Msaada: Nimewapa ujauzito wanawake wawili, nawapenda ila dini yangu hairuhusu kuwa na wake wawili

Msaada: Nimewapa ujauzito wanawake wawili, nawapenda ila dini yangu hairuhusu kuwa na wake wawili

.Wanawake ndio wa ajabu. They have alot to lose but wao ndio wazembe kupitiliza ikija suala la kubeba mimba.
Wanaume watu wa ajabu sana, hivi ukimwambia mwanamke me na ww tutakua kweny mahusiano kwa ajili ya kulana basi kipi kitapungua..... Uanaume sio kuwa na wanawake wengi sio kuharibu maisha ya watoto wa watu. Uanaume ni ukweli na uwazi
 
Wanaume watu wa ajabu sana, hivi ukimwambia mwanamke me na ww tutakua kweny mahusiano kwa ajili ya kulana basi kipi kitapungua..... Uanaume sio kuwa na wanawake wengi sio kuharibu maisha ya watoto wa watu. Uanaume ni ukweli na uwazi
🤣🤣🤣🤣 Wanawake mnasema mnapenda ukweli ila ukiambiwa hivyo mbususu hamtoi. Toeni mjone kama kana mwanaume atadanganya.
Haya tuanze mie na wewe kuonyesha mfano....tuwe wapenzi wakuleana raha tuu😝
 
Nikidecipher hii issue Kuna mawili ,either unakoelekea ufilisike au upotee kimaisha , Kama ni kula Raha piga Raha kwa kipimo Ila issue za mahusiano serious na mwanamke zaidi ya mmoja itakupa taabu Sana , Ila responsibility ishakupata kuwa na watoto jipange uwahudumie watoto wako ,Ila chunga usije ukalea watoto na sio wako ,usije ukaona ww ndo player kumbe ww ndo wachezwa .
 
Wanaume watu wa ajabu sana, hivi ukimwambia mwanamke me na ww tutakua kweny mahusiano kwa ajili ya kulana basi kipi kitapungua..... Uanaume sio kuwa na wanawake wengi sio kuharibu maisha ya watoto wa watu. Uanaume ni ukweli na uwazi
Huwez kupata mbususu hata kidogo labda kuwe na cha ziada anapata kwako
 
Nikidecipher hii issue Kuna mawili ,either unakoelekea ufilisike au upotee kimaisha , Kama ni kula Raha piga Raha kwa kipimo Ila issue za mahusiano serious na mwanamke zaidi ya mmoja itakupa taabu Sana , Ila responsibility ishakupata kuwa na watoto jipange uwahudumie watoto wako ,Ila chunga usije ukalea watoto na sio wako ,usije ukaona ww ndo player kumbe ww ndo wachezwa .
Shukran sana mkuu
 
🤣🤣🤣🤣 Wanawake mnasema mnapenda ukweli ila ukiambiwa hivyo mbususu hamtoi. Toeni mjone kama kana mwanaume atadanganya.
Haya tuanze mie na wewe kuonyesha mfano....tuwe wapenzi wakuleana raha tuu😝
Mzabzab me mwanaume akinifuata akaanza kujizungusha siwez kumkubalia....me napenda mwanaume anakufata anakwambia nataka mwanamke wa kutoleana nae nyege au wa kwenda nae kanisani kila jumamosi sio mambo mengi
 
Mzabzab me mwanaume akinifuata akaanza kujizungusha siwez kumkubalia....me napenda mwanaume anakufata anakwambia nataka mwanamke wa kutoleana nae nyege au wa kwenda nae kanisani kila jumamosi sio mambo mengi
Ok nimekuelewa.
 
Hao watu hawapo ww unaongea tu. Ndo hulka ya mwanmke maana ataona wengine wanaendelea yeye yupo pale pale
Anasema tuu hapa kuburudisha balaza...wanawake wanapendwa kudanganywa....sii wnasemanata akikufuma live wee sema uongo wowote lakini sio ukubali kuwa umecheat.
 
Anasema tuu hapa kuburudisha balaza...wanawake wanapendwa kudanganywa....sii wnasemanata akikufuma live wee sema uongo wowote lakini sio ukubali kuwa umecheat.
Hahaha .. kataa katu katu
 
Back
Top Bottom