Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Madam kwenye biashara, mkataba wa maneno na ki ndugu haufaiTafuta Hela kadri uwezavyo Mpe ya miez minne ilobaki akupe bajaji usikubali huo ni utapeli na record kil mazungumzo mtayofanya
Hakukuwa Na maandishi yoyote?Hakuwa na mkataba wa kisheria ila walikabidhiana kwa kuaminiana.
Bro hapo kasha poteza, na nyinyi tafuteni mtu mwenye ka wadhifa kidogo.1- hawakuandikishana popote Bali walipeana Ile ya kuaminiana.
2- kwanini hawakuandikishana, nikwasababu aliwahi kufanya kazi ya kuuza duka la mdau la spare.
3- Hilo swala lilifikishwa kwa mtendaji na mpaka polisi, ambapo mdau alikana kumpa dog chombo chake na hafahamu makubaliano ya aina yote baina Yao.
4- mdau ni askari hivo ni kama anamkandamiza dog kupata haki yake. Na ukizingatia chombo kilitunzwa na bado Kiko vizuri.
5-mpaka bandiko hili linakuja huku, dog alikuwa amewekwa lockup kwa kesi ya kumtusi huyo mdau. Ila tulifanikiwa kumtoa swala limebaki kwenye haki za huyo dogo kwenye hio bajaj. Mdau kasema labda afe na chombo kashakiuza jana jioni 4.3ml. Inaumiza kwakweli.
Polen Sana kamwe usimuamini MTU kwenye pesa makubaliano au makabidhiano yoyote Ni vyema yawe kwa maandishi ili kulinda Pande zote1- hawakuandikishana popote Bali walipeana Ile ya kuaminiana.
2- kwanini hawakuandikishana, nikwasababu aliwahi kufanya kazi ya kuuza duka la mdau la spare.
3- Hilo swala lilifikishwa kwa mtendaji na mpaka polisi, ambapo mdau alikana kumpa dog chombo chake na hafahamu makubaliano ya aina yote baina Yao.
4- mdau ni askari hivo ni kama anamkandamiza dog kupata haki yake. Na ukizingatia chombo kilitunzwa na bado Kiko vizuri.
5-mpaka bandiko hili linakuja huku, dog alikuwa amewekwa lockup kwa kesi ya kumtusi huyo mdau. Ila tulifanikiwa kumtoa swala limebaki kwenye haki za huyo dogo kwenye hio bajaj. Mdau kasema labda afe na chombo kashakiuza jana jioni 4.3ml. Inaumiza kwakweli.
Pesa haina kujuanaBro hapo kasha poteza, na nyinyi tafuteni mtu mwenye ka wadhifa kidogo.
Ila ndo Ina enda kuwa criminal case tu, maana kuumizana ni rahisi.
Siku nyingine usi fanye biashara kwa maneno au kuaminiana kwa mdomo,
Hela haija wahi muacha mtu salama
Huyo ni mjinga Wala hapaswi kusaidiwaHakuwa na mkataba wa kisheria ila walikabidhiana kwa kuaminiana.
Uelewa mkuu tunatofautianaHuyo ni mjinga Wala hapaswi kusaidiwa
Uelewa na ushawishi pia, una ona unaeza mkosea bosi😄Uelewa mkuu tunatofautiana
Kabla ya kwenda popote, je hiyo 20k kwa siku ulikuwa unaitimiza??Ni haki kweli? Kuna mdau mmoja kanipa bajaj yake kwa mkataba wa miaka 2. Yaani kila siku nimpe 20,000/=.
Nimefanya kazi kwa muda wa miezi 20, huyo mdau kaninyang'anya chombo kwa Madai anamadeni benki hivyo inabidi aiuze ili apunguze deni.
Nimejaribu sana kufuatilia kwa watu mbali mbali kuona ntasaidiwaje ila kote bila bila.
Naombeni ushauri wenu kwa wenye uelewa zaidi.
N.B HILI BANDIKO NI LA MDAU AMBALO NIMESHARE NANYI.
Yaani hata Kama ni mzazi, weka mambo kimaandishi na mashahidiP
Pesa haina kujuana
Kwa siku ulikuwa unampelekea 20,000/=Ni haki kweli? Kuna mdau mmoja kanipa bajaj yake kwa mkataba wa miaka 2. Yaani kila siku nimpe 20,000/=.
Nimefanya kazi kwa muda wa miezi 20, huyo mdau kaninyang'anya chombo kwa Madai anamadeni benki hivyo inabidi aiuze ili apunguze deni.
Nimejaribu sana kufuatilia kwa watu mbali mbali kuona ntasaidiwaje ila kote bila bila.
Naombeni ushauri wenu kwa wenye uelewa zaidi.
N.B HILI BANDIKO NI LA MDAU AMBALO NIMESHARE NANYI.
Nyie Watu ni wapole mimi ningekiwasha mpaka kila mtu angeshangaa.Ni haki kweli? Kuna mdau mmoja kanipa bajaj yake kwa mkataba wa miaka 2. Yaani kila siku nimpe 20,000/=.
Nimefanya kazi kwa muda wa miezi 20, huyo mdau kaninyang'anya chombo kwa Madai anamadeni benki hivyo inabidi aiuze ili apunguze deni.
Nimejaribu sana kufuatilia kwa watu mbali mbali kuona ntasaidiwaje ila kote bila bila.
Naombeni ushauri wenu kwa wenye uelewa zaidi.
N.B HILI BANDIKO NI LA MDAU AMBALO NIMESHARE NANYI.
Rejesho la elfu ishirini ulikuwa unapeleke kila siku???Ni haki kweli? Kuna mdau mmoja kanipa bajaj yake kwa mkataba wa miaka 2. Yaani kila siku nimpe 20,000/=.
Nimefanya kazi kwa muda wa miezi 20, huyo mdau kaninyang'anya chombo kwa Madai anamadeni benki hivyo inabidi aiuze ili apunguze deni.
Nimejaribu sana kufuatilia kwa watu mbali mbali kuona ntasaidiwaje ila kote bila bila.
Naombeni ushauri wenu kwa wenye uelewa zaidi.
N.B HILI BANDIKO NI LA MDAU AMBALO NIMESHARE NANYI.