The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 880
- 1,985
Kuna vitu mtu hatakiwi kuvifanyia masihara wewe nenda hospitali ndiyo sehemu sahihi.
Wahi hospitali maana hivyo vingine navyo vinanyemelea kukua.
Ukute ni magonjwa ya zinaa. Jikaze uende hospitali.
Mkuu nijibu basiAhahaha 😭😭😭😭😭
Vijana ikimbieni zinaa
Soma tena nimejazia nyamaMkuu nijibu basi
Mbone umechekaEeeh eeeh eeh nenda hospital
😀daah
Sasa akujibu yeye ni dokta? Kwan mkuu una zuio la kutotakiwa kwenda hospital?Mkuu nijibu basi
Mbona unacheka mkuuEeeh eeeh eeh nenda hospital
😀daah
Akikipasua tu ametengeneza 💣 la kupikwaAhahaha 😭😭😭😭😭
Vijana ikimbieni zinaa.
Ni jambo la kawaida tu hilo usipaniki , kitapasuka chenyewe utakaa vizuri.
Ni joto hilo, friction
Wewe ni muuaji😳😄Sasa akujibu yeye ni dokta? Kwan mkuu una zuio la kutotakiwa kwenda hospital?
Sikia sasa! Hapo dawa nzuri ambayo mi pia ilinisadiaga ni maji ya betri yale makali,lowesha penis yote, uje kuleta feed back hapa
Leejay49 kaona dushe kafurahiMbona unacheka mkuu
Akikipasua tu rip 🤣🤣🤣🤣Akikipasua tu ametengeneza 💣 la kupikwa
Unataka kumuua mwenzakoSasa akujibu yeye ni dokta? Kwan mkuu una zuio la kutotakiwa kwenda hospital?
Sikia sasa! Hapo dawa nzuri ambayo mi pia ilinisadiaga ni maji ya betri yale makali,lowesha penis yote, uje kuleta feed back hapa
Umefurahi umeona dushengaWewe ni muuaji😳😄
Uangalie nini?Binua kwanza hivi kidogo hapo kwenye kidole,. Nataka niangalie kitu
Eti binua... Lili bana 😂Binua kwanza hivi kidogo hapo kwenye kidole,. Nataka niangalie kitu