Msaada sio lazima lakini ukimpa MTU uhakika wa kupata Kazi basi msaidie.

Msaada sio lazima lakini ukimpa MTU uhakika wa kupata Kazi basi msaidie.

Dalali wa mjini

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2024
Posts
326
Reaction score
464
Moja Kwa moja kwenye mada.

Mkuu wee ni MTU mzima Mwenye familia na watoto kama Mimi pengine umenizidi umri au nimekuzidi umri.

Umenipigia simu asubuhi ya Jana tumepanga fresh sana mipango na akuniambia kuna Kazi unataka unipe ambayo itanisogeza kimtindo nikakwambia Mimi nipo fresh kabisa kaka.Leo nimekutafuta ukaniambia nije posta ya Zamani tupange mikakati.

Ajabu nimefika kituoni pale nakupigia simu hushiki na mwisho wa siku hukupatikana kabisa.

Hamna shida kaka lakini hatuishi hivi kaka siku nyingine angalia usije ukapata laana za watu mana tegemezi la familia ni kubwa Sana kaka.

Umenifundisha sana siku ya Leo na pia nashukuru nimekuja kuona Bahari pia.Nipigie simu bana kaka inshu imekuwa ngumu tutachekiana ikiwa Sawa.

Umenitoa mbezi brother Hadi posta kuja kushangaa mataa.

#Dalaliwamjini
0754693556
 
Moja Kwa moja kwenye mada.

Mkuu wee ni MTU mzima Mwenye familia na watoto kama Mimi pengine umenizidi umri au nimekuzidi umri.

Umenipigia simu asubuhi ya Jana tumepanga fresh sana mipango na akuniambia kuna Kazi unataka unipe ambayo itanisogeza kimtindo nikakwambia Mimi nipo fresh kabisa kaka.Leo nimekutafuta ukaniambia nije posta ya Zamani tupange mikakati.

Ajabu nimefika kituoni pale nakupigia simu hushiki na mwisho wa siku hukupatikana kabisa.

Hamna shida kaka lakini hatuishi hivi kaka siku nyingine angalia usije ukapata laana za watu mana tegemezi la familia ni kubwa Sana kaka.

Umenifundisha sana siku ya Leo na pia nashukuru nimekuja kuona Bahari pia.Nipigie simu bana kaka inshu imekuwa ngumu tutachekiana ikiwa Sawa.

Umenitoa mbezi brother Hadi posta kuja kushangaa mataa.

#Dalaliwamjini
0754693556
Kuna watu wakisha lewa wanakua na mipango mingi sana ya kazi, pombe zikimtoka hata simu hashiki tena! Pole sana mkuu ndiyo dunia!!
 
Kuna jamaa aliwah nifanyia hv na aĺikuwa jamaa yang sana,kuna wakat alikuwa namagumu nkamkopesha hela akapotea,baadae akapatikana akihitaj hifadhi nikamruhusu atoke mkoan aje,mara akaenda kwa mshikaj wetu mwingine mkoa mwingine akapata kazi nzur tu

Kuna kipind mambo yang yaliyumba,nikamuomba jamaa anichekia nafas kwenye hyo kampuni niende,mwanzo akaniahid vzur tu kwa kuniambia nafas ipo na atanitolea mpaka hela ya kuhonga lakin ajabu baadae alipotea kwenye sm lakin kwenye mitandao ya kijamii namuona

Wengine wanaoboa ni wale ambao unataka kumuuzia kitu anakukubalia na kukwambia siku fulan atakupa hela lakin siku ikifika chenga zinakuwa nying mpaka unagundua hakuwa na mpango wa kununua ila nikukwamisha tu jinga sana
 
Kuna jamaa aliwah nifanyia hv na aĺikuwa jamaa yang sana,kuna wakat alikuwa namagumu nkamkopesha hela akapotea,baadae akapatikana akihitaj hifadhi nikamruhusu atoke mkoan aje,mara akaenda kwa mshikaj wetu mwingine mkoa mwingine akapata kazi nzur tu

Kuna kipind mambo yang yaliyumba,nikamuomba jamaa anichekia nafas kwenye hyo kampuni niende,mwanzo akaniahid vzur tu kwa kuniambia nafas ipo na atanitolea mpaka hela ya kuhonga lakin ajabu baadae alipotea kwenye sm lakin kwenye mitandao ya kijamii namuona

Wengine wanaoboa ni wale ambao unataka kumuuzia kitu anakukubalia na kukwambia siku fulan atakupa hela lakin siku ikifika chenga zinakuwa nying mpaka unagundua hakuwa na mpango wa kununua ila nikukwamisha tu jinga sana
Kukosa uaminifu ni kosa kubwa waty wengi hawajui tuu

Mwishoni ndo kuomba nisamehe,

Wanafikiri ni rahisi tuu washenzi sana
 
Kuna jamaa aliwah nifanyia hv na aĺikuwa jamaa yang sana,kuna wakat alikuwa namagumu nkamkopesha hela akapotea,baadae akapatikana akihitaj hifadhi nikamruhusu atoke mkoan aje,mara akaenda kwa mshikaj wetu mwingine mkoa mwingine akapata kazi nzur tu

Kuna kipind mambo yang yaliyumba,nikamuomba jamaa anichekia nafas kwenye hyo kampuni niende,mwanzo akaniahid vzur tu kwa kuniambia nafas ipo na atanitolea mpaka hela ya kuhonga lakin ajabu baadae alipotea kwenye sm lakin kwenye mitandao ya kijamii namuona

Wengine wanaoboa ni wale ambao unataka kumuuzia kitu anakukubalia na kukwambia siku fulan atakupa hela lakin siku ikifika chenga zinakuwa nying mpaka unagundua hakuwa na mpango wa kununua ila nikukwamisha tu jinga sana
Mitihani Ni mingi sana
 
Back
Top Bottom