Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
yakate funga kweny pacelOoh! Hayo matunda nayauza hivyo hivyo yakiwa raw, au natakiwa kuyakata kata ili niipate hiyo elfu saba?
Na ni kweli kuwa nitaenda kuipata hiyo faida ya elfu saba?
Inashawishi kufanya
sure..hata mimi conclusion yake ilinistaajabisha🙌
Aisee!! Inabidi niende na hii plan yako, nzuri sanaTamaa haiepukiki hata mm ninayo ila ninachofanya mikeka ya tamaa naweka timu za mwezi mzima au wiki mbili hadi tatu then wakati naisubiri naendelea kutembea na odds mbili mbili tu huku nikichungulia cashout offer ikiwa nzuri mkeka wa tamaa na cashout na kuplace mwingine, hii hapa ni mikeka ya tamaa inayoenda hadi mwezi ujao but timu zangu ni zilezile.View attachment 2821744View attachment 2821747
Barikiwa sana Mkuu 🙏🙏Thanks 🙏
Barikiwa sana Mkuu 🙏Safi sana
Kama unaweza kuuza nguo za ndani chupi,sidiria,tight nicheki dm nkupe connection unapata mzgo wa kutosha tu kwa bei hyo kkoo na faida yake ni nzuriHello JF Members,
I'm madam Agnes, leo tena humu Jukwaani. Nisiwachoshe, niko na 30k kwenye kipochi, nahitaji kuanza biashara yoyote ile itakayowezekana sasa hivi
Mazingira ni Dar es salaam. Siko na aibu, naeza fanya yoyote ile. Ilimradi tu itoshe kunipatia mlo pamoja na saving kidogo kwa ajili ya masuala ya baadae
Sihitaji kuajiliwa, maake naondoka hivyo kwenye nyumba ya watu nilipokuwa naishi as house girl, watu hawana shukhrani jamani
Mwenye wazo lolote lile ambalo limemsaidia kuendesha maisha, ama ameona limemsaidia somebody ku run his/her own life anipatie basi. Hata kama ni idea ya kiume, I'm ready
I'm waiting...
Kwani huduma sio Biashara inaaman Vidacom sio Biashara, vipi DSTV, WasafiTV sio Biashara hizoHiyo unayosemea wewe sio biashara, hiyo ni huduma. Mi sitoi huduma kaka
Hata mm nilitaka kusema hivo kwa chuo ni ngumu maana biashara itakuwa ya msimu bora aende sehem zenye mkusanyiko wa watu wengi kama hapo mbezi mwisho auze zile chupi za 1000Chupi chuo hutouza sana labda uje maeneo ya stendi kama apa mbezi mwisho nilipo mimi
Reserved comment from intelligent woman.Hiyo unayosemea wewe sio biashara, hiyo ni huduma. Mi sitoi huduma kaka
Mwamba hushindwiAnza na sox na chupi za wadada simama mageti ya vyuo
Nunua kwa jumla 500 uza 1000, 1500
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hizo chupi za 1000 huwa mnazinunuaje bei ya jumla?Hata mm nilitaka kusema hivo kwa chuo ni ngumu maana biashara itakuwa ya msimu bora aende sehem zenye mkusanyiko wa watu wengi kama hapo mbezi mwisho auze zile chupi za 1000
Mtaji umeukalia la muhimu uwe msafiHello JF Members,
I'm madam Agnes, leo tena humu Jukwaani. Nisiwachoshe, niko na 30k kwenye kipochi, nahitaji kuanza biashara yoyote ile itakayowezekana sasa hivi.
Mazingira ni Dar es salaam. Siko na aibu, naeza fanya yoyote ile. Ilimradi tu itoshe kunipatia mlo pamoja na saving kidogo kwa ajili ya masuala ya baadae.
Sihitaji kuajiliwa, maake naondoka hivyo kwenye nyumba ya watu nilipokuwa naishi as house girl, watu hawana shukhrani jamani.
Mwenye wazo lolote lile ambalo limemsaidia kuendesha maisha, ama ameona limemsaidia somebody ku run his/her own life anipatie basi. Hata kama ni idea ya kiume, I'm ready.
I'm waiting.
Kwa attitude hii, I guarantee you utafanikiwa lazima!Hello JF Members,
I'm madam Agnes, leo tena humu Jukwaani. Nisiwachoshe, niko na 30k kwenye kipochi, nahitaji kuanza biashara yoyote ile itakayowezekana sasa hivi.
Mazingira ni Dar es salaam. Siko na aibu, naeza fanya yoyote ile. Ilimradi tu itoshe kunipatia mlo pamoja na saving kidogo kwa ajili ya masuala ya baadae.
Sihitaji kuajiliwa, maake naondoka hivyo kwenye nyumba ya watu nilipokuwa naishi as house girl, watu hawana shukhrani jamani.
Mwenye wazo lolote lile ambalo limemsaidia kuendesha maisha, ama ameona limemsaidia somebody ku run his/her own life anipatie basi. Hata kama ni idea ya kiume, I'm ready.
I'm waiting.