Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 12,454
- 11,029
Imekula kwakeHakuwa na mkataba wa kisheria ila walikabidhiana kwa kuaminiana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imekula kwakeHakuwa na mkataba wa kisheria ila walikabidhiana kwa kuaminiana.
Kutokuwa na mkataba siyo tatizo. Tatizo ni ushahidi kuwa alimpatia hizo elfu 20 kwa miezi hiyo. Kama alikuwa anatunza nyaraka kesi nyepesi hiyo ni either ataachiwa bajaj au atarudishiwa fedha ila kama mkataba hana, ushahidi wa malipo hana, huyo achukulie kama kalipia ada ya kujifunza umuhimu wa utunzaji kumbukumbu.Imekula kwake
Kama hana mkataba imekula kwake.Kutokuwa na mkataba siyo tatizo. Tatizo ni ushahidi kuwa alimpatia hizo elfu 20 kwa miezi hiyo. Kama alikuwa anatunza nyaraka kesi nyepesi hiyo ni either ataachiwa bajaj au atarudishiwa fedha ila kama mkataba hana, ushahidi wa malipo hana, huyo achukulie kama kalipia ada ya kujifunza umuhimu wa utunzaji kumbukumbu.
Je kuna mpatano au makubaliano mliyowekeana kimaandishi? Kama hakuna poleNi haki kweli? Kuna mdau mmoja kanipa bajaj yake kwa mkataba wa miaka 2. Yaani kila siku nimpe 20,000/=.
Nimefanya kazi kwa muda wa miezi 20, huyo mdau kaninyang'anya chombo kwa Madai anamadeni benki hivyo inabidi aiuze ili apunguze deni.
Nimejaribu sana kufuatilia kwa watu mbali mbali kuona ntasaidiwaje ila kote bila bila.
Naombeni ushauri wenu kwa wenye uelewa zaidi.
N.B HILI BANDIKO NI LA MDAU AMBALO NIMESHARE NANYI.
Hakuna hata mashahidi 2-3? Kama ndivyo ww kaiuze na hela uweke mfukoni na mchezo uishe kizembe-zembe hivyo.Hakuwa na mkataba wa kisheria ila walikabidhiana kwa kuaminiana.
La; usimpe pole bali mwelekeze ili naye ajiongeze. Aipoteze bajaji kiaina.Je kuna mpatano au makubaliano mliyowekeana kimaandishi? Kama hakuna pole
Hapo kuna point mkuu. Vijana wengi wakiaminiwa huwa watiifu siku za mwanzo lakini baadaye wakishazoea wanaanza kuzingua. Je huyu si mmojawapo?Kabla ya kwenda popote, je hiyo 20k kwa siku ulikiwa unaitimza?? Na kama ulikuwa unaruka mara kwa mara je ulikuja oufidia bila kukosa?? Tuanzie hapo kwanza
Umenikumbusha: Mali bila daftari hupotea bila Taarifa.😁Kutokuwa na mkataba siyo tatizo. Tatizo ni ushahidi kuwa alimpatia hizo elfu 20 kwa miezi hiyo. Kama alikuwa anatunza nyaraka kesi nyepesi hiyo ni either ataachiwa bajaj au atarudishiwa fedha ila kama mkataba hana, ushahidi wa malipo hana, huyo achukulie kama kalipia ada ya kujifunza umuhimu wa utunzaji kumbukumbu.
ShubamittHakuwa na mkataba wa kisheria ila walikabidhiana kwa kuaminiana.
Mikataba huwa inapotea, inaharibika, inaibiwa n.k Kwani hujui hili boss? Kama umri wako ni above 30 hili lazima umeshawahi kutana nalo na ushahidi mbadala ukatumika kutatua tatizo. Kwa huyu ushahidi mbadala ni slip za malipo.Kama hana mkataba imekula kwake.
