Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Usijal nije na yule mwenye mtrakoooo au English figureNawe uje na yule rafiki yako tuoige bonge la foursomeš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijal nije na yule mwenye mtrakoooo au English figureNawe uje na yule rafiki yako tuoige bonge la foursomeš
Unamdanganya wa nini ssLabda niendelee kumuhudumia na huko kwao huyo mzee wa boma ntamdamganya vipi huyu binti S
Ss unaogopa nini wkt we kidume na mimba umegawa kote?Labda kimya kimya tatizo. Dunia ya sasa ni mapicha sana.. itakuja kuleta baadae kila mmoja akute picha za mwenzake fb,insta.
Unavyosex na mwanamke kavu unategemea nin ndo maana kukawa na condomuSema kwa nini wametaka mimba maana jamaa hajasema popote kuwa aliomba azae nao.
Sawa bwana wacha tuendelee kuzalisha masingle mama.Unavyosex na mwanamke kavu unategemea nin ndo maana kukawa na condomu
Wanaume ni viumbe wa ajabu sana
Ntafanya maamuz magumuUnamdanganya wa nini ss
Waeleze wote ukweli kuwa unaoa wote na kila mtu atakua na mji wake , upange zamu na utende haki sio kunyanyasa watu
Pesa ndo mpango mzimaNa haya majibu ya " braza tafuta ela"
Nikipata ela nisije sikia lawama kokote pale mana nitazaa na wanawake 10+ tena
Taratibu za uchifu zipoje mkuuIla dini yako inakuruhusu kuwapa mimba tu.
Shenzi kabisa si bora ungekuwa chifu kama mimi.
Dini yako inaruhusu kumpa ujauzito ambaye sio mkeo?Wakuu salamu natuamini mnaendelea na mapambano ya kila siku na mapambano ya tozo. Samahani kwa uandishi wangu mimi sio expert sana wa kujielezea kwa maandishi.
Mwaka 2019
Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja, ambaye kwa muda huo ndiyo alikuwa main huyu tumuite R. Basi nilikuwa na mahusiano naye kama miaka miwili hivi, kufikia 2019 alihamishiwa mkoa fulani kwenye halmashauri fulan. Basi nikabaki kidume mwenyewe DSM ikaenda kama miezi sita. Basi kama ujuavyo, upweke mbaya, nikaja kuwa na mazoea na binti fulani huyu tumuite S. Basi nikawa na mazoea mwisho wa siku yakawa mahusiano na huku R hajui hili wala lile, kama Dec R akaomba likizo kuja DSM.
Sasa kwenye likizo yake 2020 akaja kujua nina mahusiano na S, ugomvi ukawa mkubwa wakaitakana huko na kutaka kuja kwangu kunifanyia fujo. Uzuri rafiki yangu alinitonya(huyu jamaa anaongea na R) baada ya ugomvi si unajua tena wanaume, kila sehem nikaenda kuomba msamaha na kumfanye amuone adui mwenzake(wazungu wansema divide and conqur). Basi baada kuona hiyo inashindwa nikamuacha R akarudi zake kazini, mimi nkipambna na S.
Sasa kwa upande wa S nikaendela nae lakini huku nikimuwaza R. Sasa kuna kipindi mambo yakaja kuwa mabaya na nikatengana na S maana nae alisafiri. Nikaendelea na shughuli zangu.
2021
Nikakutana na R si unajua tena(kiporo hakihitaji moto mwingi) nkashangaa nimerudiana na R na mapenzI shamu shamu, msamaha nIkaomba na maisha yakaendelea.
2022 Feb
Mungu akatujalia R akashika ujauzito na nikawa najipanga kwaa ajili ya taratibu za kwenda kujitambulisha. Wakati nipo kwenye harakati za kuweka mambo sawa, mara jioni nashangaa text iniangia kwenye simu yangu, na aliyenitxt S na tukaongea machache nkamsadia ya shida kuna sehemu alikuwa amekwama kipesa.
2022 June
Sasa mama watoto wang future wife wakati yupo mkoani, mazoea na yule binti S yakawa kama yamerudi na kimasiraha nikawa nimeshaweka na kipindi hicho amesema hakuwa na mtu. Kiasi fulani hakuwa mtu wa mambo mengi na mimi ndo nilimzinguaga kipind kile.
