Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
- #41
Mmmhhiyo ni athari ya kumeza chakula bila kutafuna.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmhhiyo ni athari ya kumeza chakula bila kutafuna.
Ni kilaini mkuuNi kilaini au ni kigumu?
Kuwa seriously kidogoKipeleke kwa mwamposa
You have vomiting this!
Ina mana meno yako yalishindwa kukitafuna ama?
Weee kwani umeskia nimekula mke wa mtu mmmke wa mtu sumu...............
Ndio nachokiona pichaniKuwa seriously kidogo mkuu....
Natapikaje rooter sasa..
Inamaana mimi nina mdomo gani wa kutapika dude lote lile
nakutaadhalisha tu. mkuuWeee kwani umeskia nimekula mke wa mtu mm
Wewe kuwa seriously banaNdio nachokiona pichani
Ndiwo na mimi nakuambia hvo.mi silagi wake za watunakutaadhalisha tu. mkuu
Nishamalizana nacho mkuu nimeambiwa ni kinyongaWachawi wamekulisha Tracker zao
Sasa na wewe kuwavuruga mlishe paka
Duh kumbe kinyongo kinaweza kutoka kwa kutapika! Sasa kinarudi vipi tena tumboni au ndio kinaota kingine?Nishamalizana nacho mkuu nimeambiwa ni kinyonga
Dan.. JF..🙌🏿🙌🏿😂UMETAPIKA KIPANDE CHA UTI WA MGONGO