Msaada: Nimepatwa na changamoto kwa "Wife" na huyu dada


Kumbeee....kwahyo tukiwa unmarried huwa wanatuectia tu zle show wanazozifurahia..
 

Nimesoma tu paragraphy mbili nimekasirika, usilee ujinga
 
Kumbeee....kwahyo tukiwa unmarried huwa wanatuectia tu zle show wanazozifurahia..
Hapo wanabembeleza ndoa lazima wafanye machejo yote, full maigizo.. ukifika umri wa kuwa na marafiki wengi waliooa utanielewa zaidi
 
Unanunua lila kitu na kisha unaacha pesa 7.000?
Hicho kila kitu nini....?
 
Mkuu iko hivi maranyingi mwanamke akiolewa huwa anajihakikishia kwa asilimia kubwa kuwa anaweza kufanya lolote na haachiki tofauti na mchepuko ambaye anajua mda wowote unaweza akachezea chaga Sasa mke ndani anadharau kwasababu anajijua yeye ndio mke utake usitake dawa yao Kama hao ni kumpiga matukio afu hujali wala nini Mimi mbona alinyoka yani dharau ziliisha maana nilitafuta mchepuko mzuri kuliko yeye hadi aliomba msamaha
 
Mzee kama ni wale wa kuvutana tu kishkaji na hamna watoto piga chini fast a af vuta anaekufaa huyo, ila kama ni ndoa kabisa na watoto dah hapo upo kifungoni,
 
Ningekuwa mkeo ningetafta mchepuko ujue ungejinyonga kabisa wallah licha ya kuchepuka kwako, wanawake mwanaume kwetu tunaona kawaida ndo Mana unakuta wanawake wanaolewa wanne bila shida yoyote.
 
Kuweka kiwango maalum sio tatzo, huyo mke akili yake haitoshi tu, kama hali ngumu si anaiona, tena hata ukiacha 2000 alitakiwa akubali tu,
 
Kuweka kiwango maalum sio tatzo, huyo mke akili yake haitoshi tu, kama hali ngumu si anaiona, tena hata ukiacha 2000 alitakiwa akubali tu,
Muulize na mchepuko wake anauachia shilingi ngapi? Hapa kasema anazoacha kwa mkewe nyumbani, lakini ya mchepuko hajataja kiwango!
 
Kweli kabisa, kama mke ana kipato, mwisho wa mwezi wakat mnapanga vya kununua weka kiasi na yeye aweke kiasi, huyo sio mtoto umeoa ili umlee, umemuoa ili mjenge maisha pamoja, kama ni mama wa nyumbani basi akubali hali ilivyo
 
ilikuaje hiyo mzee?[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Ndoa changamoto haziishi. Ila kumbuka, hata mkeo kabla ya ndoa alikuwa msikivu na mwenye upendo kama alionao mchepuko wako kipindi hiki.

Angalizo jingine ni kwamba, usingekuwa na huo mchepuko, ungejitahidi sana kukaa chini kutafuta suluhu na wife, ila uwepo wa huyo mwingine unasababisha unaangalia hii situation kwa jicho tofauti now.
 
Mie nimeuliza mbona kaandika pesa anayoiacha kwa mkewe, je kwa mchepuko mbona hajatoa hesabu yake? Mkewe ana watoto mchepuko hana, inamaana anamwachia elf2/1? Hapo ni hapana na atakuwa anapewa zaidi hata aiachayo kwa mkewe
 
tupe mrejesho
 
mkuu nikushauri kitu?





PIGA MITI MKUU, NARUDIA TENA WE PIGA MITI!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…