Sasa juzi hapa kaja kwangu na kuniambia kuwa ana ujauzito wangu. Yaani kama nina watoto wawili wapo njiani na kwao pia nimeambiwa natakiwa niende nikajitambulishe. Kiukwel wote nawapenda ila dini yangu hairuhusu kuwa na wake wawili, na hata kama zinaruhusu ila wao hawapatani.
Tuangalie mbele yashatokeaDini yako inaruhusu kumpa ujauzito ambaye sio mkeo?
Dada zetu akina Asha sijui waliwakosea nini nyinyiTatizo ni aina ya wanawake mnaokutana nao....Si kila mtu atakua kama Asha au Mwajuma
Ni kweli, kwa kuwa tumeamua kuchagua njia ya maisha ambayo iko kinyume na aliyoamrisha Mwenyezi Mungu, basi tusilaumu ila nafsi zetu wenyewe. Haya yote yanatutokea katika dhiki, visirani miongoni mwetu, mara huyu kazalishwa na kutupwa, mara panya road na kukosekana amani, mara mauaji yasiyo na kichwa wala miguu huyu kamuua mama yake yule kamuua mkewe, mara baba kambaka binti yake na mengineyo. Uharibifu huu unatokana na yale yanayochumwa na mikono yetu. Na kwa Imani yangu ninafundishwa kuwa Mwenyezi Mungu habadilishi yale yaliyoko kwa watu mpaka wao wabadilishe yale yaliyoko katika nafsi zao.[mention]Lovelovie [/mention] Mi sioni chakushangaa kabisa, maandiko ya dini zote yamekataza kuzini kabla ya ndoa na wote kumtanguliza mungu ndani ya ndoa kwaiyo lazima ue muumini kwanza wa dini husika ndo ufunge ndoa.
Kimsingi binadamu tushajiamulia system zetu wenyewe katika mahusiano zinazotupa raha matokeo yake ndo kuzalisha masingo mom wengi ambao washavurugwa na wanahate na kitu kinachoitwa mapenzi &wanaume, note HAYA NI MAKOSA YENU WENYEWE WANAWAKE MSIMLAUMU MTU., apo kwanza kakosewa mungu then wanaona wamekosewa wao, naamini sio muda mrefu dada ambaye atazaaa mtoto wakike na hasipopata nafasi yakuolewa ni atachukia Mapenzi&Wanaume then atapandikiza chuki kwa watoto wake, wengi huwaaminisha watoto wao pesa ndo kilakitu na wachache hutulia ila wengi kwa hasira huanza kutafuta pesa kwa namna yoyote na ni kazi kuwatuliza nahata kuwashauri maana washaumizwa so hawataki kusikia uongo mwingine, watoto wao pia watasikia ila hawatoelewa ya mama zao(maranyingi hua ivo) kwa maana hajawahusiwa ya dini ila wamehusiwa kwa chuki za mama zao binafsi then na watoto watapata mimba either kwakupenda au kudanganywakama mama zao na watateswa na mapenzi na wengi wataishia kuona KAZI & KUDANGA ni bora kuliko kuolewa na wanaume, Pia wanaume tutasema HAWA WANAWAKE SIO WATU
maana hatutaelewa akili za wanawake wetu (KUTOKANA NA UZINIFU KUTAWALA HATUTOJUA KOSA LIMEANZIA WAPI) na tutaona ni bora kununua dada poa kuliko kuoa maana wanawake wasaivi ni wahuni tuuu kwanza wanapenda ela!!! End of the day SHETANI ANAZIDI KUCHUKUA POINT ZAKE TARATIIIBU UKU AKISUKUMIZIA NA KAMZIKI KA HARMONISE[emoji344]AMELOWA.
#Mwanaume sio kiumbe cha achabu binadamu ndo kiumbe cha ajabu.
#TUELIMISHANE.
#KUNIKOSOARUKSA.
Wana balaaDada zetu akina Asha sijui waliwakosea nini nyinyi
Hongera mkuuYaani kama nina watoto wawili wapo njiani