Msaada: Sioni tena umuhimu wa kuishi na kiumbe anayeitwa mwanamke

Basi hamia kwa kiumbe anayeitwa Mwanaume!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukipata pesa utarudi Tu mwamba. Ni suala la muda ukichanganya na stress
 
Hongera sana, ila kamari nayo si nzuri. Ila unakaribia utakatifu kwa kushinda tamaa kubwa ya kimwili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…