Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mdada nature yake sio binti wa mtandaoni wala kupiga picha sehem za kifahari, anapiga picha location za kawaida sana nshamchunguza insta na facebook, infact mara yake ya mwisho kupost insta ni mwaka jana KaruceeHizo location zimekaa kizamani sana.
Eti Canteen wakati mabinti wanataka ku slay kwenye mitandao.
Nonsense.
Nadhani ni yule mtu ambaye hataki kwenda haraka, nenda nae taratibu usiharakishe kutaka kuonana ila endelea kuwasiliana nae.
Au pia inawezekana ana mtu wake.
Leo akili yangu imetulia😂UmeComment kibingwa sana
Hata mm niliwaza hivi hivi ila alivonipigia simu kwa namba yake ingine ambayo hakunipa mwanzo, na kuongea sauti legevu, it f*cked up my brain.. naweza sema labda ana interest ndogo kwangu, yani mm sio dream man wake Kwahiyo ananichukulia poa bora liende, untill a better man comes in her life.. NumbisaHakupendi
Akianza niomba hela namkimbia chap mbongo_halisiAkibadili kabila lake na kuwa mgogo (kiombi) utuambie umechukua uamuzi gani dhidi yake. Hawa mademu wa kibongo wanaboa sana.
Yes, hii ndiyo dawa yao....unawakimbia na kuwablock kabisa warudi kwao Dodoma kwenda kuomba omba wabunge!Akianza niomba hela namkimbia chap mbongo_halisi
Huyo mdada laiti angejua rohoni kwangu nilivo na nia nzuri naye, kama ana mtu wake kwann anipe mm namba na kuchat na mm, huoni hiyo ni emotional cheating, kama ana mtu wake sidhani kama wako karibu au wako kwenye serious relationshipNadhani ni yule mtu ambaye hataki kwenda haraka, nenda nae taratibu usiharakishe kutaka kuonana ila endelea kuwasiliana nae.
Au pia inawezekana ana mtu wake.
Hapana..may be anahitaji kukujua zaidi kabla hamjaonana, kuna watu wanapenda chatting zaidi ya kuonana.Huyo mdada laiti angejua rohoni kwangu nilivo na nia nzuri naye, kama ana mtu wake kwann anipe mm namba na kuchat na mm, huoni hiyo ni emotional cheating, kama ana mtu wake sidhani kama wako karibu au wako kwenye serious relationship
Au somehow nalinganishwa na wanaume wengine wengi wanaomfuata, hajui achague yupi hahaahaahaha
Pia huyo mdada kwa muonekano namuona kama ana roho nzuri, though sina uhakika, nimem-judge tu kwa nje Demi
Leo akili yangu imetulia[emoji23]
Akili yako si unaijua mwenyewe?😆Haaaaah! Haaaah! Haaaah! Sijui why nimeelewa tofauti
Hapana..may be anahitaji kukujua zaidi kabla hamjaonana, kuna watu wanapenda chatting zaidi ya kuonana.
Na ukiwa mvumilivu mapenzi kama hayo yanakuwaga matamu sana, ona anavyojibebisha kwenye simu...just go on with the flow.
Akili yako si unaijua mwenyewe?[emoji38]
Nakuja kujibebishaMm hata sijakuelewa hapa! Naomba nifanyie demo Mimi. Nichatishe na ujibebishe nikuone ndo ntaelewa
Coke2 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️Huenda nadhurika na vitu nnavotumia
Amekwambia Hanna hela?? Au unafikiri kila kitu Ni hela tu , utakufaMleta mada Tafuta Hela