MSAADA: Tatizo la vitu kutembea mwilini

Una umri wa miaka mingapi?

Mimi nataka kukupa ushauri
 
Pole.
Hapo washawasiliana ili ufe au uteseke zaidi.
Ukimdadisi huyo sheikh atakuambia ukweli
 
Sababu zinazoweza kuwa zinasababisha tatizo lako...
1. HIV
2. TYPHOID
3. MALARIA
4. MAPEPO/MAJINI.
kwa maneno ya jamaa haiwezi kuwa malaria wala Typhoid wala HIV hapo yatakuwa na hayo mapepo na Uchawi tu maana Tatizo lina miaka mitano, Shida ya hayo mambo ya kichawi huwa yanasababisha na matatizo mengine sasa kama uliyoyataja.
 
kwa maneno ya jamaa haiwezi kuwa malaria wala Typhoid wala HIV hapo yatakuwa na hayo mapepo na Uchawi tu maana Tatizo lina miaka mitano, Shida ya hayo mambo ya kichawi huwa yanasababisha na matatizo mengine sasa kama uliyoyataja.

Nifanyaje jmn naishi maisha magumu sikutegemea kama nitaishi hivi kwenye maisha yangu kweli uchawi upo
 
Huo mzunguko mbaya wa damu unasababishwa na nini na tiba ya hospital huwa ni nini au haipo?
 
Moja mpaka tatu nimepima sina tatizo labda hiyo namba nne mkuu ndo itakua inanisumbua
Kama ni hivyo bas kumbuka maisha yako ya nyuma huenda kuna mtu ulimkosea, na huyo mtu hadi leo anakuhangaikia akuharibu! Namaanisha hakukuloga miaka mi5 nyuma akatulia, bali analoga kila siku na anafatilia unaendeleaje, uko kwenye maagano. Pengine ulimkubalia mtu kuwa atakuoa ukaja badilika, jichunguze kwanza. Ama uligombana na mtu flani ugomvi mkubwa.
 

Niliwaona wachawi wakiwa wanaenda kuloga nikawatambua ndo shida ilianzia hapo na sikuwaona mara moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…