Msaada tutani: Mwenye uzoefu na aina ya wanawake ambao wanadai wametingwa na shughuli kila saa

Msaada tutani: Mwenye uzoefu na aina ya wanawake ambao wanadai wametingwa na shughuli kila saa

Ralax mkuu,
wakati wako kua nae haujafika bado.
Kuna mtu au vitu vinamkeep busy Kama ulivyoambiwa.
Yaani kiufupi Umewekwa "pending zone".

Kama kweli unampenda, usipige chini.
Nenda nae hivyo hivyo anavyotaka, uku ukisubiri azinguane na uyo alienae Sasa ili uchukue nafasi

HII NDIO LOVE CYCLE[emoji4]
 
mtumie mtoto meseji kuwa mtoke dinner, uchague sehemu nzuri....kantini pa kazi gani aseee
Haitasaidia, kama sehemu ya kula ni jirani na anapofanyia kazi lakini anasema yuko busy, hiyo sehem nzuri iliyo mbali ndo ataenda, ngoja nijaribu

NB: Naweza mpeleka dinner Hyatt regency, Akemi, KFC, Turkish restaurant, na bado nikaonekana fala tu nisipewe mzigo..kwa mdada mwenye akili anaejielewa ataona nafeki maisha ili tu nimu-impress,

Kama hana hisia na mm, Ni sawa na umvishe sokwe suti, haitabadilisha choc, migahawa expensive haitamfanya anipende..
Evelyn Salt
 
Huyo mdada laiti angejua rohoni kwangu nilivo na nia nzuri naye, kama ana mtu wake kwann anipe mm namba na kuchat na mm, huoni hiyo ni emotional cheating, kama ana mtu wake sidhani kama wako karibu au wako kwenye serious relationship

Au somehow nalinganishwa na wanaume wengine wengi wanaomfuata, hajui achague yupi hahaahaahaha

Pia huyo mdada kwa muonekano namuona kama ana roho nzuri, though sina uhakika, nimem-judge tu kwa nje Demi
yupo mkoa gani na sehemu gani?na mimi ninaye kama huyu yupo hapa dar
 
Haitasaidia, kama sehemu ya kula ni jirani na anapofanyia kazi lakini anasema yuko busy, hiyo sehem nzuri iliyo mbali ndo ataenda, ngoja nijaribu

NB: Naweza mpeleka dinner Hyatt regency, Akemi, KFC, Turkish restaurant, na bado nikaonekana fala tu nisipewe mzigo..kwa mdada mwenye akili anaejielewa ataona nafeki maisha ili tu nimu-impress,

Kama hana hisia na mm, Ni sawa na umvishe sokwe suti, haitabadilisha choc, migahawa expensive haitamfanya anipende..
Evelyn Salt
ndio shida yenu wakulungwa, kuambiwa sehemu nzuri ushawaza Hyatt regency...
sehemu ya kula karibu na kazi ili iweje????
we muite mbali weekend na ZINGATIA usioneshe una hitaji sana una kiu sana na mbususu.
 
Hi guys kwenye mahusiano yangu yaliyopita sijawahi kusumbuliwa na wadada wakati wa kutongoza kwa style hii

Kuna mdada nlionana naye juzi, nikamwomba namba tuchat akanipa kirahisi, nikamtext jioni hiyo alijibu, shida ni kuwa Kila nikimwomba nikutane nae sehem ya canteen au public place anadai yuko Bize kazini,ni kweli anafanya kazi.

Kutokana na ilo jibu hapo juu Mimi na wewe tunaweza kujudge labda hanitaki, lakini cha kushangaza 2 days after we first met, alinipigia simu na namba yake ingine Ya pili ambayo hakunipa mwanzo, huku akiongea na mm kwa sauti legevu, lakini nkiomba kumeet nae bado atasema yuko Bize, Sasa nilibaki kushangaa..theories tatu zimebaki kichwani kwangu

1) Anataka attention yangu tu, ila hayuko serious na mm
2) Ananilinganisha na wengine wanaomtongozaga, Yan mm sio first selection, labda spare tyre
3)Alishaumizwa, sasa ananiogopa haniamini..

