Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Kwa mujibu wa maelezo yake nwanafunzi aligogwa kwenye kiatu mkuu..Nyoka kamuuma paka anakukufa...π
Then kamuuma mwanafunzi na hajakufa..π
Ebu nyorosha maelezo mkuu, otherwise mnaweza mwagia mafuta ya taa ama diesel kuzunguka maeneo ambayo mnahisi huyo mgeni anaonekana.
Ama, nashauri mchome moto eneo linalo zunguka hiyo nyumba na hata ikiwezekana hayo maua mengi myateketeze kwa moto.
Hofu ni kitu mbaya sana
Mwambie tu anitafute, mimi nakula nyoka na ninawawinda.Msaada, kuna jirani yangu Kaingiliwa na nyoka mazingira ya nyumbani kwake, huyu nyoka ana week tangu aonekane mara ya kwanza, ila upo uwezekano ni zaidi ya week maana kabla ya hapo ilikua inatokea tuu kuku kapotea, kelele za kuku bandani, usumbufu dirishani akiwa amelala n.k n.k.
Baada ya mda ndio akaonekana live,
Kumtafuta imekua changamoto kwanza ni kwa mashaka maana yaweza kua naye anakutafuta au mshtukiziane akuwahi...
Na inaonesha ni mkali na ana sumu mbaya, Juzi paka wake alikua naye ndani, ile anatoka tuu nje paka akapiga kelele kutoka anamkuta paka ndio anakaukia, chini ya dk akawa Tayari kafa
Japo inaonekana alimjeruhi, maana mdomoni alikua na damu na ngozi.
Imebidi ahamishe watoto huku, hawakai tena pale.
Mwenyewe anaenda kwa machale,
Nyumbani kwake kuna maua mengi sanaa yale yanayotanda mpaka ukutani, bustani ya mboga, kama mita 50 hivi kuna kijimto na nyasi nyingi,, tumepatana leo tupulize ile dawa ya kuua mimea..
kuna uwezekano anakuja na kuondoka, na si mara ya kwanza kuonekana maeneo ya nje, wanafunzi washamuona sana Kwa maelezo yao ashawahi mgonga mmoja wao kwenye kiatu..
Huyu ndugu tunamsaidiaje?
Jana kakutana na michirizi njee, akaishia nje.
Juzi katika kumsaka tukaambulia gamba tukasepa.
Mara anoe maua yanacheza au kuanguka.
Hakuna njia yoyote zaidi ya kumuua, ila njia gani sasa?
Naomba imani za kishirikina uwe ushauri wa mwisho.
Maana unaweza kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumiPia amwage mbolea ya chumvichumvi.
Ila wawe makini, wasije wakamuua halafu wakaonekana kuwa wamemuua, maana nyoka ni nyara ya serikali kwa mujibu wa Kigwangara, au kama watamuua basi wasiwe na itikadi ya upinzani
wewe huko Goba kawaida kukutana na viumbe hivyo Kuna mwaka Kama sikosei 2018 chui alionekana huko huko kamanda hivi walimwona kweli maana hawakuleta update wana maliasili!Mimi naonaga kwangu wa aina tatu wa kwanza ni wa kijani warefu na wa pili ni weusi wafupi pia na wa tatu ni silver flani hivi wanarangi kama tofali au cement nipo dar goba
wewe huko Goba kawaida kukutana na viumbe hivyo Kuna mwaka Kama sikosei 2018 chui alionekana huko huko kamanda hivi walimwona kweli maana hawakuleta update wana maliasili!Mimi naonaga kwangu wa aina tatu wa kwanza ni wa kijani warefu na wa pili ni weusi wafupi pia na wa tatu ni silver flani hivi wanarangi kama tofali au cement nipo dar goba
Alipita wapi mpk kuingia kwenye chooni?Nimeacha kabisa nachungulia tu na kumlika tochi pale kwenye sink kuona kama amejitokeza
Huwa wanatoka. Vinginevyo alizidiwa akafia hukohuko or kama choo kina upenyu alipita hukohuko.Sidhani kama ni kweli, mimi nilichoma juzi baada ya kuona nyoka chooni kwangu ila hakutoka hadi leo vinginevyo iwe alifia humo baada ya kuchoma maana hakuonekana kabisa.
Kama paka alimjeruhi huyo nyoka basi atakuwa keshakufa.Msaada, kuna jirani yangu Kaingiliwa na nyoka mazingira ya nyumbani kwake, huyu nyoka ana week tangu aonekane mara ya kwanza, ila upo uwezekano ni zaidi ya week maana kabla ya hapo ilikua inatokea tu kuku kapotea, kelele za kuku bandani, usumbufu dirishani akiwa amelala n.k n.k.
Baada ya mda ndio akaonekana live. Kumtafuta imekua changamoto kwanza ni kwa mashaka maana yaweza kua naye anakutafuta au mshtukiziane akuwahi.
Na inaonesha ni mkali na ana sumu mbaya, Juzi paka wake alikua naye ndani, ile anatoka tuu nje paka akapiga kelele kutoka anamkuta paka ndio anakaukia, chini ya dk akawa tayari kafa.
Japo inaonekana alimjeruhi, maana mdomoni alikua na damu na ngozi.
Imebidi ahamishe watoto huku, hawakai tena pale. Mwenyewe anaenda kwa machale.
Nyumbani kwake kuna maua mengi sanaa yale yanayotanda mpaka ukutani, bustani ya mboga, kama mita 50 hivi kuna kijimto na nyasi nyingi, tumepatana leo tupulize ile dawa ya kuua mimea.
Kuna uwezekano anakuja na kuondoka, na si mara ya kwanza kuonekana maeneo ya nje, wanafunzi washamuona sana Kwa maelezo yao ashawahi mgonga mmoja wao kwenye kiatu.
Huyu ndugu tunamsaidiaje?
Jana kakutana na michirizi nje, akaishia nje.
Juzi katika kumsaka tukaambulia gamba tukasepa.
Mara anoe maua yanacheza au kuanguka.
Hakuna njia yoyote zaidi ya kumuua, ila njia gani sasa?
Naomba imani za kishirikina uwe ushauri wa mwisho.
Sio kweli mkuu, huyo atakuwa nyoka mdogo, nyoka aliyekomaa ana ngozi ngumu, tena nyoka wengine kuku ni chakula kwao.Nyoka kwa kuku hasogei labda wa kizungu, kuku anaua nyoka! Choma Tyre mwaga disel. Mmefanya kosa kubwa kuhama mmempa utulivu na nafasi ya kutafuta makazi yake vizuri.
Kama Ni nyara ya serikali watampeleka kwa kigwa akaishi nae kwakePia amwage mbolea ya chumvichumvi.
Ila wawe makini, wasije wakamuua halafu wakaonekana kuwa wamemuua, maana nyoka ni nyara ya serikali kwa mujibu wa Kigwangara, au kama watamuua basi wasiwe na itikadi ya upinzani.
Nyoka wa kiunoni je?? Unamwogopa?Navyoogopa nyoka jamani
Eeh Mungu naomba nisije kutana nae
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app