Msaada: Niliingia mkataba wa bajaji kwa miaka miwili, baada ya miezi 20 nimepokonywa bajaji

Msaada: Niliingia mkataba wa bajaji kwa miaka miwili, baada ya miezi 20 nimepokonywa bajaji

1- hawakuandikishana popote Bali walipeana Ile ya kuaminiana.
2- kwanini hawakuandikishana, nikwasababu aliwahi kufanya kazi ya kuuza duka la mdau la spare.
3- Hilo swala lilifikishwa kwa mtendaji na mpaka polisi, ambapo mdau alikana kumpa dog chombo chake na hafahamu makubaliano ya aina yote baina Yao.
4- mdau ni askari hivo ni kama anamkandamiza dog kupata haki yake. Na ukizingatia chombo kilitunzwa na bado Kiko vizuri.
5-mpaka bandiko hili linakuja huku, dog alikuwa amewekwa lockup kwa kesi ya kumtusi huyo mdau. Ila tulifanikiwa kumtoa swala limebaki kwenye haki za huyo dogo kwenye hio bajaj. Mdau kasema labda afe na chombo kashakiuza jana jioni 4.3ml. Inaumiza kwakweli.
Bro hapo kasha poteza, na nyinyi tafuteni mtu mwenye ka wadhifa kidogo.

Ila ndo Ina enda kuwa criminal case tu, maana kuumizana ni rahisi.

Siku nyingine usi fanye biashara kwa maneno au kuaminiana kwa mdomo,
Hela haija wahi muacha mtu salama
 
1- hawakuandikishana popote Bali walipeana Ile ya kuaminiana.
2- kwanini hawakuandikishana, nikwasababu aliwahi kufanya kazi ya kuuza duka la mdau la spare.
3- Hilo swala lilifikishwa kwa mtendaji na mpaka polisi, ambapo mdau alikana kumpa dog chombo chake na hafahamu makubaliano ya aina yote baina Yao.
4- mdau ni askari hivo ni kama anamkandamiza dog kupata haki yake. Na ukizingatia chombo kilitunzwa na bado Kiko vizuri.
5-mpaka bandiko hili linakuja huku, dog alikuwa amewekwa lockup kwa kesi ya kumtusi huyo mdau. Ila tulifanikiwa kumtoa swala limebaki kwenye haki za huyo dogo kwenye hio bajaj. Mdau kasema labda afe na chombo kashakiuza jana jioni 4.3ml. Inaumiza kwakweli.
Polen Sana kamwe usimuamini MTU kwenye pesa makubaliano au makabidhiano yoyote Ni vyema yawe kwa maandishi ili kulinda Pande zote
 
Ni haki kweli? Kuna mdau mmoja kanipa bajaj yake kwa mkataba wa miaka 2. Yaani kila siku nimpe 20,000/=.

Nimefanya kazi kwa muda wa miezi 20, huyo mdau kaninyang'anya chombo kwa Madai anamadeni benki hivyo inabidi aiuze ili apunguze deni.

Nimejaribu sana kufuatilia kwa watu mbali mbali kuona ntasaidiwaje ila kote bila bila.

Naombeni ushauri wenu kwa wenye uelewa zaidi.

N.B HILI BANDIKO NI LA MDAU AMBALO NIMESHARE NANYI.
Kabla ya kwenda popote, je hiyo 20k kwa siku ulikuwa unaitimiza??

Na kama ulikuwa unaruka mara kwa mara je ulikuja kufidia bila kukosa?? Tuanzie hapo kwanza
 
Ni haki kweli? Kuna mdau mmoja kanipa bajaj yake kwa mkataba wa miaka 2. Yaani kila siku nimpe 20,000/=.

Nimefanya kazi kwa muda wa miezi 20, huyo mdau kaninyang'anya chombo kwa Madai anamadeni benki hivyo inabidi aiuze ili apunguze deni.

Nimejaribu sana kufuatilia kwa watu mbali mbali kuona ntasaidiwaje ila kote bila bila.

Naombeni ushauri wenu kwa wenye uelewa zaidi.

N.B HILI BANDIKO NI LA MDAU AMBALO NIMESHARE NANYI.
Kwa siku ulikuwa unampelekea 20,000/=
Je wewe na familia yako mlikuwa mnapata ngapi kwa hiyo siku moja?

Isije ikawa kila siku mlikuwa mnagawana pasu kwa pasu (50-50)?!?
 
Ni haki kweli? Kuna mdau mmoja kanipa bajaj yake kwa mkataba wa miaka 2. Yaani kila siku nimpe 20,000/=.

Nimefanya kazi kwa muda wa miezi 20, huyo mdau kaninyang'anya chombo kwa Madai anamadeni benki hivyo inabidi aiuze ili apunguze deni.

Nimejaribu sana kufuatilia kwa watu mbali mbali kuona ntasaidiwaje ila kote bila bila.

Naombeni ushauri wenu kwa wenye uelewa zaidi.

N.B HILI BANDIKO NI LA MDAU AMBALO NIMESHARE NANYI.
Nyie Watu ni wapole mimi ningekiwasha mpaka kila mtu angeshangaa.
 
Nime waza kwa kina, Kama Kuna ushahidi wa vitu hivi.

01, ushahidi wa message ziki onyesha malipo yalii fanyika kutoka kwa dereva kwenda kwa bosi.

02, je boss wa chombo hicho ana mke??, mke alikuwa ana kujua ??Kama ndio basi hapa ndo loop hole yako??.
Tafuta polisi mtie 10k, muibikieni mke akiwa nyumbani, Kisha mumbembe aka hojiwe kwa kuminywa kidogo.
Ata kiri na ushahidi urekodiwe kwa video, sauti, na maandishi.

03, kafungue jarada la madai mahakamani chap,
Kisha mueleze hakimu Hali halisi, mzee una shinda Curtis De Mi Amor
 
Kama una mkataba wa kisheria na mashuhuda unao una kila sababu ya kumfungulia mashitaka
Hiyo bajaji kwa asilimia 90 ni mali yako
 
Ni haki kweli? Kuna mdau mmoja kanipa bajaj yake kwa mkataba wa miaka 2. Yaani kila siku nimpe 20,000/=.

Nimefanya kazi kwa muda wa miezi 20, huyo mdau kaninyang'anya chombo kwa Madai anamadeni benki hivyo inabidi aiuze ili apunguze deni.

Nimejaribu sana kufuatilia kwa watu mbali mbali kuona ntasaidiwaje ila kote bila bila.

Naombeni ushauri wenu kwa wenye uelewa zaidi.

N.B HILI BANDIKO NI LA MDAU AMBALO NIMESHARE NANYI.
Rejesho la elfu ishirini ulikuwa unapeleke kila siku???
 
Back
Top Bottom