fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
- Thread starter
-
- #21
nawe unapatwa na utando huo mweupe au kuchanika tu kwa mdomo pekee na husikii maumivu yyte lakn...? maana mm sisikii maumivu yyte kbsaAisee mimi pia napatwa na tatizo hilo mdomo unachanika na nimeambiwa ni fangasi kuhusu kufanya ngono last time ilikua nwezi wa kwanza nipo mbali na wife so sijawahi hata kumbusu mwanamke so mtu anapotoa ushauli azingatie hili
nawe unapatwa na utando huo mweupe au kuchanika tu kwa mdomo pekee na husikii maumivu yyte lakn...? maana mm sisikii maumivu yyte kbsa
Mdomo unachanika na ninasikia maumivu pianawe unapatwa na utando huo mweupe au kuchanika tu kwa mdomo pekee na husikii maumivu yyte lakn...? maana mm sisikii maumivu yyte kbsa
nmekuelewa mkuu ngja nisuniri nimalize hizi dawa kama itakua hakuna mabadiliko niende zahanati nionane na daktari maana huo weupe upo lakn sipati maumivu ya aina yyte yaanHiyo kitu uwezekano mkubwa sio kansa, oral thrush ni kawaida kutokea inawezekana ulikuwa hufanyi usafi wa kinywa wa kutosha, au ulikuwa unatumia antibiotics kwa muda mrefu zilizopelekea kinga ya mwili kushuka na kufanya itokee...unatakiwa uanze tu kwa daktari wa kawaida (General Practitioner) usikimbilie kwa mtaalamu wa kansa...ondoa shaka hiyo kitu ukipata dawa sahihi ndani ya wiki mbili utakuwa kawaida
E bwana kwema wakuu? Nna week ya pili inaenda hii nimepata fangasi /weupe kwenye ulimi sasa nilienda pharmacy nikaambiwa nI fangas
aaah dah pole sana mkuu mm ni huo weupe tu sisikii maumivu wala nnMdomo unachanika na ninasikia maumivu pia
sawa mkuu ngja nimalizoe hii dawa nlopewa week ojayo nijitafute niende zahaant kuonana na daktari mkuuWafamasia wamekuambia ni fangasi, lakini wametumia uzoefutu tu na sio kwamba wamefanya diagnosis za utabibu...
Kama alivyoandika mdau mmoja hapo juu (ingawa kataja zinaa pekee), fangasi haswa ya kinywa hueza kuwa ni kiashiria cha uwepo wa magonjwa au vimelea vya magonjwa mengine yanayoshusha kinga, ukavu wa koo na mdomo n.k...
Nenda kwa madaktari wa koo na kinywa wakutazame...
hapana sijawahi mkuu kufanya hvo halaUnapeleka ulimi kwenye papuchi inayotoka utoko wa manjano lazima upate fungus.
Pole sana kamuone daktari
hapana mkuu siajwahi kulamba papuchi bhna ππ labda uniambie nimeambukizwa kwa kula denda sawaUnapeleka ulimi kwenye papuchi inayotoka utoko wa manjano lazima upate fungus.
Pole sana kamuone daktari
sawa mkuu ngja nimalizoe hii dawa nlopewa week ojayo nijitafute niende zahaant kuonana na daktari mkuu
sawa nmekuelewa mkuu basi haina haja ya kusubr ngja nianze mchakato sas hv tu niende kuonana na daktari zahanati aiseeFangasi huwa haiishi kwa wiki 1 au 2 hivyo nakushauri umuone daktari hata kabla hujamaliza hiyo dawa uliyopewa, ingekuwa ni fangasi juu ya ngozi labda ungesikilizia...
Dawa uliyopewa inaweza ikafanya kazi lakini isimalize kumea upya kwa fangasi na ndio maana ikijulika underlaying cause inakuwa rahisi kutibiwa...
ππasante sana mkuuUvinza ni kwa wakazi wa Kigoma tu sasa wewe ulienda kufanya nini? anyway pole home boy kula vizuri murudie muumba wako bado tumaini lipo ugonjwa unatibika
sawa nmekuelewa mkuu basi haina haja ya kusubr ngja nianze mchakato sas hv tu niende kuonana na daktari zahanati aisee
Achana na pharmacy, nenda hospitali upate tiba sahihi baada ya uchunguzi thabiti.E bwana kwema wakuu? Nna week ya pili inaenda hii nimepata fangasi /weupe kwenye ulimi sasa nilienda pharmacy nikaambiwa nI fangas ila hakuna maumivu yyte wakuu nkapewa dawa ya Miconazole Oromucosal gel BP ambayo nliambiwa nitumie kwa week lkn bado akupata mabadiliko yaan ilipungua kidg sana nkarudi tena siku nyngnd baada ta kumaliza nkapewa dawa ile ile pamoja na dawa ya multivitamin tablet ya vidonge ambayo nakunywa asubuh na jion mpka sas hv naona nakarbia kuimaliza week lkn sion utofauti wakuu nlkua naomba kwa anaejua labda kuna matbabu mengne
Halafu nashangaa mi sjawahi kuzama kunyonya uke kabsa najiuliza nimeupataje au huu ugonjwa unaambukizwa kwa kula denda? Pia
Msaada weny wa kimawazo wakuu
πππhapana sijawahi mkuu kufanya hvo hala
hapana mkuu siajwahi kulamba papuchi bhna ππ labda uniambie nimeambukizwa kwa kula denda sawa
sawa mkuu maana huku kwetu nje ya mji kidogo ila kuna zahanati ambayo n kubwa lkn ila kama n hvo inabd nijitafte niende mwananyamalaFika hospitali kubwa, achana na zahanati...