Msaada tutani: Mwenye uzoefu na aina ya wanawake ambao wanadai wametingwa na shughuli kila saa

Msaada tutani: Mwenye uzoefu na aina ya wanawake ambao wanadai wametingwa na shughuli kila saa

Amekwambia Hanna hela?? Au unafikiri kila kitu Ni hela tu , utakufa
Kuna sehemu nimesema hana hela?
Hata hao matajiri wa Dunia kina Elon Musk na Bill gates wana hela but still wana tafuta hela,
Hela hazina limit,au umekariri kua mtu akiambiwa tafuta hela maana yake ni kua anaambiwa hana hela?
 
Kwahiyo ndio ukaona umpeleke canteen ya chuo?
Mkuu mbona hata pale hazina napo (enzi hizo sijui now days) walikua na canteen...Posta house oposite na internal affairs pia wana canteen...what is wrong with canteen ? Sio lazima iwe chuo...au labda sijaona kama jamaa kasema ni mwanachuo? 😂
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Kwahiyo ndio ukaona umpeleke canteen ya chuo?
Mkuu mbona hata pale hazina napo (enzi hizo sijui now days) walikua na canteen...Posta house oposite na internal affairs pia wana canteen...what is wrong with canteen ? Sio lazima iwe chuo...au labda sijaona kama jamaa kasema ni mwanachuo? 😂
 
Hi guys kwenye mahusiano yangu yaliyopita sijawahi kusumbuliwa na wadada wakati wa kutongoza kwa style hii

Kuna mdada nlionana naye juzi, nikamwomba namba tuchat akanipa kirahisi, nikamtext jioni hiyo alijibu, shida ni kuwa Kila nikimwomba nikutane nae sehem ya canteen au public place anadai yuko Bize kazini,ni kweli anafanya kazi.

Kutokana na ilo jibu hapo juu Mimi na wewe tunaweza kujudge labda hanitaki, lakini cha kushangaza 2 days after we first met, alinipigia simu na namba yake ingine Ya pili ambayo hakunipa mwanzo, huku akiongea na mm kwa sauti legevu, lakini nkiomba kumeet nae bado atasema yuko Bize, Sasa nilibaki kushangaa..theories tatu zimebaki kichwani kwangu

1) Anataka attention yangu tu, ila hayuko serious na mm
2) Ananilinganisha na wengine wanaomtongozaga, Yan mm sio first selection, labda spare tyre
3)Alishaumizwa, sasa ananiogopa haniamini..

SABABU YA MIMI KUULIZA
Waswahili wanasema kuuliza si ujinga, huwezi ukajua kila kitu, hata wadada Mwaweza changia humu, nauliza humu jf coz sitaki kuendelea kupoteza muda. Wanaume mliokutana na wadada wa type hii mli-deal nao vipi.. Kichwani nafikiria kumkaushia ila naogopa huenda napoteza mtu ambaye ni a good woman

NOTE: Uzuri wake hajawahi kuniomba hela tangu nimechukua namba yake, lasivyo ningekuwa nshamkimbia Mzigua90 Evelyn Salt Heaven Sent to yeye Demi Luv

Mpotezee kwa wiki kama mbili hivi. Usimtumie ujumbe wala usipige simu. Akikucheki kulalamika au kuhoji mwambie umetingwa kidogo ikiwezekana umesafiri kikazi.

If you are too much available, you become too cheap and desperate. Cheza kama wewe. Utashangaa matokeo.
 
Kiukwel siku hiiz nilishaacha mambo haya ya kuombana ombana namba za cm..
Mkuu we achana nae tu masaa 24 ni machache sanaq..upige mishe utafute michongo bado hujapumzika...sasa hayo mambo ya ku meet lazima yawe magum tuu...uzur nina uhakika nikirud home kimoko changu kiko pale pale ...sasa kama huna koloni la kudumu utapata tabu sana
 
Ndio shida ya kutongoza demu mmoja


Mimi kila wiki mnadani lazima niokote angalau namba kama tatu so unaweza kuta kila week probability ya kula papuchi mbili sikosi
IMG_20220305_113134.jpg
 
Huyo mdada nature yake sio binti wa mtandaoni wala kupiga picha sehem za kifahari, anapiga picha location za kawaida sana nshamchunguza insta na facebook, infact mara yake ya mwisho kupost insta ni mwaka jana Karucee
Kwa hiyo canteen unaenda kumlisha tumaandazi na soda au?
 
NOTE: Uzuri wake hajawahi kuniomba hela tangu nimechukua namba yake, lasivyo ningekuwa nshamkimbia Evelyn Salt
hapo unapopaona penye uzuri wake hapo ndio penye kasoro yako sasa.....

mwanamke kaishakukubali Ila sasa wewe haujiongezi haumpi reason ajiweke mazima, babuuu jiongeze!!!
 
hapo unapopaona penye uzuri wake hapo ndio penye kasoro yako sasa.....

mwanamke kaishakukubali Ila sasa wewe haujiongezi haumpi reason ajiweke mazima, babuuu jiongeze!!!
Hahaa nijiongeze kivipi kwa mfano, unamaanisha nimpe hela au, kama ni hela nimpe tshs ngapi, ebu fafanua Evelyn Salt
 
Hi guys kwenye mahusiano yangu yaliyopita sijawahi kusumbuliwa na wadada wakati wa kutongoza kwa style hii

Kuna mdada nlionana naye juzi, nikamwomba namba tuchat akanipa kirahisi, nikamtext jioni hiyo alijibu, shida ni kuwa Kila nikimwomba nikutane
Subiri akue akikuwa ataacha utoto😃
 
Back
Top Bottom