The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Kuna sehemu nimesema hana hela?Amekwambia Hanna hela?? Au unafikiri kila kitu Ni hela tu , utakufa
Kwahiyo ndio ukaona umpeleke canteen ya chuo?Huyo mdada nature yake sio binti wa mtandaoni wala kupiga picha sehem za kifahari, anapiga picha location za kawaida sana nshamchunguza insta na facebook, infact mara yake ya mwisho kupost insta ni mwaka jana Karucee
Jamani location wapiiii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hizo location zimekaa kizamani sana.
Eti Canteen wakati mabinti wanataka ku slay kwenye mitandao.
Nonsense.
Usimfanyie hivyo mdau 😂😂😂 mwambie basi mkutane wapi kama canteen (chips za buku jero) hutaki!! 😆😆😎Hizo location zimekaa kizamani sana.
Eti Canteen wakati mabinti wanataka ku slay kwenye mitandao.
Nonsense.
Mkuu mbona hata pale hazina napo (enzi hizo sijui now days) walikua na canteen...Posta house oposite na internal affairs pia wana canteen...what is wrong with canteen ? Sio lazima iwe chuo...au labda sijaona kama jamaa kasema ni mwanachuo? 😂Kwahiyo ndio ukaona umpeleke canteen ya chuo?
Mkuu mbona hata pale hazina napo (enzi hizo sijui now days) walikua na canteen...Posta house oposite na internal affairs pia wana canteen...what is wrong with canteen ? Sio lazima iwe chuo...au labda sijaona kama jamaa kasema ni mwanachuo? 😂Kwahiyo ndio ukaona umpeleke canteen ya chuo?
Hi guys kwenye mahusiano yangu yaliyopita sijawahi kusumbuliwa na wadada wakati wa kutongoza kwa style hii
Kuna mdada nlionana naye juzi, nikamwomba namba tuchat akanipa kirahisi, nikamtext jioni hiyo alijibu, shida ni kuwa Kila nikimwomba nikutane nae sehem ya canteen au public place anadai yuko Bize kazini,ni kweli anafanya kazi.
Kutokana na ilo jibu hapo juu Mimi na wewe tunaweza kujudge labda hanitaki, lakini cha kushangaza 2 days after we first met, alinipigia simu na namba yake ingine Ya pili ambayo hakunipa mwanzo, huku akiongea na mm kwa sauti legevu, lakini nkiomba kumeet nae bado atasema yuko Bize, Sasa nilibaki kushangaa..theories tatu zimebaki kichwani kwangu
1) Anataka attention yangu tu, ila hayuko serious na mm
2) Ananilinganisha na wengine wanaomtongozaga, Yan mm sio first selection, labda spare tyre
3)Alishaumizwa, sasa ananiogopa haniamini..
SABABU YA MIMI KUULIZA
Waswahili wanasema kuuliza si ujinga, huwezi ukajua kila kitu, hata wadada Mwaweza changia humu, nauliza humu jf coz sitaki kuendelea kupoteza muda. Wanaume mliokutana na wadada wa type hii mli-deal nao vipi.. Kichwani nafikiria kumkaushia ila naogopa huenda napoteza mtu ambaye ni a good woman
NOTE: Uzuri wake hajawahi kuniomba hela tangu nimechukua namba yake, lasivyo ningekuwa nshamkimbia Mzigua90 Evelyn Salt Heaven Sent to yeye Demi Luv
Kwa hiyo canteen unaenda kumlisha tumaandazi na soda au?Huyo mdada nature yake sio binti wa mtandaoni wala kupiga picha sehem za kifahari, anapiga picha location za kawaida sana nshamchunguza insta na facebook, infact mara yake ya mwisho kupost insta ni mwaka jana Karucee
hapo unapopaona penye uzuri wake hapo ndio penye kasoro yako sasa.....NOTE: Uzuri wake hajawahi kuniomba hela tangu nimechukua namba yake, lasivyo ningekuwa nshamkimbia Evelyn Salt
Hahaa nijiongeze kivipi kwa mfano, unamaanisha nimpe hela au, kama ni hela nimpe tshs ngapi, ebu fafanua Evelyn Salthapo unapopaona penye uzuri wake hapo ndio penye kasoro yako sasa.....
mwanamke kaishakukubali Ila sasa wewe haujiongezi haumpi reason ajiweke mazima, babuuu jiongeze!!!
Kiukweli huyu mdada nliemleta kwenye hii mada hana tabia za utoto kama vibinti vya sekondari, ni mtu mzima Equation xAkikua ataacha
Subiri akue akikuwa ataacha utoto😃Hi guys kwenye mahusiano yangu yaliyopita sijawahi kusumbuliwa na wadada wakati wa kutongoza kwa style hii
Kuna mdada nlionana naye juzi, nikamwomba namba tuchat akanipa kirahisi, nikamtext jioni hiyo alijibu, shida ni kuwa Kila nikimwomba nikutane
My boiii👆👆😂😂Labda anakuona huna hela za kumpa ndio maana unataka mkutanie canteen kama watoto wa chekechea.