Msaada: Nimetapika hiki kidude

Hukutafuna vizuri chakula most likely nyama au mwani...
Ni kweli mkuu hata wataalamu wamesema hvo..
Mpaka sasa watu9 wamesema hyo ni nyma nilimeza bila kutafuna
 
Kaka tulia tunakufanyia mchakato wa tiba
Hakuna tiba wala nini huyo anajifanya nocturnal animal kufanya kazi usiku...alipojisahau kusinzia mdomo wazi wazee wa kazi wakaweka tracker, mwili ukatema bungo 🀣🀣🀣
Kama kuna jirani kakununia ndo huyo huyo au Dori shangazi 🀣🀣🀣🀣
 
πŸ˜‚
 
Dorry muache hausiki kabisa labda huyu single maza..
Kwanza dorry yeye nachokosana nae ni kunywa pombe tuu mkuu ila vingine vyote yupo sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…