kibaya zaid ye yuko ofis za kifisad kipato chako chamwez anauwezo wa kukidaka kwa siku 2 au 3 mbona utaachishwa kaz. Uku kitaan kwetu kuna jamaa ye ni kinyoz tu deiwaka ila waifu wake ana vimilad sema ndo ivo kiswahilisawhili. ana mama ntilie,ana kijiduka cha vipodoz ila izo nyodo zake jamaa anataman kukimbia nyumba ila ndo ivo tena wana watoto wawili mwanadada akianza kumwagia matusi jamaa machoz huwa yanabubujika mbele ya wapangaj wenzake ila ndo ivo ana cha kufanya sababu ata kod ya nyumba analipa mama.
Mbu,kuongoza kuna maana ya kusimamia mtu au kikundi cha watu kwenda kule mlikokubaliana kwenda.KAZI YA KIONGOZI ni kuwasimamia anaowaongoza au anaemuongoza kuyafanya yale anayotakiwa kuyafanya wakati wa safari ya kuelekea mnakoenda!
Mwanaume wa dizaini ya ODM siyo type hii.... ntake radhi.
Ishu ya hawa watu ni mapenzi wajameni...... huyu kidume hakumpenda huyu bunti. Ukimpenda mtu fedha si ishu. Jamaa alishakula mzigo akaona haumlipi akatafuta sababu. Yaweza kuwa labda ana demu wake kwa hiyo amekula mzigo kisiri na kusepa wake asijejua. (Huo ndo uanaume sasa)
Ilianzia hapa....Keshakula, hapo kuna kuuliza tena broda!
Ebo, ulishasema kishakula sasa vipi tena hakiliki?Uko sahihi mpendwa,
Kisicho riziki siku zote hakiliki!
NikakusaidiaEwaaaaaa......... bali kinatafunwa. Sawa?
NikaulizwaKhaaaaa!
Asa kutafunwa kuna tofauti gani na kuliwa babu?
NikafafanuaKutafuna........ kama unavyotafuna bigijii, huimezi siyo?
Kuliwa............Unatafuna afu unameza....
Tukienda kwa lugha ya ki-MMU jukwaa la Chit Chat:
Ukitoka na boifrendi wako akavaa kondom, ujue kakutafuna
Asipovaa, amekukula.
Soma upesi nidiliti kabla PAW hajaisoma.:hatari:
Mdau akanisaidia kukazia somoAu kwa kifupi bigi jii haitafunwi na maganda yake
Mdau akawa amenielewakhaaaaaaa...............kumbe ndo hivyo....mhhhhh!!!!!
Ukafurahi sana kwa ufafanuzi wanguHaaaa haaa haaa!
Uwiiiii, mbavu zangu mie,
Haya nimekuelewa babu,
Maana ukiendelea hapa itakuwa ishu,
Unaweza ukaidiliti tu sasa lol!
Rafiki akanihakikishiaNafikiri hawezi kuuliza tena.....maana ikishaenda huko, wengine hatuna funguo za hilo jukwaa....
Na kweli hukuulizaNimeshakubali wala siulizi tena,
Haya majibu yake tu mie hoi lol!
ODM anawashaurini hivi::focus: Pliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiz!!umeona eee...canta....huyo ndo BABU ODM....akitokea mwingine ni fake...🙂 🙂
Sante mkuu, na bia nazo ungenipa tano mbona ingekuwa biyee!ODM chukua tano!
Unanivimbisha mbichwa ujue, afu kuna watu watanionea wivu. Shauri zangu wallah!Yan ww acha tu,
ODM atadumu hakuna wa kufafa naye,hata wakichina hakuna lol!
Wenye wivu wajinyonge,Sante mkuu, na bia nazo ungenipa tano mbona ingekuwa biyee!
Unanivimbisha mbichwa ujue, afu kuna watu watanionea wivu. Shauri zangu wallah!
Kwa hiyo jamaa amesha kula mzigo tayari?
Keshakula, hapo kuna kuuliza tena broda!
Sidhan km ni hivyo coz tangu alipoanza kula mzigo ndio alipagawa zaidi mpaka akawa anatoroka kazin kwenda kuufata!Labda hakufurahishwa na mzigo....
Wenye wivu wajinyonge,
Kiukweli kwa upande wangu huwa nikisoma comment zako jukwaa lolote lile huwa naenjoy!
Najua hili hata wajukuu wako lukuki humu ndani wanalikubali,
So Babu ODM THE GREAT! source: Canty.
Hahahahaha! dah! Leo ntakukumbuka katika sala zangu😛oaWenye wivu wajinyonge,
Kiukweli kwa upande wangu huwa nikisoma comment zako jukwaa lolote lile huwa naenjoy!
Najua hili hata wajukuu wako lukuki humu ndani wanalikubali,
So Babu ODM THE GREAT! source: Canty.
Ayaaa! Tayari wamekwisha anza!!:A S-coffee:asalaalah ... !
Bange za mchana bana!Labda hakufurahishwa na mzigo....
Ayaaa! Tayari wamekwisha anza!!:A S-coffee:
Karibu mkuu,asalaalah ... !
Unajua tena, wajukuu saa nyingine hukaimu nafasi ya bibi. Najitesea kwa raha zangu. Na mpwa yupi wamzungumzia hapa, tumejaaliwa kuwa na wengi.lol ... tumeanza nini tena babu?? ... naona tu jasho linavyokutoka kukimbizana na mjukuu ... mpwa simuoni leo hapa ndo maana nduguze macho yatutoka!
Amen,Hahahahaha! dah! Leo ntakukumbuka katika sala zangu😛oa
Ayaaa! Tayari wamekwisha anza!!:A S-coffee:
Unajua tena, wajukuu saa nyingine hukaimu nafasi ya bibi. Najitesea kwa raha zangu. Na mpwa yupi wamzungumzia hapa, tumejaaliwa kuwa na wengi.
Karibu mkuu,
Dah, leo sijakuona ulikuwa wapi,
Sema chochote basi,
Nimeamua kumpa babu ufagio wake lol!
Asante sn,nipo nakusoma mpwa, naona leo umeamua kufunguka na babu! .... busara zimajaa hapo ... hakuna litakalo haribika kabisa!
Asante sn,
Na ww funguka kidogo bwana,
Mwambie babu akutafsirie uzi hapo najua utaelewa tu.