SABABU YA MIMI KUULIZA
Waswahili wanasema kuuliza si ujinga, huwezi ukajua kila kitu, hata wadada Mwaweza changia humu, nauliza humu jf coz sitaki kuendelea kupoteza muda. Wanaume mliokutana na wadada wa type hii mli-deal nao vipi..

Kichwani nafikiria kumkaushia ila naogopa huenda napoteza mtu ambaye ni a good woman

NOTE: Uzuri wake hajawahi kuniomba hela tangu nimechukua namba yake, lasivyo ningekuwa nshamkimbia Mzigua90 Evelyn Salt Heaven Sent to yeye Demi Luv
Wacha kupoteza muda, temana nae... "Mark my words"
 
Hi guys kwenye mahusiano yangu yaliyopita sijawahi kusumbuliwa na wadada wakati wa kutongoza kwa style hii

Kuna mdada nlionana naye juzi, nikamwomba namba tuchat akanipa kirahisi, nikamtext jioni hiyo alijibu, shida ni kuwa Kila nikimwomba nikutane nae sehem ya canteen au public place anadai yuko Bize kazini,ni kweli anafanya kazi.

Kutokana na ilo jibu hapo juu Mimi na wewe tunaweza kujudge labda hanitaki, lakini cha kushangaza 2 days after we first met, alinipigia simu na namba yake ingine Ya pili ambayo hakunipa mwanzo, huku akiongea na mm kwa sauti legevu, lakini nkiomba kumeet nae bado atasema yuko Bize, Sasa nilibaki kushangaa..theories tatu zimebaki kichwani kwangu

1) Anataka attention yangu tu, ila hayuko serious na mm
2) Ananilinganisha na wengine wanaomtongozaga, Yan mm sio first selection, labda spare tyre
3)Alishaumizwa, sasa ananiogopa haniamini..

SABABU YA MIMI KUULIZA
Waswahili wanasema kuuliza si ujinga, huwezi ukajua kila kitu, hata wadada Mwaweza changia humu, nauliza humu jf coz sitaki kuendelea kupoteza muda. Wanaume mliokutana na wadada wa type hii mli-deal nao vipi..

Kichwani nafikiria kumkaushia ila naogopa huenda napoteza mtu ambaye ni a good woman

NOTE: Uzuri wake hajawahi kuniomba hela tangu nimechukua namba yake, lasivyo ningekuwa nshamkimbia Mzigua90 Evelyn Salt Heaven Sent to yeye Demi Luv
Hata umpate mtaachana tu
 
Nadhani ni yule mtu ambaye hataki kwenda haraka, nenda nae taratibu usiharakishe kutaka kuonana ila endelea kuwasiliana nae.

Au pia inawezekana ana mtu wake.
Tuseme ana mtu wake na wana uhusiano serious, sasa mimi kanipa namba ya nini Demi
 
Hapana..may be anahitaji kukujua zaidi kabla hamjaonana, kuna watu wanapenda chatting zaidi ya kuonana.
Na ukiwa mvumilivu mapenzi kama hayo yanakuwaga matamu sana, ona anavyojibebisha kwenye simu...just go on with the flow.

Kweli kabisa
 
Haitasaidia, kama sehemu ya kula ni jirani na anapofanyia kazi lakini anasema yuko busy, hiyo sehem nzuri iliyo mbali ndo ataenda, ngoja nijaribu

NB: Naweza mpeleka dinner Hyatt regency, Akemi, KFC, Turkish restaurant, na bado nikaonekana fala tu nisipewe mzigo..kwa mdada mwenye akili anaejielewa ataona nafeki maisha ili tu nimu-impress,

Kama hana hisia na mm, Ni sawa na umvishe sokwe suti, haitabadilisha choc, migahawa expensive haitamfanya anipende..
Evelyn Salt



Sahihi kabisa!

Umenena vyema kabisa!
 
Back
Top Bottom