Msaada, punyeto inanisumbua sana

Msaada, punyeto inanisumbua sana

Weee tafuta hata wasomba mkaa mzee baba au hata watembeza nyanya wa saizi yako , wahonge misimbazi , then wakalishe chini mmoja mmoja uwape neno la mungu kuwa wee ni mwanaume unahitaji sex , kati yao huwezi kosa hata wa nne mzee , auu ka vipi nenda manzese kwa wahaya 5k tuuu unalamba k safiii tena juu ya kitanda
Manzese kwa Wahaya:

Ni 3k mkuu ashindwe yeye tu

7k na style anapewa

Ila aende na pesa kamili asitegemee kurudishiwa chenji
 
Mkuu njoo DM,nikushauri na nikupe tiba ambayo utapona,Mimi Dr by professional na vijana wengi hili swala linasumbua sana
Acha uongo linawasumbua wapi,hakuna scientific proof iliyowahi kusema Punyeto ina madhara.Ni watu na madaktari wajinga wanaoendekeza maneno hayo mpaka hadi watu wanaanza kutengeneza hisia fulani akilini wao kuwa punyeto ni mbaya.
 
Nipo tayari kaka! Mwaga mambo
Nimwage mambo kivipi.
Nitumie elfu 10 ya soda nikupe dawa ya kuacha punyeto.
Madhara ya punyeto
  • Akili inalala
  • Afya inadhorota hasa afya ya viungo
  • Mpiga punyeto hana uwezo wa kuwa kiongozi bora
  • Utachapiwa mke wako kirahisi hata kama una pesa.
-Mikosi itakuandama.
Njoo pm nitumie hata buku 7 tu nikupe dawa upone.
Siuzi dawa ya kuacha punyeto bali nakupa tu kishkaji.
Kwa doctor Mwaka utatoa mpaka laki 2 kuponywa hilo tatizo
 
Ankali ROBERT HERIEL hii sasa ndio laana ule umasikini ulikua una usingizia tu bure mkuu

Sababu kwa nini PUNYETO ni DHAMBI KUBWA ni kwamba inaongoza kwenye uharibifu wa Mbegu ya Kuzaa: ambayo ilikuwa ni dhambi yenyewe iliyomfanya Mungu kumwangamiza Onani katika Biblia (Taz. Mwanzo 38:8-10).


😂😂😂
 
1.ukiweza kufuta chrome.,tik too na Instagram Punyeto inakwenda na pornography pamoja

2.anza kutafuna kitunguu swaumu tangawizi na asali ku restore ulivyopoteza

3.usiwe na wasiwasi haiathiri Sana kwa miaka kumi ijayo Bado utaweza kuwalamba wasichana

4.ukianza kupiga punyeto mkumbuke Bibi yako au mama yako ulikotoka...huwafanyii haki...


5.shetani wa punyeto huyu hapa huwa anasubiria ukojoe achekeView attachment 2347516
Ndugu yangu unaijua Punyeto lakini, hizo App unazifuta muda ukifika unazipakua mwenyewe bila kutarajia....
 
Kuna msela humu JF alisema yeye alipaka Hadi mikono pilipili ili asijichue lkn mwishowe alipiga puli hivyo hivyo na alivyomaliza ndipo akaanza kupambana na muwasho wa pilipili mbooni.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
 
Weee tafuta hata wasomba mkaa mzee baba au hata watembeza nyanya wa saizi yako , wahonge misimbazi , then wakalishe chini mmoja mmoja uwape neno la mungu kuwa wee ni mwanaume unahitaji sex , kati yao huwezi kosa hata wa nne mzee , auu ka vipi nenda manzese kwa wahaya 5k tuuu unalamba k safiii tena juu ya kitanda
Vipi ulipata kazi ya sensa
 
Salamu zenu, na umri wangu huu wa miaka zaidi ya 27 nasumbuliwa na tatizo la kujichua mno. Nataka kuacha, naombeni ushauri ili yasije kunikuta madhara makubwa ikiwemo kushindwa kupata watoto, na kushindwa kusimamisha uume.

Nasikitika sana! Nitumie njia zipi ili niache na nisipige kabisa ili niwe kama wanaume wengine? Please msaada, nataka niache na nisirudie tena ujinga huu na uraibu huu.

Tuungane kuitokomeza punyeto!
Kwanza hauwezi kuwa hanith kwa kujichua, pia hauwezi kushindwa kupata watoto sababu ya kujichua
Madhara yanayoambatana na kujichua ni haya
1. Kuathirika kisaikolojia sababu kitendo unachokifanya sio maadili mazuri
2. Kushindwa kuhimili tendo la ndoa kwa mwanamke yaan ukishamwaga cha kwanza tu haurudii tena.
3. Premature ejaculation
4. Kuumwa mgongo na uti wa mgongo
5. Uume kusinyaa yaan unakuwa mdogo kama wa mtoto
Madhara haya si lazima yakutokee yote,
Hali uliyonayo hupitiwa na vijana karibu wote ila wengi huacha mapema sana sasa wewe 27 ni umri mkubwa sana kwa amaana una zaidi ya miaka 10 unajichua

Way forward.
Kwanza hatua ya kutambua kuwa kitendo hicho sio kizuri na kina madhara ndo hatua ya kwanza na nzuri kuanza safari yako mpya
Pili dhamira yako ya kutaka kuacha punyeto ni hatua ya pili na nzuri tu ambayo dereva mkuu ni wewe mwenyewe
Tatu: kamwe usijaribu kuudanganya moyo wako, najua hujanielewa kwamba umeamua kuacha halafu unajiiba maramojamoja unafanya utakuwa unafanya sawa na kunya kinyesi halafu unakila tena
Kama utashindwa kujisimamia kuacha basi tsfuta mshauri nasaha mweleze kila kitu
Cha kufanya sasa
Kwanza usikae peke yako mda mrefu kama unalala peke yako basi tafuta hata rafiki umkaribisha uwe unalala naye
Pili kama unaangalia picha za ngono basi futa zote na ikiwezekana kama smartphone ni kikwazo iuze nunua simu ya kawaida
Tatu anza mazoezi asubuhi na jioni ili kuuchosha mwili na kama umeajiriwa basi jikite zaidi kufanya kazi ya mwajiri wako masaa hata baada ya kazi ili kuuchosha mwili
Nne tafuta mschana na ikiwezekana oa kabisa sababu kwa umri wako vijana wengi ndo huanzisha familia hata mm nlioa na miaka 28 nikiwa kazini mwaka mmoja.
Na mwisho lichukie sana hilo tendo maana ni machukizo kwa mwenyezi Mungu.
 
Jiunge na group hili la telegram. Uliza maswali yote huko na utajibiwa. Kuna mbinu kadhaa wanajadili na kuna vitabu vya kisaikolojia vyenye njia za kuacha punyeto zilizothibitishwa. Kila la heri mkuu [emoji1545][emoji1545][emoji1545]

Ahsante sana
 
Weee tafuta hata wasomba mkaa mzee baba au hata watembeza nyanya wa saizi yako , wahonge misimbazi , then wakalishe chini mmoja mmoja uwape neno la mungu kuwa wee ni mwanaume unahitaji sex , kati yao huwezi kosa hata wa nne mzee , auu ka vipi nenda manzese kwa wahaya 5k tuuu unalamba k safiii tena juu ya kitanda
[emoji23] nielekeze huko Manzese
 
Back
Top Bottom