allydasmartboy
Member
- Jul 14, 2018
- 36
- 7
Hahahahaha!! Acha kunichekesha bhana ngoja tusubilie wataalamu maana me mwenyewe soon nitashidwa kuishi hv yaaani najizui kula ila ndio kilo mmoja tu imepunguaMimi nina 74 mazoezi yashanipita kushoto,nimejaribu kujizuia kula nimeshindwa[emoji54]
Mkuu yani mimi nimeanza mpaka kufikilia kutafuta dawa zile wanazotangaza instaHahahahaha!! Acha kunichekesha bhana ngoja tusubilie wataalamu maana me mwenyewe soon nitashidwa kuishi hv yaaani najizui kula ila ndio kilo mmoja tu imepungua
Kumbe tuko wengiMimi nina 74 mazoezi yashanipita kushoto,nimejaribu kujizuia kula nimeshindwa[emoji54]
Bila chakula kingine?Kunywa maji na tango pekee kwa muda wa wiki mbili.....kisha uje kusimulia.
Unazunguka uwanja mara 6 tu???kipindi nafanya mazoezi nilikuwa nazunguka uwanja mara 20-25Jamani me nina kilo 80 nahitaji kupunguza kwa haraka ninafanya mazoezi ya kukimbia huwa na zunguruka wanja mara 6 kwa siku ila ndani ya wiki mbili nipunguza kilo 1 tu hv hakuna njia za kupunguza mwili kwa haraka zaidi nimechoka na huu mwili
Edibily Lunyamila alishindwa majaribio Ujerumani kwa kukosa kilo 80, endelea na tizi kijana, hatutegemei mwanaume wa shoka kuwa na kilo 50, uko kwenye raiti traki,Jamani me nina kilo 80 nahitaji kupunguza kwa haraka ninafanya mazoezi ya kukimbia huwa na zunguruka wanja mara 6 kwa siku ila ndani ya wiki mbili nipunguza kilo 1 tu hv hakuna njia za kupunguza mwili kwa haraka zaidi nimechoka na huu mwili
Mkuu yani mimi nimeanza mpaka kufikilia kutafuta dawa zile wanazotangaza insta
Kuna kitu inaitwa manjano au bizari.
Tumia hiyo kwenye misosi yako ndani ya wiki moja tu , utatamani kuanza kula mafuta kurudisha weight yako....
Kweli mkuu?? binzari mbichi su ya unga?Kuna kitu inaitwa manjano au bizari.
Tumia hiyo kwenye misosi yako ndani ya wiki moja tu , utatamani kuanza kula mafuta kurudisha weight yako....
Inapatikana madukani tu, ni kama kiungo cha mboga, wakina mama wanaijua sana.Inapatikana wapi bro?