Msaada: Nimepatwa na tatizo hili kwenye tupu yangu, itakuwa ni ugonjwa gani?

Msaada: Nimepatwa na tatizo hili kwenye tupu yangu, itakuwa ni ugonjwa gani?

Pole sana The ice breaker,
Naona kama kuna kingine kinachipua pembeni hapo. Kuna sehemu ulicheza bila njumu.

Baada ya kuwafurahisha wadau kwa kuonyesha kichwa chako, sasa nenda ukapate tiba hospitali.
Kumbe kuna kengine, ngoja nirudi niangalie vizuri.
 
Hiyo mara nyingi hutokea pale mara mwanamke akiwa na kinywa kichafu harafu ukamruhusu akunyonye,, pia kwa wanawake wanao tumia vidonge vya kutoa mbami, na swala jingine mafuta ya kondom! Hapo akatafute ant biotic ondoa shaka! Ukipata ujasir pitia kwa wataalam
 
Back
Top Bottom