Msaada: Nimepatwa na tatizo hili kwenye tupu yangu, itakuwa ni ugonjwa gani?

Msaada: Nimepatwa na tatizo hili kwenye tupu yangu, itakuwa ni ugonjwa gani?

Punguzeni kavu ..........kwani kuvaa ndomu huwa inatumia masaa mangapi mpaka umalize??..............
 
Inabidi tufanye maombi sana.......kwa msaada wa marekani wale ni watu na nusu tuwaweke kwenye novena............huu uzi kuna namna unatembea haraka sana hii inatisha inamaana kutakuwa na wagonjwa wengi sana ambao wanasubilia madaktari wa keyboard wamwage dawa wakaanze kujitibu kienyeji...... .inashangaza
 
Duh! haya mambo bwana
🇮🇱Umehangaikw naye muda kadhaa anakugomea

🇮🇱Kana chuchu saa sita kanaonekana kadogo dogo Wala hakana mkorogo kana aibu aibu

🇮🇱 Kana kukubalia siku hiyo lamekuna kasaafi nguo za ndani nyeupe saafi.
🇮🇱 Unasema mtu si ndio huyu , unaamua kukutumia nyama nyama.

🇮🇱 Baada ya wiki ndio yanatokea hayo madude. Haya maisha bana. Bora haya yanaonekana kwa macho Je ukipata Yale mengine ya kwenye damu utafanyaje? Tuvae mipira na iliyobora sio ile inayotolewa Bure kwenye magest yanayopasuka yenyewe nunua angalau roughrider
 
umenyonywa mboo na mwanamke mwenye mate ambayo ni too alkaline
 
Baba mkwe makaveli10 ikifika zamu yako kuomba ushauri Kwa changamoto kama hizi nipe alert mapema nsije ambulia laana
Umenielewa?
😂🤣
Usijali ma mkwe, mie siwezi ileta hapa, si unajua mama mkwe wako ni dr. Atamaliza yeye juu kwa juu.

Mambo ya kuweka ngoma yangu hapa, kuna viumbe watatokwa na macho ya uchu bure 😂
 
Back
Top Bottom