Alimwajiri kwa mkataba gani? Hakuna mikataba ndo msingi wa kesi. Mwenzake atakuwa na slip kama ushahidi kuwa nimempa huyu fedha kwa makubaliano kuwa nitamlipa kwa miezi 20 na nilitunza hili ili nitakapomaliza nimkabidhi, leo kanigeuka sasa jaji hapo ndo atasubiri ushahidi wa mwenye bajaji kuwa alimwajiri. Halafu kesi kama hizi mwongo anajulikanaga. Labda ahonge. Miez 20 ni mingi, unakuta walishatumiana ujumbe au walishaongea kwa simu kuwa apambane bado kidogo atamaliza yaani ukitrace back lazima kuna alama tu za ushahidi zitakuwa zimeachwa maana kila unapodeposit utawasiliana na mhusika kuwa umeweka sasa mara 20 zote lazima kuna sehemu mmezungumza jambo linalohusu sababu ya kuweka fedha. Hapo ni kuangalia tarehe ya slip na kurudi kwenye rekodi za mawasiliano kuangalia mlizungumza nini. Kesi inaweza chukua hata miaka.Hata kama ana ushahidi wa miamala bosi atamkana tu, Akisema alimwajiri na haikuwa mkataba wa kuja kuachiana chombo atasemaje.
Somo ni kwa sababu hana ushahidi wowote.Mwenetu achukue kama somo tu, Kwenye kutafuta kuna hasara ndio hizo sasa, next time asifanye makosa kama hayo tena.
Hapa ndipo lilipo tatizo la msingi.Hakuwa na mkataba wa kisheria ila walikabidhiana kwa kuaminiana.
Kabisa mkuu. HahahaUmenikumbusha: Mali bila daftari hupotea bila Taarifa.😁
Kosa la kufanya kazi kimazoea ndio uleta haya..,,unakubali vipi kuingia mkataba bila maandishi? Amesha kushinda hadi happ1- hawakuandikishana popote Bali walipeana Ile ya kuaminiana.
2- kwanini hawakuandikishana, nikwasababu aliwahi kufanya kazi ya kuuza duka la mdau la spare.
3- Hilo swala lilifikishwa kwa mtendaji na mpaka polisi, ambapo mdau alikana kumpa dog chombo chake na hafahamu makubaliano ya aina yote baina Yao.
4- mdau ni askari hivo ni kama anamkandamiza dog kupata haki yake. Na ukizingatia chombo kilitunzwa na bado Kiko vizuri.
5-mpaka bandiko hili linakuja huku, dog alikuwa amewekwa lockup kwa kesi ya kumtusi huyo mdau. Ila tulifanikiwa kumtoa swala limebaki kwenye haki za huyo dogo kwenye hio bajaj. Mdau kasema labda afe na chombo kashakiuza jana jioni 4.3ml. Inaumiza kwakweli.
Mkuu hata kama mlalamikaji ha-kuandikiana mkataba na mshtakiwa?PACTA SUNT SERVANDA
Hiyo bajaji ni Mali yako, kopa marejesho ya miezi 4 iliyobakia muwekee kwenye akaunti. Fungus kesi mahakamani, mahakama imlazimishe AKUPE Mali yako
Vitu kama hivi vinaumiza kwakweli mtu una struggle tena kwa uaminifu then mwisho wa siku mtu anakufanyia unyama huu ila hata kama dogo hatopata haki yake kwasababu ya mamlaka aliyonayo askari bc haki yake ipo kwa mwenyezi Mungu atalipwa kwa anachostahili na uyo askari naye atalipwa pia kwa anachostahili na wala asihuzunike sana japokua inaumiza ila mbaya1- hawakuandikishana popote Bali walipeana Ile ya kuaminiana.
2- kwanini hawakuandikishana, nikwasababu aliwahi kufanya kazi ya kuuza duka la mdau la spare.
3- Hilo swala lilifikishwa kwa mtendaji na mpaka polisi, ambapo mdau alikana kumpa dog chombo chake na hafahamu makubaliano ya aina yote baina Yao.
4- mdau ni askari hivo ni kama anamkandamiza dog kupata haki yake. Na ukizingatia chombo kilitunzwa na bado Kiko vizuri.
5-mpaka bandiko hili linakuja huku, dog alikuwa amewekwa lockup kwa kesi ya kumtusi huyo mdau. Ila tulifanikiwa kumtoa swala limebaki kwenye haki za huyo dogo kwenye hio bajaj. Mdau kasema labda afe na chombo kashakiuza jana jioni 4.3ml. Inaumiza kwakweli.