Boss, hapa ndo wengi hawapajui, washikaji kibao wanasota kitaa baada ya mkataba kuisha na kutemwa na hao WMA. Ni kama Tanroads, operators wa mizani.Hao WMA sii ni ajira za muda hizo. Mkataba wa mwaka mmoja,. Komaa na mwendokasi utakuja lia
Nenda wakala wa vipimo hutajuta ,kuna perdiem huko mpaka waajiriwa wanapaliwa ,Wanabodi mm ni dereva mzoefu wa daladala kisha nikaajiriwa na mwendokasi ambapo nakula 800,000/per month .
Wandugu kwa sasa nimevurugwa kwan baada ya interview iliyohusisha watu 760 ambao tuliomba kazi wakala wa vipimo tumepenya na kuajiriwa 57 tuu!!! Nimepewa barua Jana napaswa kuripoti kituon kuanzaia 2/7 sasa aisee mbona hii salary Jau!? Yan nipo kipindi kigumu wandugu hebu wenye uzoefu nisaidieni hill!?kiukweli napata wakati mgumu sana barua ninayo ila naipenda ajira za serikali tatizo hiyo salary!??naomba ushauri
Mi nakomea hapa kusoma maoni Umemaliza mkuu, huwezi kuacha laki 8 ukakimbilia laki 3 kisa Serikalini utazeeka ukiwa huna chochote zaidi ya sifa za mstaafu SerikaliniAcheni kumjaza mwenzenu ujinga...uache laki nane ukimbilie laki tatu..ukikatwa hiyo unabaki na laki mbili...ukienda huko utakula msongo wa mawazo to your entire life. Kuhusu ishu ya perdiem wasikudanganye..perdiem inaendana na levo ya mshahara..kwa mshahara huo perdiem yako haitazidi elfu sitini..sasa upate safari ya siku tatu singida utalipwa 240,000. Ukienda huko ulipie guest, msosi, utakutana na watoto wa kiburushi..utakula nao bata..siku ya kurudi mjini utaishia kubeba machungwa na viazi hautabaki na kitu.
Ushauri wangu endelea hapo hapo mwendokasi
Security ya ajira ni ujinga ambao unawaponza wengi
Hiyo laki 3 sio kuzeeka ni kazi ya mkataba wa mwaka mmoja. Akimaliza anarudi kitaa kusugua gaga.Mi nakomea hapa kusoma maoni Umemaliza mkuu, huwezi kuacha laki 8 ukakimbilia laki 3 kisa Serikalini utazeeka ukiwa huna chochote zaidi ya sifa za mstaafu Serikalini
Acheni kumjaza mwenzenu ujinga...uache laki nane ukimbilie laki tatu..ukikatwa hiyo unabaki na laki mbili...ukienda huko utakula msongo wa mawazo to your entire life. Kuhusu ishu ya perdiem wasikudanganye..perdiem inaendana na levo ya mshahara..kwa mshahara huo perdiem yako haitazidi elfu sitini..sasa upate safari ya siku tatu singida utalipwa 240,000. Ukienda huko ulipie guest, msosi, utakutana na watoto wa kiburushi..utakula nao bata..siku ya kurudi mjini utaishia kubeba machungwa na viazi hautabaki na kitu.
Ushauri wangu endelea hapo hapo mwendokasi
Na uhakika 100% perdiem inaendana na cheo au ngazi ya mshahara. Perdiem ya dereva haiwezinkuwa sawa na perdiem ya Mkurugenzi au Ofisa labda kama ngazi zao za mshahara zinafanana.Mkuu una uhakika na unachokisema kuwa per diem inaendana na ngazi ya mshahara ndugu...?
Na pia unafahamu kuwa mwenye ajira serikalini anakopesheka mamilioni ya shilingi mkuu...?
Kama ni mkataba achana nayo kama ni permanent nakuomba uende kiongozi...!
Unaongea na dereva mwenzako japo sipo serikalini direct nipo kwenye mradi chini ya Taasisi ya serikali kiongozi.
Karibu sana...!
Aiseee Hongera kwa kupata akili mkuu ,hapo Kuna variation ya 500k Sasa sijui km hizo per diem zitafika hyo number labda uibe mafute na wizi mwingine..Acheni kumjaza mwenzenu ujinga...uache laki nane ukimbilie laki tatu..ukikatwa hiyo unabaki na laki mbili...ukienda huko utakula msongo wa mawazo to your entire life. Kuhusu ishu ya perdiem wasikudanganye..perdiem inaendana na levo ya mshahara..kwa mshahara huo perdiem yako haitazidi elfu sitini..sasa upate safari ya siku tatu singida utalipwa 240,000. Ukienda huko ulipie guest, msosi, utakutana na watoto wa kiburushi..utakula nao bata..siku ya kurudi mjini utaishia kubeba machungwa na viazi hautabaki na kitu.
Ushauri wangu endelea hapo hapo mwendokasi
hongera umemusauri poa sanaAcheni kumjaza mwenzenu ujinga...uache laki nane ukimbilie laki tatu..ukikatwa hiyo unabaki na laki mbili...ukienda huko utakula msongo wa mawazo to your entire life. Kuhusu ishu ya perdiem wasikudanganye..perdiem inaendana na levo ya mshahara..kwa mshahara huo perdiem yako haitazidi elfu sitini..sasa upate safari ya siku tatu singida utalipwa 240,000. Ukienda huko ulipie guest, msosi, utakutana na watoto wa kiburushi..utakula nao bata..siku ya kurudi mjini utaishia kubeba machungwa na viazi hautabaki na kitu.
Ushauri wangu endelea hapo hapo mwendokasi
Fata ushauri wa huyu jamaa.
Nikupe mfano kuna ndg yng anafanya kazi serikalini analipwa 350k Ila anajenga na ana gar yake nzuri tuu. Na security ya kazi. Kama ni permanent kapige kazi kama ni ya muda acha acha acha