi nimetumia nguvu nyingi sana kumuaminisha kuwa naweza kufanya makubwa mwisho wa siku ananiamin then ananiachia kazi naifanya kwa ufasihi bila tamaa mwisho mtu wake wakaribu anakuja kukutupia matusi na kauli za kejeri kana kwamba hakuna kitu ulichokifanya baada ya hapo akijua umeumia anakuja kujirudi uku akisingizia mtu mwingine ambaye haja sema hivyo ila niyeye mdio amesema ukiangalia ni mtu mzima uwezi mjibu wala kumtukana unamuacha kusema kesho atabadirika kesho anarudia tena zaid ya jana sasa nawaza ukimya wangu unampa jeuri ya yeye kuendelea kufanya anacho ifanyia

Watu tunawekeza iman kubwa kwa watu ili watu amini af mtu mmoja anakuja kuivunja iman iyo bila kuheshimu jaman hiyo ni sawa?
Tutaongea pakikucha 🤔
Unanitisha dadako we mtoto!!
 
Back
Top Bottom