Msaada: Period (hedhi) inanitesa

Msaada: Period (hedhi) inanitesa

Pole sana Georgyna haupo peke yako, mwenzio mpaka nilikuwa naweza vunja mahusiano na mtu niliye naye lakini hiyo huwa ni nikiwa nimekaribia MP zile siku chache kabla, hasira zikiisha sioni hata kosa la ku-break up ni nini..!!

Na kuna wakati nakuwa very depressed mpaka natamani hata kufa, mpaka nije kukumbuka nimekaribia MP unakuta nimeshateseka na stress ambazo hazina kichwa wala miguu vya kutosha..!!

Hivyo sahii nimejifunza nikiwa na mood mbovu bila sababu na hasira za ajabu naanza kutazama calendar yangu haraka then I take control of it..! Pole sana mwaya, ukiona tu hujielewi kabla hujatenda lolote la kujutia baadaye katazame calendar yako chap, kisha utaweza kui control situation..!!
Tupo wengi, mi hata siku za joto nakuwa hivyo hasira kisirani mpaka nifokee mtu au nilie ndo natulia, ni kujitahidi tu kuzuia hiyo hali hadi kichwa kuuma na homa hutokea baadhi ya vipindi, sielewi hasira huwa zinatokeaga wapi!!!
Aisee poleni sana
 
Pole sana Georgyna haupo peke yako, mwenzio mpaka nilikuwa naweza vunja mahusiano na mtu niliye naye lakini hiyo huwa ni nikiwa nimekaribia MP zile siku chache kabla, hasira zikiisha sioni hata kosa la ku-break up ni nini..!!

Na kuna wakati nakuwa very depressed mpaka natamani hata kufa, mpaka nije kukumbuka nimekaribia MP unakuta nimeshateseka na stress ambazo hazina kichwa wala miguu vya kutosha..!!

Hivyo sahii nimejifunza nikiwa na mood mbovu bila sababu na hasira za ajabu naanza kutazama calendar yangu haraka then I take control of it..! Pole sana mwaya, ukiona tu hujielewi kabla hujatenda lolote la kujutia baadaye katazame calendar yako chap, kisha utaweza kui control situation..!!
Pole, mimi huwa nakosa usingizi. Nitahangaika kutafuta usingizi mpaka nimalize hizo siku🚮
 
Pole sana Georgyna haupo peke yako, mwenzio mpaka nilikuwa naweza vunja mahusiano na mtu niliye naye lakini hiyo huwa ni nikiwa nimekaribia MP zile siku chache kabla, hasira zikiisha sioni hata kosa la ku-break up ni nini..!!

Na kuna wakati nakuwa very depressed mpaka natamani hata kufa, mpaka nije kukumbuka nimekaribia MP unakuta nimeshateseka na stress ambazo hazina kichwa wala miguu vya kutosha..!!

Hivyo sahii nimejifunza nikiwa na mood mbovu bila sababu na hasira za ajabu naanza kutazama calendar yangu haraka then I take control of it..! Pole sana mwaya, ukiona tu hujielewi kabla hujatenda lolote la kujutia baadaye katazame calendar yako chap, kisha utaweza kui control situation..!!
Pole mwaya.
Nashukuru sijafikia kutamani kujiua Mungu akusaidie.

Yaani ni kazi.
Bora ukiwa kwenye mahusiano na mtu anayekujali hasa ukiwa hizo siku kama mdau hapo juu alivyosema mkewe akiwa period anazidi kumpet pet.Hiyo inasaidia kukupa mood nzuri ila uwe na kimeo hakieleweki lazima uzidi kupata wenge
 
Pole mwaya.
Nashukuru sijafikia kutamani kujiua Mungu akusaidie.

Yaani ni kazi.
Bora ukiwa kwenye mahusiano na mtu anayekujali hasa ukiwa hizo siku kama mdau hapo juu alivyosema mkewe akiwa period anazidi kumpet pet.Hiyo inasaidia kukupa mood nzuri ila uwe na kimeo hakieleweki lazima uzidi kupata wenge
Ila haivumiliki hiyo hali usiwalaumu aisee, mtu hajakukosea unamlipukia tu tena sometimes unakuta anakueleza vizuri tu hata mie siwezi kuvumilia tutazinguana tu
 
Back
Top Bottom