Msaada: Nyoka Mkali anazunguka Mazingira ya Nyumbani

Ipo dawa ya kupulizakama fammigation.. itamtoa mafichoni
 
Nyoka kwa kuku hasogei labda wa kizungu, kuku anaua nyoka! Choma Tyre mwaga disel. Mmefanya kosa kubwa kuhama mmempa utulivu na nafasi ya kutafuta makazi yake vizuri.
Labda awe nyoka mdogo kiumri ila aliyekomaa kuku anafyekwa kabisa. Akiingia kwenye banda kama kuku ni wengi hapo labda ndo wanaweza kumuua na hapo ameshafyeka kadhaa na mara huwa wanapiga kelele na kukimbia na si kushambulia. Nyoka ni kiumbe chenye akili sana hauwawi kizembe.
 
Mbolea ya
Kweli kabisa...watoke humo ndani, hii inapalia, wanunue pilipili kavu, wazichome humo, wenye jiko la mkaa au chetezo.

Nje machine matairi, lakini wakimwaga urea, kwenye majani na maua, watambamba tu.

Everyday is Saturday 😎
Mbolea ya chumvi inazuiaje snake
 

Haya maisha ya ki-CCM napata wapi muda wa kuanza kukaguana na nyoka ili nijue ni poisonous or non poisonous?tukigumiana ni rungu la kichwa tu alikuwa wa sumu hakuwa wa sumu atajijua mwenyewe kwani nilimuita?
 
Huwa najiuliza kwann Mungu alimuumba nyoka,siwapendi iwe live au kwenye picha hata kula sitoweza hasa nyama au samaki siku hio nahisi nakula nyoka ishajengeka hivyo kwenye brain yangu ngumu kutoka
 
Nasubiri wamalize kukushauri nikupe USHAURI WA MWISHO.
 
Soma vizuri .kamgonga kwenye kiatu
 
Umekuja na maelezo kidogo sana.

Edit uzi andika upo eneo gani tujue ni aina gani
 
Mwanafunzi ameng'atwa kwa kiatu yaani kiatu ndo kilicuong'atwa
 
[emoji3][emoji3][emoji3]we jamaa
 
Nyoka kama kashajeruhiwa lazima afe ni swala la muda tu...vita ya paka na nyoka ni ndefu kama mlikuwa karibu lazima mngeishuhudia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…