Msaada: Nina changamoto ya nguvu za kiume

Remember this "the more you use it, it becomes bigger and stronger" sasa kama kitu huzitumii unategemea kitafanya kazi vizuri...!
 
Wadau hamjamboni nyote?

Rafiki ana shida kidogo ya nguvu za kiume hivyo anaomba kujua vidonge vipi vitamsaidia Kwa sharti la vidonge hivyo kutomletea pressure au kufanya macho yake yawe vibaya

Naomba mumshauri

Hutakiwi kutumia vidonge ili kupata nguvu za kiume , bali unahitaji kutibu mfumo wa uzazi kwa mwanaume ambao ni Figo & Kibofu
Tutahitaji kufanya diagnosis ili kujua shida gani husababisha , Kama Nishati kwenye Mfumo wa Figo & Kibofu haziko na uwiano sahihi hivyo kujenga toxin na kudhoofisha mfumo , pia blood channels huenda mishipa haipitishi damu ya kutosha , kufanya uume kushindwa kusimama vizuri ( Pressure)

Diagnosis ni lazima !

Wasiliana nasi +255653048888
www.heshoutang.com/heshoutang-dar-es-salaam-tanzania-office
 
Mkuu mimi nina tatizo hilo toka utotoni nimekuja kugundua 2020 Dec bada ya kujaribu kwa mara ya 1 nkashindwa nilikwenda onana specialist doc nkapimwa nikaonekana sina shida wakanipa dawa inaitwa goat weed nkatumia lkn wap nimetumia dawa nyingi sana lkn hakuna matokeo ukienda kwa waganga wanakwambia una mdudu ila ukipewa dawa unapotumia mwanzo ukienda maliwaton kitu kina simama ila bada ya siku 3 kuendelea inakuwa mdebwedo na unakuwa bado unatumia dawa mpaka inaisha hakuna kitu
 

Anza kufanya mazoezi(jogging,squats,kegel exercises,Glutes na lunges) kuweka sawa mzunguko wa damu wa mwili mzima, Anza kula pia vitu vinavyoboost testosterone mwilini na matunda kwa wingi.. zinagatia hayo plus kuiset akili yako uondoe uoga ulonao baad ya hapo utakaa sawa.
 
Fx n nomaaa
 
mimi msaada wangu ni kua demu wako na nisikutangaze😂😂ayo mengine peleka kwa ma herbalist 🙌🏾🙌🏾
Kwa hiyo unataka mwwnaume asiye na uume siyo?
 
Nenda Duka la dawa za asili kanunue manemane upo kama ubani, badala ya kuchoma loweka kwenye maji uwe unakunywa asubuhi au loweka asubuhi kunywa jioni.
 
Remember this "the more you use it, it becomes bigger and stronger" sasa kama kitu huzitumii unategemea kitafanya kazi vizuri...!
Njoo na elf 20 nikupe formula umalize tatizo 0712505049
 

Attachments

  • Screenshot_20240930-064942_WhatsAppBusiness.png
    698.2 KB · Views: 11
Njoo na elf 20 nikupe formula umalize tatizo 0712505049
Mimi nguvu zangu zinanitosha sana...nikiongeza nitakuja mtu... ninaweza kulala na wanawake wanne Tena Malaya wazoefu na wote nikawamwaga kojo
 
...Ulipokuwa Ukipiga Nyeto ilikuwa ikisimama bila Wasiwasi ?
 
Tumia multi macaa wiki mbili tu shughuli imeisha unarud unakuwa mpya kabisa
 
Inauzwa wapi au kwenye maduka ya dawa za asili?
Inauzwa elfu 80 kikopo kimoja
Inauzwa kwenye kampuni ya forever products na full ni laki tatu na 60 ila kwa wew macca tu inakutosha wiki mbili tu kwanza wiki ya kwanza ileile ngoma inabadilika hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…