Msaada: Nimehamisha fedha kutoka Benki kwenda M-Pesa yenye makosa, nifanye nini?

Msaada: Nimehamisha fedha kutoka Benki kwenda M-Pesa yenye makosa, nifanye nini?

Kuna 496,000 ilijichanganya ikazama kwa mpesa, sekunde hiyo hyo nikaichomoa nikazima na simu. Nakuja kuiwasha kesho yake nakutana na sm7 kama 100 za kunibembeleza nirudishe, na muda huo nishanunua na kreti za bia.
🤣🤣🤣 dah!
 
Kuna 496,000 ilijichanganya ikazama kwa mpesa, sekunde hiyo hyo nikaichomoa nikazima na simu. Nakuja kuiwasha kesho yake nakutana na sm7 kama 100 za kunibembeleza nirudishe, na muda huo nishanunua na kreti za bia.
Wewe kweli ni baharia wa kitanzania
 
Nahisi vodacom huduma kwa wateja kuna shida hawapokei simu kwa haraka.
Hao wanataka mchat kwa whatsapp kama wapenzi vilešŸ˜… wakudengulie wee na solution hutakaa upate!
 
Back
Top Bottom