Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Niko hewani totoosema nini ntakucheck mida nina code nzito
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko hewani totoosema nini ntakucheck mida nina code nzito
Avatar yako inasema Hold on,vumilia sasaHi,
Kiukweli nina mawazo sana, sana, leo nimenusurika kugongwa na gari mara mbili. Mara ya kwaza ilikuwa pale Mbuyuni, mara ya pili Morocco. Binafsi sioni umuhimu wa mimi kuishi, nawonea wivu wale waliotangulia mbele za haki, mapambano yamekuwa magumu sana, peke yangu siwezi kabisa.
Mara ya kwaza nilitaka kujirusha kwenye gorofa la NSSF Posta kuna mtu akaniona sikuweza, ila hali hii imekuwa ikijirudia sana, mawazo kwangu hayaishi. Kila siku mambo mapya, hakuna siku inayoisha vizuri kwangu.
Sioni walau wa kunishika mkono, wala anaewaza kuwa fulani yupo wapi na anafanya nini.
Kuna muda sitamani kuwasiliana na mtu yoyote hasa ndugu zangu, naona kama wananichora.
Pimbi wewe hold on kama jina lako! Mtu gani utataka kufa then unaandika na kujibu vizuri hivi kwenye jf@ fala wewe na hutakufa ila cha moto utakiona bwege kabisaHi,
Kiukweli nina mawazo sana, sana, leo nimenusurika kugongwa na gari mara mbili. Mara ya kwaza ilikuwa pale Mbuyuni, mara ya pili Morocco. Binafsi sioni umuhimu wa mimi kuishi, nawonea wivu wale waliotangulia mbele za haki, mapambano yamekuwa magumu sana, peke yangu siwezi kabisa.
Mara ya kwaza nilitaka kujirusha kwenye gorofa la NSSF Posta kuna mtu akaniona sikuweza, ila hali hii imekuwa ikijirudia sana, mawazo kwangu hayaishi. Kila siku mambo mapya, hakuna siku inayoisha vizuri kwangu.
Sioni walau wa kunishika mkono, wala anaewaza kuwa fulani yupo wapi na anafanya nini.
Kuna muda sitamani kuwasiliana na mtu yoyote hasa ndugu zangu, naona kama wananichora.
Inatosha wanasaikilojia na wahitimu wa cuba tushaelewaSijawai sumbuliwa na mapenzi kwasababu sio kipaumbele changu
Usijidhuru, huna marafiki wa kuwashirikisha linalokusibu?Hi,
Kiukweli nina mawazo sana, sana, leo nimenusurika kugongwa na gari mara mbili. Mara ya kwaza ilikuwa pale Mbuyuni, mara ya pili Morocco. Binafsi sioni umuhimu wa mimi kuishi, nawonea wivu wale waliotangulia mbele za haki, mapambano yamekuwa magumu sana, peke yangu siwezi kabisa.
Mara ya kwaza nilitaka kujirusha kwenye gorofa la NSSF Posta kuna mtu akaniona sikuweza, ila hali hii imekuwa ikijirudia sana, mawazo kwangu hayaishi. Kila siku mambo mapya, hakuna siku inayoisha vizuri kwangu.
Sioni walau wa kunishika mkono, wala anaewaza kuwa fulani yupo wapi na anafanya nini.
Kuna muda sitamani kuwasiliana na mtu yoyote hasa ndugu zangu, naona kama wananichora.
Habari za leo,Hi,
Kiukweli nina mawazo sana, sana, leo nimenusurika kugongwa na gari mara mbili. Mara ya kwaza ilikuwa pale Mbuyuni, mara ya pili Morocco. Binafsi sioni umuhimu wa mimi kuishi, nawonea wivu wale waliotangulia mbele za haki, mapambano yamekuwa magumu sana, peke yangu siwezi kabisa.
Mara ya kwaza nilitaka kujirusha kwenye gorofa la NSSF Posta kuna mtu akaniona sikuweza, ila hali hii imekuwa ikijirudia sana, mawazo kwangu hayaishi. Kila siku mambo mapya, hakuna siku inayoisha vizuri kwangu.
