Kisheria kuna ushahidi wa kimazingira unaweza kukusaidia nitafute inbox nikushauriSiku hizi watu wana roho mbaya. You need to be very careful in every step of your life.
Una bahati, wenzako wakibakisha wiki wanauwawa na kunyang'anywa bajaji au pikipiki kisha upepo ukitulia inauzwa mtaa wa 4
Mimi nilichangia hoja tu.Kisheria kuna ushahidi wa kimazingira unaweza kukusaidia nitafute inbox nikushauri
Oral contract have the same weight as written contractMkuu hata kama mlalamikaji ha-kuandikiana mkataba na mshtakiwa?
Aisee..1- hawakuandikishana popote Bali walipeana Ile ya kuaminiana.
2- kwanini hawakuandikishana, nikwasababu aliwahi kufanya kazi ya kuuza duka la mdau la spare.
3- Hilo swala lilifikishwa kwa mtendaji na mpaka polisi, ambapo mdau alikana kumpa dog chombo chake na hafahamu makubaliano ya aina yote baina Yao.
4- mdau ni askari hivo ni kama anamkandamiza dog kupata haki yake. Na ukizingatia chombo kilitunzwa na bado Kiko vizuri.
5-mpaka bandiko hili linakuja huku, dog alikuwa amewekwa lockup kwa kesi ya kumtusi huyo mdau. Ila tulifanikiwa kumtoa swala limebaki kwenye haki za huyo dogo kwenye hio bajaj. Mdau kasema labda afe na chombo kashakiuza jana jioni 4.3ml. Inaumiza kwakweli.
Lazima ipewe uzito na ushahidi mfano wadereva wenzie kijiweni, miamala ya kumlipa boss kwa kipindi hicho tangu mwanzo, picha akiwa na bajaj nkOral contract have the same weight as written contract
Apo achukuliea kama somo tu kwa sasa, Pia huwezi jua labda kwa wakati huo hali yake ilikuwa mbaya so akahisi mambo ya kimwambia bosi kuwa wasainiane pengine angeonekana kidomodomo kwahiyo akaamua akae kimya.Uelewa na ushawishi pia, una ona unaeza mkosea bosi[emoji1]
Ndicho nilicho kimaanisha, vipi uli fix tatizo la kuto onekana Picha??Apo achukuliea kama somo tu kwa sasa, Pia huwezi jua labda kwa wakati huo hali yake ilikuwa mbaya so akahisi mambo ya kimwambia bosi kuwa wasainiane pengine angeonekana kidomodomo kwahiyo akaamua akae kimya.
Bado kaka uwa natumia browser sometimesNdicho nilicho kimaanisha, vipi uli fix tatizo la kuto onekana Picha??
Na ndio maana jamaa amechukua bajaji yake kwa jeuri maana anajua hakuna mkataba kati yao kimsingi alimkodisha tu bajaji ili aendeshe maisha yake.Hakuwa na mkataba wa kisheria ila walikabidhiana kwa kuaminiana.
Askari sio watu wa kufanya nao biashara yoyote wana upumbavu mwingi sana. Na wanahisi kazi yao ni kichaka cha kuficha maovu yao.1- hawakuandikishana popote Bali walipeana Ile ya kuaminiana.
2- kwanini hawakuandikishana, nikwasababu aliwahi kufanya kazi ya kuuza duka la mdau la spare.
3- Hilo swala lilifikishwa kwa mtendaji na mpaka polisi, ambapo mdau alikana kumpa dog chombo chake na hafahamu makubaliano ya aina yote baina Yao.
4- mdau ni askari hivo ni kama anamkandamiza dog kupata haki yake. Na ukizingatia chombo kilitunzwa na bado Kiko vizuri.
5-mpaka bandiko hili linakuja huku, dog alikuwa amewekwa lockup kwa kesi ya kumtusi huyo mdau. Ila tulifanikiwa kumtoa swala limebaki kwenye haki za huyo dogo kwenye hio bajaj. Mdau kasema labda afe na chombo kashakiuza jana jioni 4.3ml. Inaumiza kwakweli.