Sioni walau wa kunishika mkono, wala anaewaza kuwa fulani yupo wapi na anafanya nini.
Kuna muda sitamani kuwasiliana na mtu yoyote hasa ndugu zangu, naona kama wananichora.
Mkuu uko na depression, pole Sana... Ila swali dogo tu la kukurudisha duniani maana kwa sasa uko ulimwengu wa kujikataa... 😁 😁 Hivi umejiuliza kuwa Mungu aliekuumba kwanini anakuruhusu Kuishi hapa duniani? Tukijua yeye ndie anakupa Pumzi basi utajua kuwa yeye ndio wa kumtumaini kwa riziki zako... Acha kutumia akili zako hazitoshi peke yako.. Mrudie Muumba wako atakuongoza vemaHi,
Kiukweli nina mawazo sana, sana, leo nimenusurika kugongwa na gari mara mbili. Mara ya kwaza ilikuwa pale Mbuyuni, mara ya pili Morocco. Binafsi sioni umuhimu wa mimi kuishi, nawonea wivu wale waliotangulia mbele za haki, mapambano yamekuwa magumu sana, peke yangu siwezi kabisa.
Mara ya kwaza nilitaka kujirusha kwenye gorofa la NSSF Posta kuna mtu akaniona sikuweza, ila hali hii imekuwa ikijirudia sana, mawazo kwangu hayaishi. Kila siku mambo mapya, hakuna siku inayoisha vizuri kwangu.
Sioni walau wa kunishika mkono, wala anaewaza kuwa fulani yupo wapi na anafanya nini.
Kuna muda sitamani kuwasiliana na mtu yoyote hasa ndugu zangu, naona kama wananichora.
pole sana,ila kila unayemuona katika dunia hii anachangamoto zake na zinaweza kuwa kubwa zaidi ya zako,cha muhimu kubali hali halisi,Muombe Mungu na pambana kutatua changamoto hizo.Na kama unaweza tafuta mtu wa makamo au rafiki uzungumze changamoto yako anaweza kukusaidia mawazo ,hata kama hautopata mawazo lakini angalau ukizungumza unaweza jisikia vizuri.Shida mimi naona ni nyingi sana matatizo hajawai isha ata yakitatuliwa zinakuja changamoto ambazo zina kuvunja moyo kupambana
Mleta mada funguka tukussidie.Shida nini? Pesa, ajira, mapenzi, magonjwa au nini?
Usitegemee chocolate kutoka kwa watu, usitende wema wowote kwa mtu kama unategemea malipoAfter simu yako kuna simu iliingia imenivuruga
Imagen mtu anatumia madhaifu yako ili anufaike mimi huwa sina roho mbaya watu wananitumia kwafaida zao mwisho wasiku mimi nabaki pale pale wanapenda kuona nikiwa palepale ili wakiwa na shida niwasaidie chap lakini ishu inapikuja kuwa ya kwangu hawaipi kipaumbele kama mimi navyo wapa wao kipaumbele na kujituma ili wafurahi nimetumia nguvu nyingi sana kumuaminisha kuwa naweza kufanya makubwa mwisho wa siku ananiamin then ananiachia kazi naifanya kwa ufasihi bila tamaa mwisho mtu wake wakaribu anakuja kukutupia matusi na kauli za kejeri kana kwamba hakuna kitu ulichokifanya baada ya hapo akijua umeumia anakuja kujirudi uku akisingizia mtu mwingine ambaye haja sema hivyo ila niyeye mdio amesema ukiangalia ni mtu mzima uwezi mjibu wala kumtukana unamuacha kusema kesho atabadirika kesho anarudia tena zaid ya jana sasa nawaza ukimya wangu unampa jeuri ya yeye kuendelea kufanya anacho ifanyia
Watu tunawekeza iman kubwa kwa watu ili watu amini af mtu mmoja anakuja kuivunja iman iyo bila kuheshimu jaman hiyo ni sawa?
Imebidi nicheke kwanza,,kama anataka ku give up a give tu eeToday we don't have a motivational quote if you want to give up give.
Usha sema unamshahara sa hivi nini tena
Mnataka uhusiano mzuri na ndugu wakati hutaki kuombwa elfu kumi